Wenye akili na wazalendo walishajua kuwa Tunahitaji sana kupata Rais Mwingine kama Hayati Magufuli

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
541
1,197
Leo tarehe 17/03 ni siku ambayo hayati JPM alitutoka 2021.

Katika pitapita leo nimekutana na kijana mmoja kuniambia sisi ambao hatuna akili na sio wazalendo ambao wengi wetu tulikosa virutubisho utotoni na kupata udumavu hatuoni mchango wa hayati Magufuli.

Hiyo inapelekea kumsema vibaya na kutoona mazuri yake kipindi cha uhai wake lakini wao wenye akili na uzalendo wanamkumbuka sana.

Lakini pia wengi wetu hatuna uzalendo.

Hivyo tunampomkumbuka hayati Magufuli tuyatafakari haya pia.
 
Leo tarehe 17/03 ni siku ambayo hayati JPM alitutoka 2021.

Katika pitapita leo nimekutana na kijana mmoja kuniambia sisi ambao hatuna akili na sio wazalendo ambao wengi wetu tulikosa virutubisho utotoni na kupata udumavu hatuoni mchango wa hayati Magufuli.

Hiyo inapelekea kumsema vibaya na kutoona mazuri yake kipindi cha uhai wake lakini wao wenye akili na uzalendo wanamkumbuka sana.

Lakini pia wengi wetu hatuna uzalendo.

Hivyo tunampomkumbuka hayati Magufuli tuyatafakari haya pia.
View attachment 2936876
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Leo tarehe 17/03 ni siku ambayo hayati JPM alitutoka 2021.

Katika pitapita leo nimekutana na kijana mmoja kuniambia sisi ambao hatuna akili na sio wazalendo ambao wengi wetu tulikosa virutubisho utotoni na kupata udumavu hatuoni mchango wa hayati Magufuli.

Hiyo inapelekea kumsema vibaya na kutoona mazuri yake kipindi cha uhai wake lakini wao wenye akili na uzalendo wanamkumbuka sana.

Lakini pia wengi wetu hatuna uzalendo.

Hivyo tunampomkumbuka hayati Magufuli tuyatafakari haya pia.
View attachment 2936876
Huyo shetani labda we na mkeo ndiyo mnamhitaji, ila mnaweza kumfuata aliko sahivi. Mtu mshamba mbaguzi km yule never never never again. Haitakaa irudie tena, ht JK anajutia uamuzi wake wakati ule
 
Nchi yoyote ili ipige hatua inahitaji Rais anaeisimamia Katiba na kuilinda.

PambanaZaidi/CottonandMore
 
Alikuwa Muamini
 

Attachments

  • IMG-20240309-WA0144.jpg
    IMG-20240309-WA0144.jpg
    8.7 KB · Views: 1
Leo tarehe 17/03 ni siku ambayo hayati JPM alitutoka 2021.

Katika pitapita leo nimekutana na kijana mmoja kuniambia sisi ambao hatuna akili na sio wazalendo ambao wengi wetu tulikosa virutubisho utotoni na kupata udumavu hatuoni mchango wa hayati Magufuli.

Hiyo inapelekea kumsema vibaya na kutoona mazuri yake kipindi cha uhai wake lakini wao wenye akili na uzalendo wanamkumbuka sana.

Lakini pia wengi wetu hatuna uzalendo.

Hivyo tunampomkumbuka hayati Magufuli tuyatafakari haya pia.
View attachment 2936876
Huyu nae shida alitaka kufanya kama vile nchi ni mali yafamilia yake period,
 
Back
Top Bottom