taasisi za umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Taasisi za Umma zinatangaza mashindano/kazi ya ubunifu wa nembo zao mpya kwa wabunifu halafu wanapotelea mitini na hawabadili

    Mfano mwaka 2017 Jumuiya ya Afrika Mashariki ilitangaza shindano la Ubunifu wa Nembo yake mpya kwa wabunifu mbalimbali, wa vyuoni na wa mtaani, walitangaza mshindi atapatikana mwaka unaofuata, lakini mpaka leo 2024 hawajabadilisha. Taasisi nyingine ni TPDC na TARURA
  2. Makamura

    Matumizi ya Serikali Kwenye Magari ya Taasisi za Umma ni ufujaji, Wafanye Hivi

    Bajeti ya magari ya serikali kila mwaka Bilioni 600, Hii pesa haimaanishi kuwa inanunua magari pekee na pesa ikaisha. Hivyo kwanini Serikali iwe na utaratibu mzuri Kila Taasisi Ijinunulie Magari yake kutoka kwenye Mishahara Ya wafanya Kazi, tuone kama watanunua V8 na VX kama wanavyofanya sasa...
  3. Zanzibar-ASP

    PENDEKEZO: Taasisi za umma ziache kukopesha watumishi wake, ziwadhamini wakakope benki

    Kuna mtindo mchafu umeingia kwenye taasisi nyingi za umma wa kuwakopesha pesa watumishi wake kwa kutumia pesa za ndani za uendeshaji wa mashirika hayo kiasi ambacho kimepelekea kukwamisha ufanisi wa uendeshaji wake. Mfano halisi ni mfuko wa Bima ya afya ya taifa (NHIF). Upo ushahidi wa wazi kuwa...
  4. S

    Mashirika na Taasisi za Umma zinazostahili kufutwa na zile zinazostahili kuunganishwa

    Wakati serikali ikiendelea na zoezi la kuunganisha na kufuta baadhi ya Taasisi na Mashirika ya Umma, nashauri tutoe maoni na mapendekezo juu ya mashirika na taasisi zinazostahiili kuunganishwa pamoja na zile zinazostahili kufutwa. Nia na madumuni ni kuishauri serikali ili isije kufanya makosa...
  5. Brightly

    Serikali kuruhusu Taasisi za Umma kuajiri zenyewe badala ya Sekretariat ya Ajira (Utumishi) ni kujijengea chuki dhidi ya wasiokuwa na ajira

    Habarii wanajf, hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya taasisi za umma zikianza kuajiri zenyewe badala ya utumishi ikiwa ni miezii kadhaa tangia Rais wetu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan alipozipa taasisi za umma mamlaka ya kujiendesha zenyewe kwa asilimia 100 ikiwa ni...
  6. JanguKamaJangu

    Waziri Simbachawene asisitiza matumizi ya Serikali Mtandao kwa Taasisi za Umma ili kuepusha malalamiko ya Wananchi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene amesisitiza matumizi ya Serikali Mtandao katika kudhibiti vitendo vya uvunjifu wa Maadili katika Utumishi wa Umma ambavyo vinaleta malalamiko Serikalini. Mhe. Simbachawene amesema hayo leo...
  7. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mhagama Apokea Muongozo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji na Tathimini katika Taasisi za Umma

    WAZIRI MHAGAMA APOKEA MWONGOZO WA KITAIFA WA UFUATILIAJI NA TATHMINI KATIKA TAASISI ZA UMMA. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu nayeshugulika na Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama, Amepokea Rasimu ya kwanza ya Mwongozo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji wa Shughuli za...
  8. R

    Tanzania tuna taasisi za umma Goigoi au tunawasimamizi wa taasisi za umma Goigoi?

    Nimeona viongozi wa kisiasa wakizilalamikia taasisi za umma Goigoi kwamba zinakwamisha ukuaji wa uchumi kati ya asilimia 1 hadi 5 kwa mwaka. Lakini ninavyojua mimi hakuna taasisi Goigoi ila kuna wanadamu waliopewa dhamana za umma ambao watumishi hao ni Goigoi 1. Ufanisi wa hizi taasisi...
  9. P

    TANESCO ni miongoni mwa taasisi za umma zenye wafanyakazi wasio na ufanisi

    Wafanyakazi wa taasisi za Umma sijui Wana shida gani. Yaani wao mpaka wapate mtu wa kuwapelekesha ndio wafenye kazi. Sasa Leo niko na hawa TANESCO nina kimradi changu huko musoma, niliwaita TANESCO kuniunganishia umeme kuja ilikuwa shida kwelikweli, mwisho wa siku wakaja wakanipa gharama zao...
  10. Suley2019

    Serikali yasisitiza matumizi ya Tehama taasisi za umma

    Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imetoa wito kwa taasisi za umma nchini kujiunga na mfumo wa ubadilishanaji wa taarifa serikalini (GovESB) ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi. Wito huo umetolewa jana Jumamosi Agosti 6, 2023 na Meneja Mawasiliano wa e-Ga, Subiria Kaswaga wakati...
  11. E

