Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,838
- 21,292
Arusha ina vibweka sana, vijana wanaojiita wadudu, hatari sana wangemaliza kabisa "wadudu weusi"Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema