Putin ameshasema mara kadha wa kadha kuwa USA aliposababisha maafa Libya, Syria, Serbia, Iraq na Afghanistan nani ali condemn hayo ? Even UN security assembly hawaku approve uvamizi.

Tusii condemn RUSSIA sababu yenyewe inatka security assurance kuwa western bloc hawato expand east zaid wala kuweka sophiscated material zao pale za kijeshi.

What i see ni USA kujaribu kuiweka Russia kwenye mtego mbovu ili aingie kwenye vita alafu azid kuporomoka kiuchum.
USA wana propaganda za kipuuz sana.
Through diplomacy ule mgogoro utaisha lakini kwa kurushiana magurunet muathirika mkubwa ni Ukrain
Siyo Ukraine tu, Russia ataponaje kiuchumi?
 
Aivamie Ukraine akose mradi wa gas wa Nord Stream 2?..NATO walishamwambia Putin very clear,hawezi pata vyote,achague kimoja,aivamie Ukraine akose Nord Stream 2 au aachane na Ukraine inversion abakize Nord stream 2.
Unafikiri Putin ni mjinga hivyo akose mradi utaofaidisha genereations sababu ya vita Ukraine.
Kila kitu ni leverage boss sio ubabe wa kijinga mnaoupigania huku usio na kichwa wala miguu.
Leo Sergei Lavrov amesema baadhi ya wanajeshi waliokuwa mpakani Ukraine wameanza safari ya kurudi kambini,Hata satellites za Marekani wame confirm movements za wanajeshi ku withdraw..
Vita sio lelemama aisee
Putin anashinikiza Ukraine isiwe mwanachama wa NATO ndio maana ameleta mbinu hii ya zaman,anyways kila kiongozi ana maono yake,sidhan ka Vladimir n mjinga mpk Hali hiii ipo
 
France + Uk wote wakiungana kwenye arsenal zao hawafikii number ya nuclear warhead zinazomilikiwa na Russia.
Kuna mpembuzi msomi hapo ameelezea economically Russia iko chini kuliko hizo nchi.

Lakini uwanda wa kivita ni superpower wana cheza sawa na USA. Wameuza technolijia nyingi na wako poa sana kwenye midani hiyo.. China, India ambazo wako vizur kwenye uwanda huo pia most of its technology ni kutoka Russia.
Sawa mkuu kwa hiyo udhaifu wa Russia kiuchumi ni sababu tosha ya kushindwa Vita
 
Ni uhuru gani anao utaka Ukraine?

Yaan utishie usalama wa raia wangu kwa kigezo cha uhuru?

Ukaribishe adui yangu anaye ota kila siku niangamie alafu nikae kimia kisa una uhuru wa kujitawala?

Alafu Marekani anapata wapi uhalali wa kuikemea Russia ali ya kuwa ndio kinala wa kuingilia uhuru wa nchi nyingine?

Viongozi wa Ukraine kama wana akili wanatakiwa kufuata siasa zisizo fungamana na upande wowote kwa sababu taifa lao lipo kwenye eneo la kimkakati tofauti na hapo ipo siku Ukraine ita geuka bahari ya damu.
Wakati Ukraine inakuwa Bahari ya Damu Russia itakuwa salama?
 
Putin ukitaka achague mradi wa gas na nord stream 2 au ukraine asain mkataba wa kuungana na nato unahisi atachagua kipi ?

atachagua kuivamia ukraine na kuzuia mkataba.

kitu ambacho hawajui media za marekani,ufaransa,australia,ujerumani na bbc zilizo africa kwa kifupi radio mbao zote zilizopo upande wa nato hata urusi.

"""" alivyozindua avangard hypersonic missile linatoka urus mpaka marekani moja kwa moja na bomu la zurcon ambalo marekani hana" mlitangaziwa nawauliza hii habari mara mbili mbili zaidi zaidi huwa mnasikia habari za kiduku tuuu"

hizo media zinamaongezi ya kuonyesha usupa power kwa NATO countries au kuonysha kama urusi hana nguvu za kufanya lolote au wamesalender.

