Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani

Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni

Nawatakieni Dominica njema
Hapa ndipo inajidhihirisha kuwa nchi imevaa chupi kichwani, kumbe Arusha ina wafanyakazi wadudu!!
 
Sijui na sidhan kama kwa sasa kuna Kiongozi tena Mkuu wa Mkoa tu ambaye anaweza kuwa na Backup ya Viongozi wa Dini kama alivyokua Mh Paul Makonda.

Hakuna na hakuna hakika!!.

Kwakua ukikubalika na Dini ,umekubalika Mbinguni .

Aliyesema Makonda, ndiye yule Ajaye, hakulopoka, alisema haya kwa sababu aliona anafaa na kustahili.
Bashite ni Muuaji Mtekaji mzumati wa viwanja na nyumba za GSM MUNGU gani huyo wa kuhangaika na Bashite labda useme kapata kibali cha SHETANI
 
Hivi kama Mwenyekiti CCM Taifa na Rais wa JMT Samia angesikia Ushauri wa Watu makini tena hadi wale waliompelekea dossiers za Paul Christian Makonda na kumtaka asimtumie kokote kwani ni Mtu asiyebadilika na ana Kiburi cha Asili na Mjeuri leo hii CCM ingefikia hapa hadi Kumkalia Vikao na Kumuonya?

Kama tu aliyekuwa Godfather wake Hayati Magufuli alifika mwisho na Kumchoka na Kumuacha kabisa katika Serikali yake hivi ilihitaji Akili gani / ipi Kubwa tena Kuthibitisha kuwa Makonda hafai hata kwa Kalumangia katika Utendaji iwe wa Serikalini na Chamani CCM?

Halafu wenye Akili Kubwa hapa JamiiForums kila Siku tu tukiwa tunawashauri na kuwakosoa Mnatuchukia ile mbaya.
 
Hivi kama Mwenyekiti CCM Taifa na Rais wa JMT Samia angesikia Ushauri wa Watu makini tena hadi wale waliompelekea dossiers za Paul Christian Makonda na kumtaka asimtumie kokote kwani ni Mtu asiyebadilika na ana Kiburi cha Asili na Mjeuri leo hii CCM ingefikia hapa hadi Kumkalia Vikao na Kumuonya?

Kama tu aliyekuwa Godfather wake Hayati Magufuli alifika mwisho na Kumchoka na Kumuacha kabisa katika Serikali yake hivi ilihitaji Akili gani / ipi Kubwa tena Kuthibitisha kuwa Makonda hafai hata kwa Kalumangia katika Utendaji iwe wa Serikalini na Chamani CCM?

Halafu wenye Akili Kubwa hapa JamiiForums kila Siku tu tukiwa tunawashauri na kuwakosoa Mnatuchukia ile mbaya.
Wakati tetesi za Uteuzi wa Paul Makonda kwenye nafasi ya Ukatibu Mwenezi wa CCM zilipoibuka na uzi wake kuwekwa humu JF, Nakumbuka Mimi nilitoa comment kwamba "Naomba Mungu habari hii iwe kweli ili kuharakisha Anguko." Nafikiri wahusika walikuwa hawajanielewa, matokeo yake kweli Makonda aliteuliwa, na hatimaye ndani ya kipindi kifupi kabisa akasababisha mtikisiko mkubwa sana kwenye Chama Chao hadi kupelekea Katibu mkuu wao kujiudhuru.

Wananchi wenzangu tukubali ukweli mchungu kwamba Paul Makonda ni mtu asiyefaa kuongoza binadamu, hana hata sifa moja ya kuongoza watu.

Isitoshe, kwa Sasa hapa nchini Tanzania amekuwa ndiye Mkuu wa Mkoa mbumbumbu zaidi kuliko wenzake wote, Rais anapaswa kuondokana naye kwa kumuweka kando.

Kama Rais anaona kwamba haitawezekana kabisa kumuweka kando kutoka ktk Serikali yake, basi amteue Paul Makonda kuwa Balozi na amtume kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mataifa ambayo Sera zake ziko against na nchi ya Marekani pamoja na washirika wake, kama vile nchi ya Korea ya Kaskazini, Myanmar (Burma), Belarus, n.k.
 
Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani

Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni

Nawatakieni Dominica njema
Arusha ina vibweka sana, vijana wanaojiita wadudu, hatari sana wangemaliza kabisa "wadudu weusi"
 
Vijana wa mjini Arusha wajulikanao kama Wadudu wamemuhakikishia mkuu wa mkoa huo mh Paul Makonda kwamba Wataujaza uwanja Siku ya Mei Mosi na Wanahamasisha Wana Arusha wote wawepo Uwanjani

Makonda amewashukuru sana vijana hao kwa upendo na amewataka wasijiite Wadudu kwa sababu wao wameumbwa kwa mfano wa Mungu wa Mbinguni

Nawatakieni Dominica njema
Sasa hao wadudu wanaenda kufanya nini wakati ni sikukuu ya wafanyakazi.
Bashite bhana
 
Back
Top Bottom