mkojo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GoldDhahabu

    Ukaidi wa wenzake ulimnusuru kunyweshwa mkojo wa binadamu!

    Nilishaona hilo likifanyika nilipokuwa mdogo. Jirani yetu aliyekunywa sumu alinyweshwa mkojo wa binadamu kwa ajili ya kumtapisha. Miaka mingi baadaye, nikiwa nimeshahitumu Chuo, tukio kama hilo lilitokea tena jirani na kwetu. Binti mmoja alikunywa sumu, na kabla ya kukimbizwa hospitalini...
  2. M

    Mkojo wangu hausafishiki(Bado wa orange)

    Kwa muda mrefu sasa nimejalibu kunywa maji mengi kiasi Cha Lita 3 kwa siku ili kupata matokeo mazuri lakini mkojo Bado mi wa orange,mkojo utakua mweupe kwa siku hiyo japo sio sana lakini kesho yake utarudi hali ya mwanzo. Sijui pengine itakua ni UTI ambayo nimekua nikitibia sasa na mke wangu...
  3. P

    Wataalamu tatizo la kutopata mkojo na choo husababishwa na nini?

    Kaka yangu jirani amepoteza Maisha Leo kwasababu ya tatizo hili Alifunga kupata mkojo Alifunga kupata choo kubwa Tatizo hili husababishwa na Nini ?? Tumepoteza kijana mdogo Sana
  4. Melki Wamatukio

    Juisi ya miwa husafisha figo, kibofu cha mkojo, mzunguko wa damu na kutibu U.T.I

    Hivi kuna ukweli ndani yake ama tunapigwa tu porojo ili tunywe kwa wingi wapate hela?
  5. K

    Ninatatizo kwenye mkojo

    Nina miezi kama miwili nasikia maumivu baada ya kukojoa,nimenda hospitali kucheck mkojo na nimepima katibia mara tatu still mkojo wangu ukaonekana hauna matatizo yoyote, nilipewa na dawa ila still hazi kusaidia. Nikapimwa tena figo,kibofu na tezi kwa Utrasound still matokeo yakatoka sina...
  6. Chachu Ombara

    NADHARIA Mkojo ni dawa ya magonjwa mbalimbali

    Magonjwa mbalimbali yametufanya binadamu kubuni tiba aina mbalimbali ambazo zitatusaidia kuondokana na magonjwa hayo. Moja ya tiba iliyobuniwa na binadamu ni pamoja na mkoja wa binadamu kama tiba ya magonjwa mbalimbali. Tena unaambiwa ukipata mkojo wa asubuhi ndio kiboko ya magonjwa kama...
  7. N

    Mkojo ku taste sugar

    Habari ! Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo! Nimejarib kujifanyia monitoring pale inapotokea nimekunywa chai nikitest mkojo wangu kwa kulamba naisikia kabisa sukari kwenye mkojo au ikitokea nimekunywa soda lazima mkojo wote uwe wa utamu tamu! Lakini nisipokunywa soda wala kitu chenye...
  8. Kennedy

    Je? Mkojo Wa Ngamia Ni Dawa

    Salaam Wa JF Wote Nmekutana Na Mtu Mmoja Akiwa Anasumbuliwa Na Ugonjwa Wa UTI, Malaria, Kukosa Hamu Ya Chakula,Kwenye Maongezi Yetu Baada Ya Kumjulia Hali Akaniambia Ana Miaka 10 Hajawahi Kuugua Magonjwa Kama Malaria, UTI, Minyoo, Vidonda Vya Tumbo Na Magonjwa Mengi Mengine Akaniambia Mwaka...
  9. Kabwelavoice

    DOKEZO Stendi ya Daladala ya Mbezi Mwisho inanuka mkojo tupu

    Habari Wadau, Ukweli hii ni kero ambayo mwisho wa siku itakuja kuzaa magonjwa ya mlipuko. Stendi ya Mbezi mwisho ya daladala ambayo hata magari ya Mwendokasi yanapaki pale, kuna kero ya watu kukojoa hovyo ndani ya stendi huku walinzi na migambo wa jiji wakifukuzana na wamachinga tu lakini...
  10. R

    Mnaoweka mkojo kwenye chupa na kutupa barabarani mnakwaza

    Hivi mtu unafikira nini mpaka unatoa haja ndogo na kuweka kwenye chupa na kisha kwenda kutupa mtaani? Huoni kwa kufanya hivyo mbali na kuharibu mazingira unahatarisha afya za wanaotumia barabara hiyo? Kawe, DSM Hizo kwenye video siyo petroli au pombe, ni mkojo! Lita mbili na zaidi! Mbaya...
  11. Troll JF

    Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

    Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema baada ya Tundu Lissu kutolewa ha Polisi cha Kati leo mchana, amefikishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo. Mapema asubuhi, mawakili akiwamo Fatma Karume walizuiliwa kuonana naye huku Jeshi la Polisi...
  12. Mfilisiti

    "Baby Mkojo Hautoki"

    Hongereni na majukumu yenu katika harakati za Ujenzi wa Taifa. Ndugu wafuasi na wachakataji Mbususu naomba ufafanuzi katika hili 👇 👇 Katika Harakati za uchakataji nimekutana na Sample tofauti wengine wakiwa wamenizidi Umri,Katika hawa...
  13. Eleminator

    Kipimo cha mkojo Huchukua muda gani kupata majibu?

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wana JF Maana ya kuuliza hivyo kuna siku moja nimeenda zahanati tena ya serikal nmefika pale nikamuelezea daktari hali yangu na yeye akanielekeza kwenda maabara baada ya kufika kule nikapewa chupa cha kuhifadhia mkojo Cha ajabu Baada ya kurudisha sampuli...
  14. Kiranja Mkuu

    Mimi hunawa uso wangu kwa mkojo wa alfajiri ili kusafisha, kung'arisha nyota na kuongeza mvuto wa mapenzi

    Swalama ndugu zanguni? Mpaka sasa zoezi la sensa linaendelea huku likisuasua, lakini msikate tamaa muda bado upo wa kurekebisha kasoro zilizopo. Back to the topic, mimi ni mwanaume wa miaka 35, kwa kweli maisha yangu yalijawa kwa muda mrefu mikosi, ufukara, kukataliwa na kutokuwa na kibali...
  15. LUKAMA

    Howard Hughes: Bilionea wa ajabu aliyekaa akiwa utupu na kujaza mkojo wake kwenye chupa

    'Kumbuka jambo moja, hakuna mtu ambaye siwezi kumnunua au kumharibu nikitaka.' Haya ni maneno ya mfanyabiashara tajiri zaidi Marekani wakati mmoja. Jina lake ni Howard Hughes na ulimwengu unamfahamu sio tu kama mfanyabiashara wa viwanda, mtafiti, mtengenezaji wa filamu, shujaa wa zama mpya...
  16. S

    Kwanini mtu akiwekewa mkojo kwenye bia anazima?

    Kwa nini mtu akichanganyiwa mkojo kwenye bia anazima?
  17. Mc Charles Turuka

    Naomba msaada wa tiba ya homa ya ini

    TIBA YA HOMA YA INI NI IPI? Ndugu zangu, Wanajukwaa wenzangu Kuna Ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na Maumivu ya Mbavu za Kulia pamoja na Kukojoa Mkojo wenye rangi ya Kahawia na Kutokwa na Jasho Jingi wakati wa Usiku. Baada ya vipimo alionekana ana hepatitis B na Tayari ini limeshaanza...
  18. Amavubi

    Kunywa Mkojo wako wa Kwanza wa Asubuhi ni Dawa Murua sana

    Bandhugu' Nasikia hii ni dawa nzuri sana Urine therapy refers to one of several uses of urine to prevent or cure sickness, to enhance beauty, or to cleanse one's bowels. Most devotees drink the midstream of their morning urine. Some prefer it straight and steaming hot; others mix it with...
  19. M

    Samaki kufa kwa kinyesi na mkojo wa ng'ombe inawezekana ,lakini samaki wa mto mara wamekufa kwa sababu hiyo?

    Wasalaaamu ndugu , jamaa na marafiki wa JF . Haika nawathamini sana. Kila mmoja wetu amepata kushituka kwa taarifa ya wasomi wetu nguli wa mambo ha mazingira kwa kusema samaki katika mto mara wamekufa kutokana na kinyesi na mikojo ya ng'ombe. Kabla ya kupinga au kuunga mkono majibu ya tafiti...
  20. Bryan audax

    Nina tatzo la uume wangu katikati ya kutolea mkojo kuna kinyama kimejitokeza kidogo, sijui nini shida

    Dr habari za kazi aisee Nina tatzo la kujitokeza kinyama katikati ya uume wangu n kadogo Sana kapo sehemu unapotokea mkojo sijui nn shida msaada wako na tiba yake nini? Samahani kwa hiyo picha.
Back
Top Bottom