Nawapa taarifa lugha anayo ongea putin na uchina hamuijui kabisa ? wiki iliyopita uchina ilitoa tamko la kuiunga mkono urusi, belarus walimuunga mkono urusi na taarifa nyingi hamzipati kwa sababu "zinachujwa" ....... na kupewa zenye kuonesha urus si kitu.

Ukitaka ujue urusi ni mwanaume nitakuorodheshea mambo kadhaa hapa :…
1. Rais wa ufaransa alienda urusi kufanya maongezi ili wamtulize lakini alipigwa chini hakuonekana kitu, watu kitu ambacho hawaelewi ni kuwa BIDEN kaharibu sana .

2. Cancellor wa ujerumani kwa kiasi kikubwa ndio kasikilizwa baada ya ziara ya jana ukraine na kwenda urusi leo na putin kasema atapunguza troops kule.

3. Nchi zaidi ya 7 kubwa ikiwemo marekani, wingereza,ujerumani,ufaransa wanamuongelea urusi peke yake .

4. Hivi urusi hamjiulizi kwa nini viongozi wakubwa ndio wanamfata kwenye nchi yake lakini jamaa amewakazia mpaka cancellor wa ujerumani ndio kasikilizwa dunia nzima wanaiogopa NATO chini ya U.S.A kwa sababu ya propaganda.

halafu media za NATO zinavyoripoti et putin anatoa majeshi kama kaogopa vilee au hawezi kuvamia yani watu ni wanadanganywa na media.

kwa kifupi mimi nafatilia maneno ya putin kupita media yao ya RT .
kimachofanya asikurupuke anajua kwamba viongozi wa hii dunia ya leo hawajielewi yeye toka mwaka 2000 kaanza na bush,obama,trump anawajua vizuri hlf huyu biden.

1. BiDEN MGONJWA U.S.A
2. RAIS WA UKRAINE ALIKUA MCHEKESHAJI sio kiongozi mwenye uzto.

3. MACRON NI MTOTO bado hajakomaaa kwa maono ya putin.

KIDOGO KWA SASA ANAWEZA SEMA NA KIONGOZI WA UJERUMANI KWA SABABU VIONGOZI WAKE NI WATU WANAOJUA HISTORIA

KWA KIFUPI CANSELLOR WA UJERUMANI KATOA HOJA YA MSINGI KUWA KWA KIZAZI CHA SASA HAKITAJI VITA KAMA KIPINDI WALIVYO SHUHUDIA WAO ATHARI ZAKE NA KUELEZEA NAMNA WANAVYOTAKIWA KUFOCUS NA UWEKEZAJI.

Putin kamuelewa yule cansellor hata mimi hoja za cansellor wa ujerumani nimeziona zinastahili kupunguza jazba ya Putin.

NB : Putin ndio anaongoza kwa bomu za nuclear duniani msisahau hilo licha ya nchi saba kumtaka peke yake.
 
Hakuna vita serious vitatokea na kama itakuwepo russia ataumia sana, USA itaumia sana halafu third word countries tutalia kilio cha paka shume aliyepigwa jiwe la koo akiwa anajaribu kumeza mfupa wa samaki uliokwama.
 
Tatizo watz tuna ujuaji wa kinonko sana.

Urusi ikiamua itaivamia Ukraine na Marekani hatofanya chochote zaidi kulialia na kuweka vikwazo.

Marekani na vibaraka wake wangekuwa na nia ya kweli kuisaidia Ukraine wangeisadia kukomboa majimbo mawili yanayo shikiliwa na waasi.

Inashangaza eti jeshi ambalo limeshindwa na kukundi cha waasi chenye wapiganaji wasiozidi 50,000 eti kije kukabiliana na moja wapo ya jeshi kubwa duniani.

Iwapo vita itatokea nakuhakikishia jeshi la Ukraine halitaweza kuhimili nguvu ya jeshi la Urusi hata ndani ya wiki mbili.
Umeongea sahihi mkuu, km wanaweza Marekani na wake zake wakomboe jimbo la Cremea au Donbas iliyo chino ya waasi wanaoungwa mkono na Russia ndio vita ya 3 ya dunia ianze rasmi.
 
