Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,304
- 16,478
DAR ES SALAAM; Mabingwa wa Kombe la Muungano 2024, timu ya Simba wamewasili jijini Dar es Salaam wakiwa na kombe lao walilotwaa jana usiku baada ya kuifunga Azam FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali Uwanja wa New Amaan Complex.
-
#HabarileoUPDATES