Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,306
Haya kumekucha kumekucha.
Tunisia=Misri
Who is next?
Yemen or Iran?
Libya or Bahrain?
Tanzania or Uganda?
Zimbabwe or Ivory Cost?
Yetu macho
Hiyo ya papo nadhani baada ya miaka mia tano ya kujitambua kuwa udini wetu tuuweke pembeni ndio tutaweza kufanya ya Misri. Ila kama kina Masanilo wao wataendeleza kejeli na kebehi pengine tutachukua hata miaka elfu moja!