Ndio maana nimemwambia mtoa mada ya kwamba Urusi inaweza isiivamie Ukraine kwa sababu zingine hasa za kiuchumi .

Lakini hoja ya kwamba Urusi inaogopa kuivamia eti kwa sababu ya kugopa Marekani itatuma wanajeshi wake sio kweli.

Na ndio maana nimemwambia ya kwamba Urusi ikiamua kuivamia Ukraine Marekani hatofanya chochote zaidi ya kuweka vikwazo vya kiuchumi ikiwemo kusitisha hilo bomba la gesi.

Na kama umeufatilia huu mgogoro hakuna kiongozi yeyote yule wa Urusi aliye sema ya kwamba Urusi inataka kuivamia Ukraine zaidi ya kusema wanafanya mazoezi ya kijeshi ya kawaida,
hizo tuuma za Urusi kutaka kuivamia Ukraine zimekuwa zikitolewa na nchi magharibi na viongozi wa Urusi Mara kwa mara wamekuwa wakikanusha.

Na sisitiza USA na washirika wake wange kuwa na nia ya kuisaidia Ukraine wangeisaidia kwanza kukomboa majimbo mawili yanayo shikiliwa na waasi.
We jamaa bado hujaelewa hizi siasa za dunia hii zinavyoenda. Hivi hali ilivyo ni muda wa kutaka kukomboa majimbo ili umpe Urusi nafasi ya kupata kisingizio? Marekani hawezi ingia vitani moja kwa moja kwani manufaa yake kwenye hivi vita ni kidogo.
 
Nitajie ni lini Ukraine imetishia raia wa Urusi?..
Ukraine anataka uhuru wa kuchagua rafiki bila kupangiwa na mtu,maana ni nchi huru,labda useme hapa Ukraine sio nchi huru na utoe vigezo.
Marekani sio tu anaowapigia Russia kelele dunia yote inamuona mrusi ana sababu za hovyo kutaka kuivamia Ukraine,,strategic area zote kama eastern Ukraine na Crimea ambapo ni door to black sea fleet na baltics Russia ndio anazitawala,leo anataka ku bomb Kyev aue raia wasio na hatia in what grounds??
Kingine shida ni kujiunga NATO sio?,,Ronania,Lithuania,Wazirstan wote hawa walikuwa Soviet members na wamejiunga na NATO,mbona Russia hakuwavamia kwa kigezo hicho hico unachokiita kuhatarisha raia wake?...Tuache kushabikia mauaji kishabiki shabiki
Tatizo mkuu ume amuwa kujitoa akili badala yake umeamuwa kuongozwa na mihemko na chuki dhidi ya Russia.

Hapa kinacho angaliwa siyo huo urafiki bali ni lengo la huo urafiki ndicho kinacho iogopesha Russia na ina haki ya kuwa na hofu hiyo.

Ndio una haki ya kuwa na rafiki unaye mtaka ila nikigundua huyo rafiki anataka kukutumia kunidhuru mm na familia yangu sinta jiuliza mara mbili nitakuteketeza mara moja.

Na ukitaka kulitambua hilo leo hii Mexico imkaribishe china au Russia waanzishe ushirika wa kijeshi tuone kama Marekani atasikiliza uho uharo wenu wa sijui Mexico ni taifa huru na lina uhuru wa kuchagua rafiki anaye mtaka.

Eti dunia nzima inapinga?
Nitajie ni nchi gani inayo piga kekele zaidi ya USA na vibaraka wake.

Hata Turkey ambayo ni mwana chama wa Nato emewataka viongozi wa Ukraine kutumia busara maana vita ikitokea atakaye poteza ni Ukraine na si USA na maswahiba wake wanao mjaza upepo.
Mkuu punguza mihemko .
 
