Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 26,879
- 70,131
Yule ndio kenyenyo sijui ni mtotoHivi wale ni wasanii wa nini hata siwaelewagi naonaga kuna kajitu kafupi kama fimbo yenye 30cm
Yule ndio kenyenyo sijui ni mtotoHivi wale ni wasanii wa nini hata siwaelewagi naonaga kuna kajitu kafupi kama fimbo yenye 30cm
Umenena vema,wadudu wamemzidi ufahamu kilaza bashiteWala siyo bangi, wanaelewa vizuri wanaongea na zero brain.
Jobless uende uwanjani mei mosi kufanya nini?
Kuna majamaa zangu saiv wanaitana wadudu😁Na hii kitu watu wa Arusha wasipokemea, itastawi sana. Sasa hivi ili uonekane mchuga lazima uwe kama hao wadudu, sio mchezo.
Kuna yule dwarfYule ndio kenyenyo sijui ni mtoto
Uzuri mbatizaji hujawahi miliki akiliAcha hizo
Hata Obama alikuwa Teja
Eti wadudu 😄 nchi sahv inavituko sanaMei mosi ni ya wafanyakazi, wote wanaokwenda uwanjani wanalipwa posho makazini kwao, sasa wewe jobless uende uwanjani may day inakuhusu nini?
Waje kwenye pombe tucheze may day ya Fally Ipupa.
Hakuna mtu anayemiliki akiliUzuri mbatizaji hujawahi miliki akili
Arusha ina vibweka sana, vijana wanaojiita wadudu, hatari sana wangemaliza kabisa "wadudu weusi"Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Sasa hao wadudu wanaenda kufanya nini wakati ni sikukuu ya wafanyakazi.Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Majibu yako yanaonesha we ndo wale watu wa Iringa waliokua wanatumia bange kama mboga😁Hakuna mtu anayemiliki akili
Watu tunamiliki Maarifa au AI 😄😄
Mbegu za Bangi kwetu ni kiungo cha mboga kama karanga hadi leoMajibu yako yanaonesha we ndo wale watu wa Iringa waliokua wanatumia bange kama mboga😁
Ndo maana mkiwa wakubwa mnashindwa kua seriousMbegu za Bangi kwetu ni kiungo cha mboga kama karanga hadi leo
Tanzania ukiwa serious utateseka Sana 😂😂Ndo maana mkiwa wakubwa mnashindwa kua serious
Bila shaka ni kina kenyenyo wa kizazi OG 🤣Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Unatoa madafu kigamboni unaenda kuuza ikulu siku zinaenda fresh wakati huo Kuna mtu na ana cheo kikubwa jeshini hajawahi kanyaga ikuluTanzania ukiwa serious utateseka Sana 😂😂
Ishi kama Muuza madafu 😂
Hamna kale ni kajitu kazima,si ndio wale walimnyoa nywele yule mshenzi mshenzi ripota wa serikaliYule ndio kenyenyo sijui ni mtoto
😂😂😂Unatoa madafu kigamboni unaenda kuuza ikulu siku zinaenda fresh wakati huo Kuna mtu na ana cheo kikubwa jeshini hajawahi kanyaga ikulu