Bunge la JMT halina manufaa yoyote kwa Watanzania. Lifutwe, ofisi ya DED ichukue majukumu ya wabunge

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,837
36,581
Katika vitu ambavyo vinameza fedha za JMT ni bunge. Kuhudumia wabunge zaidi ya 300 pamoja na ofisi za majimbo yao ni mzigo mkubwa kwa wananchi wenye uchumi wa kusadikika.

Hawa wamachinga na bodaboda wanaoahindia mihogo na wali wa buku ndio wahanga.

Majukumu ya wabunge wapewe wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya.

Eti mbunge ili aanze kutoa hoja anamsifu kwanza Rais ndo anaanza kutoa hoja 😭😭😭.
 
Katika vitu ambavyo vinameza fedha za JMT ni bunge . Kuhudumia wabunge zaidi ya 300 pamoja na ofisi za majimbo yao ni mzigo mkubwa kwa wananchi wenye uchumi wa kusadikika.
Hawa wamachinga na bodaboda wanaoahindia mihogo na wali wa buku ndio wahanga.
Majukumu ya wabunge wapewe wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya..
Eti mbunge ili aanze kutoa hoja anamsifu kwanza Rais ndo anaanza kutoa hoja 😭😭😭.
Livunjwe na wakamatwe kwa uhujumu uchumi
 
Kwa Tanzania ni sahihi kabisa Bora likavunjwa tu.hakuna faida yeyote tunayopata.kila mbunge anasifi serikali tu wakati kunamadudu mengi tu inayofanya serikali kama vile mfumuko wa bei wa bidhaa,mikataba mibovu na miradi kusuasua.Kwa mabunge ya wenzetu kama pale tu jirani zetu Kenya hawana huo upuuzi wa wabunge wetu wa kusifu Kila kitu hata kama ni Cha kipuuzi
 
Hii mbona iko wazi tena wazi sana bunge halina faida
Mahakama itunge sheria jeshi lisimamie utekelezaji wa sheria
Wakurugenzi wasimamie utekelezaji wa miradi tena nao wasiteuliwe Bali waombe kazi
 
Katika vitu ambavyo vinameza fedha za JMT ni bunge. Kuhudumia wabunge zaidi ya 300 pamoja na ofisi za majimbo yao ni mzigo mkubwa kwa wananchi wenye uchumi wa kusadikika.

Hawa wamachinga na bodaboda wanaoahindia mihogo na wali wa buku ndio wahanga.

Majukumu ya wabunge wapewe wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya.

Eti mbunge ili aanze kutoa hoja anamsifu kwanza Rais ndo anaanza kutoa hoja 😭😭😭.
Mkuu uko sahihi sana, lakini hata hao wakarugenzi wanasifia hivyo hivyo. Kwa hii katiba ambayo Rais ndio Kila kitu , Kila mmoja lazima asifie tu
 
Katika vitu ambavyo vinameza fedha za JMT ni bunge. Kuhudumia wabunge zaidi ya 300 pamoja na ofisi za majimbo yao ni mzigo mkubwa kwa wananchi wenye uchumi wa kusadikika.

Hawa wamachinga na bodaboda wanaoahindia mihogo na wali wa buku ndio wahanga.

Majukumu ya wabunge wapewe wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya.

Eti mbunge ili aanze kutoa hoja anamsifu kwanza Rais ndo anaanza kutoa hoja 😭😭😭.
Rais akisifiwa unaumiaaa 🐒

mihogo ni chakula muhimu na bora sana kinachobezwa na wasio jua faida zake mwilini, Lakini pia wali wa buku ni chakula kizuri na cha kutosha kulingana na mahitaji na mapenzi ya mlaji, kuna ugali wa buku vilevile 🐒

Bunge Imara, Makini na tukufu la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, litaendelea kutekeleza wajibu na majukumu yake kikamilifu kwa uwazi, weledi na umakini mkubwa kulingana na kanuni, taratibu, sheria na katiba ya nchi, na kwa maslahi mapema ya waTanzania wote 🐒
 
Rais akisifiwa unaumiaaa 🐒

mihogo ni chakula muhimu na bora sana kinachobezwa na wasio jua faida zake mwilini, Lakini pia wali wa buku ni chakula kizuri na cha kutosha kulingana na mahitaji na mapenzi ya mlaji, kuna ugali wa buku vilevile 🐒

Bunge Imara, Makini na tukufu la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, litaendelea kutekeleza wajibu na majukumu yake kikamilifu kwa uwazi, weledi na umakini mkubwa kulingana na kanuni, taratibu, sheria na katiba ya nchi, na kwa maslahi mapema ya waTanzania wote 🐒
Aiseee kweli uchawi upo.
How come kijana na akili zake timamu akasifia bunge linalousifu muhimili mwingine wa serikali!!!
 
Katika vitu ambavyo vinameza fedha za JMT ni bunge. Kuhudumia wabunge zaidi ya 300 pamoja na ofisi za majimbo yao ni mzigo mkubwa kwa wananchi wenye uchumi wa kusadikika.

Hawa wamachinga na bodaboda wanaoahindia mihogo na wali wa buku ndio wahanga.

Majukumu ya wabunge wapewe wakurugenzi wa Halmashauri za wilaya.

Eti mbunge ili aanze kutoa hoja anamsifu kwanza Rais ndo anaanza kutoa hoja 😭😭😭.
Una kitu usikilizwe
 
Back
Top Bottom