We jamaa bado hujaelewa hizi siasa za dunia hii zinavyoenda. Hivi hali ilivyo ni muda wa kutaka kukomboa majimbo ili umpe Urusi nafasi ya kupata kisingizio? Marekani hawezi ingia vitani moja kwa moja kwani manufaa yake kwenye hivi vita ni kidogo.
Sasa mkuu unacho pinga nn na unacho kubali ni kipi?
Maana kwa hoja yako tiyari umesha unga mkono mawazo yangu.
Na ndio maana nikataa hoja yake ya kwamba Urusi ina ogopa kuivamia Ukraine kwa sababu ina ogopa kupingwa na Marekani.

Nilicho taka kumaanisha ni kwamba Marekani hawezi kuweka mamilioni ya raia na uchumi wake rehani eti kwa ajili ya kuitetea Ukraine kwa sababu hana sababu na maslahi ya kufanya hivyo zaidi ya kupeteza.
 
Urusi hana jeuri akiona hivi 👇

Screenshot_20220215-212640.png


Screenshot_20220215-212614.png


Screenshot_20220213-203048.png
 
WAAMUZI KTK UBORA WENU

Wengine humu hata mlio wa risas hamuujui, si ajabu bomu kuliona kwa macvo hujawai zaid ya kuona ktk Hollywood movies.

Sas hayo makelele ya kushadadia sjui taifa fulani lina nguvu kulko taifa fulani, unapata wapi hiizo nguvu?

Ktk vita hakuna mshindi, hususan vita vya mataifa makubwa yanayohusisha siraha kubwa za maangamiz.

Acheni ushabik uchwara
 
Vita yoyote itakayohusisha Kati ya USA China au Russia Itakuwa ni ya muda mfupi Sana kuliko inavyofikiria. Sbabau hakuna atakaye poteza mda na visilaha vidogo wapoteze miezi au miaka wanapigana. Mtalala usiku kama wa Leo kesho asubuhi mnasikia Kuna mtu kamwagiwa NYUKLIA NUSU YA NCHI...........Atakayeanza kulimwaga ndio mshindi
 
Nitajie ni lini Ukraine imetishia raia wa Urusi?..
Ukraine anataka uhuru wa kuchagua rafiki bila kupangiwa na mtu,maana ni nchi huru,labda useme hapa Ukraine sio nchi huru na utoe vigezo.
Marekani sio tu anaowapigia Russia kelele dunia yote inamuona mrusi ana sababu za hovyo kutaka kuivamia Ukraine,,strategic area zote kama eastern Ukraine na Crimea ambapo ni door to black sea fleet na baltics Russia ndio anazitawala,leo anataka ku bomb Kyev aue raia wasio na hatia in what grounds??
Kingine shida ni kujiunga NATO sio?,,Ronania,Lithuania,Wazirstan wote hawa walikuwa Soviet members na wamejiunga na NATO,mbona Russia hakuwavamia kwa kigezo hicho hico unachokiita kuhatarisha raia wake?...Tuache kushabikia mauaji kishabiki shabiki
hao walojiunga hawakua kitisho kama KIEV nandio maana MOSCOW wamekua wazi kabisa kwamba kama KIEV itajiunga na NATO watapigwa tuu
nahata mimi sisapoti VITA ila wakijiunga wapigwe tu tena wapigwe kipigo chakuchakaza
 
We jamaa bado hujaelewa hizi siasa za dunia hii zinavyoenda. Hivi hali ilivyo ni muda wa kutaka kukomboa majimbo ili umpe Urusi nafasi ya kupata kisingizio? Marekani hawezi ingia vitani moja kwa moja kwani manufaa yake kwenye hivi vita ni kidogo.
hrheher
kwakua haya majimbo yalitekwa mwaka jana ama
 
Japo napenda kumbukizi ya vita baridi "cold war" ya miaka ileee..
Na ni kweli iliweza kuleta balance of power.....
Na ninapenda iwepo nchi kama USSR iliyokuwa inamuweka US kwenye "check mate and balance"
Kwa sasa Russia ni "Riot Country" na anajijiua kiwango chake cha nyodo kina ukomo.....
Haya sasa anarudisha majeshi nyuma.....
Mjini Hela....
 
Back
Top Bottom