Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto?
Ukiangalia jinsi Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa
Ruto kapokelewa kwa heshima sana, vyombo vyote vya kimataifa vimempa airtime na headline yeye na Biden
Nashangaa rais Samia yeye hapati kabisa...
Nimewaza kwa upande wa pili kwamba ikitokea Mossad (Israel) au taifa lolote la kigeni lilihusika kwa ajali iliyotokea nchini Iran....Majibu ya Iran sasa (hiiiiii.... in mwendazake voice) yatakua mazito sana.
Ila haya mambo yanafikirisha sana, tokea October 7 mambo yamekua magumu sana, Iran na...
India imevunja rekodi ya kujenga barabara ya njia 10 kilometers 100 kwa masaa 100 pekee
Sisi tunavunja rekodi ya viongozi kuzurura duniani tu bila tija yoyote ile
=====
India has achieved another milestone in the road infrastructure sector by laying bituminous concrete over a distance of 100...
Hivi ndugu zangu haya mawazo viongozi wetu huwa wanayaokota wapi?
Badala ya kufikiria jinsi wananchi watapata gesi kwa bei nafuu na gesi iwafikie watu wengi zaidi yeye anawaza kuweka tozo na luku kwenye mtungi
Yaani kamtungi kanafungwa luku unanunua gesi ya elfu 10 hela ikikata hiyo siku...
Je, ulipo kuna umeme?
Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme
Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.
Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa...
Pamoja na safari za nje kuongezeka kwa kasi na kuvunja rekodi ya nchi ambayo rais wake hufanya safari sana still mafuta yanazidi kupanda
Pamoja na hii serikali kujipendekeza kwa waarab kupita maelezo na kutembelea uarabuni kila mwezi lakini mafuta hayajashuka
The more kuzurura the more pain to...
Chidy benzi amesema nusu ya wasanii wa Bongo wa kiume wanalika akimaanisha kwamba ni "mashoga"
Chidy benz angetaja list kabisa
Video hii hapa👇🏻
https://www.facebook.com/ISHEBOO/videos/1154680399214487/?app=fbl
Kweli Kizimkazi anawanyoosha nyie wanyonge wa nchi hii
Leo nilitoka nikapanda usafiri wa umma ni muda sana sijapanda daladala
Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki😢
Halafu mnaimba kuwa anaupiga mwingi kweli kizimkazi anawanyoosha
Watanganyika mtajuta kumjua huyo bibi wallah nawaambia atawanyoosha...
Habari na picha....Sema huyu mama kafanana na mtu mmoja hivi🤣🤣🤣🤣🤣
KENYA AIRWAYS flight number #KQ613 headed to Nairobi from Mombasa aborted landing at JKIA at the last minute.
The plane was rerouted back to Mombasa after a Kikuyu lady passenger blocked the on board toilet causing massive...
Mnaosemaga US na EU ndo baba wa haki za binadamu mko wapi?
Mnaoamini demokrasia feki za madola ya magharibi mko wapi?
---
The US threatens the International Criminal Court in The Hague:
"If you send an arrest warrant to #Netanyahu and his ministers, there will be no cease-fire" - Bloomberg...
Hivi mshawahi kujiuliza unapita mahali mtu kafungua frem au duka hata hamna wateja unajiuliza huyu mtu huwa anaweza vipi kulipa kodi wakati hamna wateja?
Hili swali najiulizaga sana, nimekuta mjadala huko mtandaoni leo
Unakuta mtu ana duka la iphone hata simu 10 hazifiki frem kodi ni milioni...
Tokea October 07 Mashambulizi ya Hezbollah kaskazini mwa Israel yamewaangamiza wanajeshi zaidi ya 2000 wa Israel na kuwaacha maelfu wakiwa vilema
Hezbollah wamefanya zaidi ya operesheni 1650 dhidi ya Israel
https://twitter.com/PressTV/status/1783463849414295849?s=19
Hezbollah wenyewe...
Naona maji yanazidi kuzidi unga huko Middle East
Shambulizi la Hezbollah limeondoka na roho za wanajeshi 18 wa Israel papo hapo na huku makumi wakiwa majeruhi
Hii inaitwa kujitumbukiza kwenye kinamasi cha vita.
🚨🇱🇧🇮🇱 HEZBOLLAH statement on ISRAEL BOMBINGS:
“After careful monitoring and...
Nimeona nije na uzi maalum wa kupeana updates wa vita mpya inayotarajiwa kulipuka kati ya Iran na Israel muda wowote kuanzia sasa
Inaonekana inayokuja mashariki ya kati itakua sio ya mchezo
Yemen tayari keshaandaa wanajeshi laki 4
Iraq kuna wanajeshi laki 2 na nusu
Hezbollah wapo zaidi laki...
[emoji298]️BREAKING
The Yemenis have informed Iran that if there is a regional war, more than 400,000 fighters are ready to completely blockade the Red Sea and target US bases in Africa and the Middle East
The Yemenis have recruited 200,000 new fighters since the start of the conflict...
Baada ya wamarekani wenzao kuuliwa na Waisrael huko Gaza sasa ndo wameanza kuujuwa ubaya kuilea Israel
Veteran House Representative Nancy Pelosi, former Speaker of the House of Representatives and a key ally of US President Biden, signed a letter sent by dozens of Democrats in Congress to the...
Masaa yanakaribia, Itakuaje Iran wakitumia makombora ya hypersonic kumbuka lile Kombora sifa yake huwa halitunguliki yana Speed kuliko sauti.
Maana nimeona Israel anavyohaha kuweka raia kwenye mahandaki, leo ni siku ya nne watu wamelala kwenye mahandaki kama Panya!!
Jamaa wanahaha kuactivate...
Hawa jamaa wanamiliki makombora ya Hypersonic na Supersonic ambayo hata US hana
Israel ajiandae kupokea mamia ya makombora kutoka Iran masaa machache mbeleni
Pia Iran wanamiliki makombora yenye uwezo wa kubeba mabomu yenye uzito mpaka wa tani 3
Masaa kadhaa dunia inaenda kushuhudia moto...
Naona mabeberu wameanza kujikuna Marekani ametuma ujumbe wa siri kwenda Iran kuwa hawakuhusika na shambulizi dhidi ya ubalozi wa Iran pia hawakua wakijua chochote na Israel haikuwajulisha kwahiyo Israel iwajibishwe yenyewe!!
[emoji298]️BREAKING
Iran warned the United States, via the Swiss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.