kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,063
- 18,049
Hivi mshawahi kujiuliza unapita mahali mtu kafungua frem au duka hata hamna wateja unajiuliza huyu mtu huwa anaweza vipi kulipa kodi wakati hamna wateja?
Hili swali najiulizaga sana, nimekuta mjadala huko mtandaoni leo
Unakuta mtu ana duka la iphone hata simu 10 hazifiki frem kodi ni milioni 2 kwa mwezi na huko alikofungua hata uwezekano wa mtu kumudu iphone hamna yaani huoni hata nzi akiingia dukani kwa jamaa😂😂😂
Hizo ndo biashara zilizopo dsm hii nyingi unabaki unajiuliza huyu mtu huwa analipa vipi kodi?Tena unakuta kaweka na wafanyakazi wa kutosha tu
Hata mlimani city na kwenye mall nyingi ni hivyo hivyo na kwenye maeneo mengi tz
Sasa hawa watu huwa wanamudu vipi kulipa kodi ya frem?Sazingine unakuta frem imejificha huko ndanindani sasa unajiuliza huyu anapataga faida kweli🤣🤣
Kuna duka naziangalia au biashara najiuliza kichwani kwamba huyu mtu huwa anapata hata jero kwa siku kweli?
Hili swali najiulizaga sana, nimekuta mjadala huko mtandaoni leo
Unakuta mtu ana duka la iphone hata simu 10 hazifiki frem kodi ni milioni 2 kwa mwezi na huko alikofungua hata uwezekano wa mtu kumudu iphone hamna yaani huoni hata nzi akiingia dukani kwa jamaa😂😂😂
Hizo ndo biashara zilizopo dsm hii nyingi unabaki unajiuliza huyu mtu huwa analipa vipi kodi?Tena unakuta kaweka na wafanyakazi wa kutosha tu
Hata mlimani city na kwenye mall nyingi ni hivyo hivyo na kwenye maeneo mengi tz
Sasa hawa watu huwa wanamudu vipi kulipa kodi ya frem?Sazingine unakuta frem imejificha huko ndanindani sasa unajiuliza huyu anapataga faida kweli🤣🤣
Kuna duka naziangalia au biashara najiuliza kichwani kwamba huyu mtu huwa anapata hata jero kwa siku kweli?