Binti wa mauzo

Mributz

Senior Member
Aug 29, 2022
115
396
Habari ndugu zangu
Kwa majina naitwa mwamimi shafii naishi Arusha
Umri 21
Jinsia :KE
Elimu: four ila nilifeli nilipata leaving tu
Baba yangu alifariki mama yangu yupo
Msaada wenu wakupata kibarua chochote niweze kujikimu
Namba zangu za simu :
0760 832567
0693 405648
 
Habari ndugu zangu
Kwa majina naitwa mwamimi shafii naishi Arusha
Umri 21
Jinsia :KE
Elimu: four ila nilifeli nilipata leaving tu
Baba yangu alifariki mama yangu yupo
Msaada wenu wakupata kibarua chochote niweze kujikimu
Namba zangu za simu :
0760 832567
0693 405648
Usiogope, kufeli darasani sio kufeli maisha. Maisha yako na Shule yake nyingine Kabisa, MUNGU akutangulie Kwenye hitaji lako.
 
Yote heri.
Shida n kwamba hii accpunt hua imekaa kidalali dalali.. sasa kila mtu awe makini
 
Back
Top Bottom