Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 11,278
- 19,115
Hadi leo sijaona kwa nini serikali haitaki kabisa kutoa takwimu za idadi ya watu katika dini mbali mbali, yaani tujue Tanzania kuna Waislamu wangapi, kuna Wakristo wangapi, kuna wapagani wangapi. Na katika Waislamu kuna Suni wangapi, Shia wangapi. Na katika Wakristo, kuna Wakatoliki wangapi, Walutheri nk.
Na pia ningependa kujua kuna Wasukuma wangapi, Waha wangapi nk. Ubaya wake nini kujua hii idadi? Kusema itaeta udini au ukabila ni sababu yebo yebo.
Wanawake wanajua wako wengi kuliko wanaume, mbona hatuoni wakidai mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya wengi wawe wanawake kuliko wanaume?
Na pia ningependa kujua kuna Wasukuma wangapi, Waha wangapi nk. Ubaya wake nini kujua hii idadi? Kusema itaeta udini au ukabila ni sababu yebo yebo.
Wanawake wanajua wako wengi kuliko wanaume, mbona hatuoni wakidai mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya wengi wawe wanawake kuliko wanaume?