Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,367
- 95,188
Uwanja unajazwa na Watu 😀
😀
Watu wataopewa maelekezo ya kushangilia kwa nderemo na vifijo, wala asiwepo atayebeba bango lenye lugha za "uchochezi"
Uwanja unajazwa na Watu 😀
Na hii kitu watu wa Arusha wasipokemea, itastawi sana. Sasa hivi ili uonekane mchuga lazima uwe kama hao wadudu, sio mchezo.Inakera sana mateja yaliyo frustrated na maisha kutumika kama identity ya vijana wa Arusha, anyway wamekutana combo ya kilaza na mateja
Hapa ndipo inajidhihirisha kuwa nchi imevaa chupi kichwani, kumbe Arusha ina wafanyakazi wadudu!!Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Yule ndio kenyenyo sijui ni mtotoHivi wale ni wasanii wa nini hata siwaelewagi naonaga kuna kajitu kafupi kama fimbo yenye 30cm
Umenena vema,wadudu wamemzidi ufahamu kilaza bashiteWala siyo bangi, wanaelewa vizuri wanaongea na zero brain.
Jobless uende uwanjani mei mosi kufanya nini?
Bashite ni Muuaji Mtekaji mzumati wa viwanja na nyumba za GSM MUNGU gani huyo wa kuhangaika na Bashite labda useme kapata kibali cha SHETANISijui na sidhan kama kwa sasa kuna Kiongozi tena Mkuu wa Mkoa tu ambaye anaweza kuwa na Backup ya Viongozi wa Dini kama alivyokua Mh Paul Makonda.
Hakuna na hakuna hakika!!.
Kwakua ukikubalika na Dini ,umekubalika Mbinguni .
Aliyesema Makonda, ndiye yule Ajaye, hakulopoka, alisema haya kwa sababu aliona anafaa na kustahili.
Wakati tetesi za Uteuzi wa Paul Makonda kwenye nafasi ya Ukatibu Mwenezi wa CCM zilipoibuka na uzi wake kuwekwa humu JF, Nakumbuka Mimi nilitoa comment kwamba "Naomba Mungu habari hii iwe kweli ili kuharakisha Anguko." Nafikiri wahusika walikuwa hawajanielewa, matokeo yake kweli Makonda aliteuliwa, na hatimaye ndani ya kipindi kifupi kabisa akasababisha mtikisiko mkubwa sana kwenye Chama Chao hadi kupelekea Katibu mkuu wao kujiudhuru.Hivi kama Mwenyekiti CCM Taifa na Rais wa JMT Samia angesikia Ushauri wa Watu makini tena hadi wale waliompelekea dossiers za Paul Christian Makonda na kumtaka asimtumie kokote kwani ni Mtu asiyebadilika na ana Kiburi cha Asili na Mjeuri leo hii CCM ingefikia hapa hadi Kumkalia Vikao na Kumuonya?
Kama tu aliyekuwa Godfather wake Hayati Magufuli alifika mwisho na Kumchoka na Kumuacha kabisa katika Serikali yake hivi ilihitaji Akili gani / ipi Kubwa tena Kuthibitisha kuwa Makonda hafai hata kwa Kalumangia katika Utendaji iwe wa Serikalini na Chamani CCM?
Halafu wenye Akili Kubwa hapa JamiiForums kila Siku tu tukiwa tunawashauri na kuwakosoa Mnatuchukia ile mbaya.
Kuna majamaa zangu saiv wanaitana wadudu😁Na hii kitu watu wa Arusha wasipokemea, itastawi sana. Sasa hivi ili uonekane mchuga lazima uwe kama hao wadudu, sio mchezo.
Kuna yule dwarfYule ndio kenyenyo sijui ni mtoto
Uzuri mbatizaji hujawahi miliki akiliAcha hizo
Hata Obama alikuwa Teja
Eti wadudu 😄 nchi sahv inavituko sanaMei mosi ni ya wafanyakazi, wote wanaokwenda uwanjani wanalipwa posho makazini kwao, sasa wewe jobless uende uwanjani may day inakuhusu nini?
Waje kwenye pombe tucheze may day ya Fally Ipupa.
Hakuna mtu anayemiliki akiliUzuri mbatizaji hujawahi miliki akili
Arusha ina vibweka sana, vijana wanaojiita wadudu, hatari sana wangemaliza kabisa "wadudu weusi"Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Sasa hao wadudu wanaenda kufanya nini wakati ni sikukuu ya wafanyakazi.Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani
Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni
Nawatakieni Dominica njema
Majibu yako yanaonesha we ndo wale watu wa Iringa waliokua wanatumia bange kama mboga😁Hakuna mtu anayemiliki akili
Watu tunamiliki Maarifa au AI 😄😄
Mbegu za Bangi kwetu ni kiungo cha mboga kama karanga hadi leoMajibu yako yanaonesha we ndo wale watu wa Iringa waliokua wanatumia bange kama mboga😁
Ndo maana mkiwa wakubwa mnashindwa kua seriousMbegu za Bangi kwetu ni kiungo cha mboga kama karanga hadi leo