fake news

Fake news is false or misleading information presented as news. It often has the aim of damaging the reputation of a person or entity, or making money through advertising revenue. However, the term does not have a fixed definition, and has been applied more broadly to include any type of false information, including unintentional and unconscious mechanisms, and also by high-profile individuals to apply to any news unfavourable to his/her personal perspectives.
Once common in print, the prevalence of fake news has increased with the rise of social media, especially the Facebook News Feed. Political polarization, post-truth politics, confirmation bias, and social media algorithms have been implicated in the spread of fake news. It is sometimes generated and propagated by hostile foreign actors, particularly during elections. The use of anonymously-hosted fake news websites has made it difficult to prosecute sources of fake news for libel. In some definitions, fake news includes satirical articles misinterpreted as genuine, and articles that employ sensationalist or clickbait headlines that are not supported in the text.Fake news can reduce the impact of real news by competing with it; a Buzzfeed analysis found that the top fake news stories about the 2016 U.S. presidential election received more engagement on Facebook than top stories from major media outlets. It also has the potential to undermine trust in serious media coverage. The term has at times been used to cast doubt upon legitimate news, and former U.S. president Donald Trump has been credited with popularizing the term by using it to describe any negative press coverage of himself. It has been increasingly criticized, due in part to Trump's misuse, with the British government deciding to avoid the term, as it is "poorly-defined" and "conflates a variety of false information, from genuine error through to foreign interference".Multiple strategies for fighting fake news are currently being actively researched, and need to be tailored to individual types of fake news. Effective self-regulation and legally-enforced regulation of social media and web search engines are needed. The information space needs to be flooded with accurate news to displace fake news. Individuals need to actively confront false narratives when spotted, as well as take care when sharing information via social media. However, reason, the scientific method and critical thinking skills alone are insufficient to counter the broad scope of bad ideas. Overlooked is the power of confirmation bias, motivated reasoning and other cognitive biases that can seriously distort the many facets of immune mental health. Inoculation theory shows promise in designing techniques to make individuals resistant to the lure of fake news, in the same way that a vaccine protects against infectious diseases.

View More On Wikipedia.org
  1. kilio

    Je tasnia ya habari imejiandaa na Program za Akili Bandia (Generative Artificial Intelligence) zenye uwezo wa kutengeneza Fake News and Misinformation

    Tumeshuhudia siku za karibu waziri Dorothy Gwajima akitoa tamko juu ya maudhui ya mwanadada anayeishi na nyoka. Huu ni mwanzo tu, mengi yanakuja kupitia programu za akili bandia. Program hizi zina uwezo wa kutengeneza fake picha, fake video and fake sauti ili mradi kuleta utata na upotoshaji...
  2. 2 of Amerikaz most wanted

    The way people edit Neymar's shape to bring him down is the next level hating

    The way people edit Neymar's shape to bring him down is the next level hating.
  3. JamiiCheck

    Akili Mnemba (AI) inaweza kutumika kutengeneza Taarifa Potofu

    Akili Mnemba ni teknolojia iliyosambaa ulimwenguni ikiwa imerahisisha kazi za binadamu kutokana na kwamba inaweza kufikiri kama binadamu. Lengo la AI ni kuweza kufanya mambo kama vile kutambua mifumo, kufanya maamuzi, na kuhukumu kama binadamu. Pamoja na lengo zuri la teknolojia hii ya Akili...
  4. JamiiCheck

    Mchango wa vichwa vya Habari katika Kusambaza Habari Potofu

    Vichwa vya habari vinaweza kuwa sehemu muhimu katika kusambaza habari potofu kwa sababu vinaweza kuvutia umakini wa wasomaji, kuchochea hisia, na hata kutoa taswira isiyo sahihi ya habari kamili. Katika dunia ya sasa ambayo teknolojia ya habari imekua kwa kiasi kikubwa, baadhi ya watu wanaweza...
  5. JamiiCheck

    Matumizi ya Teknolojia ya 'Deepfake' katika kutengeneza video zenye Taarifa Potofu

    Deepfake ni aina ya ubunifu wa kidigitali unaotumia teknolojia ya Akili Bandia (AI) kubadilisha au kuunda picha, sauti na video ambazo huonekana kama ni za kweli, lakini zimeundwa kwa njia bandia. Jina "deepfake" linatokana na maneno mawili: "Deep learning" (kujifunza kwa kina), ambayo ni aina...
  6. JamiiCheck

    Athari za Usambazaji wa Habari Potofu kwenye Jamii

    Taarifa potofu ni habari ambayo si sahihi. Taarifa potofu inaweza kuwa na athari hasi au kuwachanganya watu kutokana na ukosefu wa usahihi au udanganyifu. Athari za taarifa potofu yanaweza kuwa makubwa au vinginevyo kulingana na unyeti wa taarifa iliyosambazwa ikiwa haina usahihi. Kadiri...
  7. JamiiCheck

    Hatua za kuchukua unapohisi Taarifa ni Potofu

    Baada ya kukutana na taarifa yoyote unayoitilia shaka, kuna hatua kadhaa unaweza kuchukua ili kujiridhisha uhalali wa taarifa hiyo. Kuchukua hatua za haraka na kutoa habari sahihi ni muhimu ili kuzuia kuenea kwa habari feki au gushi. Hizi ni baadhi ya hatua za kuchukua unapokutana na taarifa au...
  8. JamiiCheck

    Sababu 10 zinazofanya watu wasambaze Taarifa Potofu

    Usambazaji wa taarifa potofu umekuwepo kwa muda mrefu katika historia ya binadamu. Hata kabla ya teknolojia ya kisasa na mitandao ya kijamii, watu wamekuwa wakisambaza taarifa za uongo au potofu kwa njia tofauti, kama vile kupitia vyombo vya habari, mdomo, au vyanzo vingine vya habari. Hata...
  9. Analogia Malenga

    Fake News zinatrend kwasababu zinakamata attention ya mtu

    Elias Patrick, mgunduzi wa Kitonga AI amesema mara nyingi taarifa zisizo sahihi hutrend kuliko taarifa sahihi kwa kuwa fake news zinashika attention ya mtu. Amesema hayo katika CSO week ambapo alikuwa session ya kuelezea jinsi AI inafanya kazi. Katika kipindi hiko amesema suala la AI...
  10. Roving Journalist

    Wiki ya AZAKI: Sheria ipo kwa ajili ya kuwalinda Watawala sio Wananchi

    Join JamiiForums and BBC Media Action today October 24th, 2023 from 11:00 AM to 1:00 PM on CSO Week at Arusha International Conference Center (AICC) Topic: Tracking Information Disorder (Including Dis and Mis-Information) in the era of Technological Advancements. Kabla ya mada hii, JamiiForums...
  11. Roving Journalist

    Absalom Kibanda: Serikali yenyewe ndio inatengeneza mazingira ya uwepo wa ‘Fake news’

    Mwanahabari mkongwe Absalom Kibanda ametoa maoni yake kuhusu umuhimu wa Serikali kufanya kazi kwa ukaribu na Vyombo vya Habari ambapo kwa asilimia kubwa amelaumu mazingira ya tata baina ya pande hizo mbili. Akitoa maoni katika Kongamano lililohusisha Wadau wa Habari, Serikali na Waandishi...
  12. Mathanzua

    Edward Snowden reveals why and how the CIA creates fake news and disseminates it

    Sunday, December 04, 2022 Remember Snowden? He’s the man who revealed that the US government says it’s not a crime to spy on the American people, only a crime to expose that illegal and unconstitutional spying. Well, forty years ago, fake news and disinformation coming from the US government...
  13. N

    Wanazuoni naomba kuuliza tofauti ya fake news na propaganda : case study of Russia ukraine war

    Propaganda ni kitu kinachotajwa sana kwenye ulingo wa siasa na vita hasa pale panakuwa na pande mbili zinazochuana kupata ushawishi wa jambo flani. Hali kadhalika wakati wa vita ''propaganda" huchukua mkondo wake kama njia ya kuongeza au kupunguza hamasa ya mapigano kwenye uwanja wa medani...
  14. C

    Huu ni utoto na ushamba. Hizi propaganda za uongo zinamsaidia nini Rais Samia?

    Inasikitisha sana kuna machawa pro max wa kiwango cha dunia, alivyokuwa new york wali edit screens za matangazo za Times Square, cha ajabu nini hadi mu edit? Si hela ilipwe tu tangazo liruke kwenye zile screens Ali Kiba, Diamond, Zuchu matangazo ya albamu zao yasharuka sana Sasa kubwa zaidi...
  15. The Sheriff

    Gerson Msigwa, mwanahabari nguli, anaswa na mtego wa habari potoshi

    Nimeshangazwa sana na Ndg. Gerson Msigwa kunaswa na mtego huu. Sina hakika kama kafanya hivi makusudi akiwa anajua uhalisia, ama anajua huu ndiyo uhalisia. Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu na Sasa Msemaji Mkuu wa Serikali ameshindwa kuona kwamba hii video imetengenezwa tu kwa...
  16. SYLLOGIST!

    Nani ni ndio "Kunje Ngumbale Mwiru"? Mwanahalisi wajibu

    Katika pita pita za kutafuta Habari, nilikutana na video ya Mwanahlisi TV ambayo inadai "Kunje Ngumbale Mwiru" mtoto wa Ngumbale Mwiru akiomba wazee, sijui ni wazee gani,waingilie kati kesi ya Mh. Mbowe. Huyu Kunje ndio nani na Kinje ni nani? Hayati Ngombale Mwiru ndio huyu huyu anaiitwa...
  17. M

    TBC acheni fake news, acheni michezo ya kitoto!

    Inasikitisha kwa TV ya Taifa kutumika kusambaza uongo, kuwa vijana wa Chadema hawataki katiba mpya Hii michezo yenu ni ya kudanganya umma, mnafanya propaganda za kitoto na mnavunja katiba ya nchi na sheria za utangazaji kwa sababu mnalisha wananchi taarifa za uongo, matukio yaliyo staged. TBC...
Back
Top Bottom