    SoC03 Njia za mawasiliano kwenye tovuti za taasisi za umma ziboreshwe

    Edogun Mzalendo ni kijana wa miaka ishirini na minne, muhitimu wa stashahada ya sayansi ya kompyuta na mmiliki wa steshenari ndogo inayopatikana mjini Kahama. Ni miaka miwili tu imepita toka afungue steshenari yake hiyo lakini amejizolea umaarufu mkubwa sana kutokana na kipaji chake cha...
  12. abdulatif

    SoC03 Uwazi Taasisi za Umma na Mashirika ya Serikali

    Uwazi unamaanisha uaminifu, maadili na uwajibikaji ambao serikali na mashirika ya umma wanapaswa kuwa nao ili kuwafanya raia kujua taratibu na shughuli ambazo uwekezaji wa kiuchumi unafanyika. uwazi na upatikanaji wa habari kwa umma Inahusisha kufanya maamuzi ya serikali mfano teuzi, sera na...
  13. M

    SoC03 Wafanyabiashara wanakerwa usumbufu wa taasisi za umma. Kisa kodi na tozo

    WAFANYABIASHARA WANAKERWA USUMBUFU WA TAASISI ZA UMMA. KISA KODI NA TOZO. Wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwasikiliza wafanyabiashara wa Kariakoo, Mwezi Mei 2023 Mkoani dar es salaam, Kulikuwa na Malalamiko Mengi kuhusu Utozaji, Ukusanyaji na Aina za Kodi, tozo au Ushuru. Katika Maelezo...
  14. Tukuza hospitality

    SoC03 Bayogesi Itumike katika Taasisi za Umma, kupunguza hewa ya ukaa

    ConstantineJ. Samali Mauki Utangulizi Bayogesi ni nini? Kwa mujibu wa Lucía Fernández wa Statistica (Feb 8, 2023), Bayogesi ni mchanganyiko wa gesi ya methane na hewa ya ukaa (kabonidayoksaidi) inayozalishwa na viasilia mbalimbali kama mabaki ya mimea na ya Chakula katika mazingira ya ukosefu...
  15. GentleGiant

    PSSSF moja ya taasisi za Umma zenye Customers care bora kabisa nchini

    Wakati nafikiria kuanza michakato ya kufuatilia michango yangu kwa hawa jamaa nilikuwa nafikiria sana kwa kuwa taasisi nyingi za umma zinasifika kwa kuwa na customer care mbaya sana kwa wateja. Lakini nimefuatilia,nimeingia ofisi tofauti tofauti na itoshe tu kusema jamaa ni wakarimu na...
  16. Kilangi masanja

    Changamoto ya upatikanaji kwa njia za mawasiliano zitolewazo na Taasisi za Umma, makampuni na sehemu zote zitoazo huduma

    Habari wadau kwa ujumLa.Naimani mu wazima wa afya. Ni jambo la kawaida kwa kizazi hiki cha sayansi na teknolojia kuhakikisha tunaenda sambamba na mataifa yalioendelea kupitia nyanja hizo. Changamoto imekua kubwa na kama wahusika hawaioni au hufanya makusudi yasio na sababu yeyote ile basi...
  17. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Maajabu Jimbo la Igalula kata ya Loya, Taasisi za umma na Serikali kutounganishwa kwa umeme

    Wananchi Poleni Sana nimepata malalamiko yenu Kuwa taasisi za umma kama msikiti,makanisa,shule ya msingi Loya Bondeni,shule ya sekondari Loya na cha ajabu kabisa hata kituo cha polisi cha Loya eti hakuna umeme! Nilipo jaribu kuwahoji wahusika wanaotokea kata Hiyo tatizo hasa ni nini...
  18. D

    Nashauri magari yote ya Serikali na Taasisi za Umma yapakwe rangi za nembo zao kupunguza ukiritimba

    Ukiondoa magari ya IKULU na yale ya Viongozi wa kitaifa; Naishauri ofisi ya waziri mkuu ikiongozwa na Mh Majaliwa Kassimu kwa kushirikiana na Tamisemi chini ya Bashungwa! Waelekeze magari yote ya serikali yapakwe rangi ya nembo ya taasisi husika kama ilivyo kwa taasisi chache kama...
  19. DustBin

    USHAURI: Tafadhali tafadhali, mchakato wa ajira serikalini usirejeshwe kwenye Taasisi za Umma

    Nawasalimu kwa jina JMT Moja kwa moja najikita kwenye mada. Nimepata ndogo ndogo kwamba kuna baadhi ya taasisi za umma zinaomba/zinataka warejeshewe mamlaka ya mchakato wa ajira kama zamani kinyume na Sekretarieti ya ajira PSRS inayosimamia suala hilo kwa sasa. Naishauri serikali isisikilize...
  20. beth

    Aina nne za Hati za Ukaguzi zinazotolewa na CAG

    Baada ya kukamilisha ukaguzi, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali hutoa Hati ya Ukaguzi kwa kila taasisi ya umma aliyoikagua. Hati ya Ukaguzi ni maoni ya Mkaguzi yatokanayo na ukaguzi alioufanya kwenye hesabu za taasisi au mamlaka yoyote ya umma. Hati ya Ukaguzi hutolewa na Mdhibiti...
Back
Top Bottom