rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,522
- 42,025
Sasa hao Madaktarii utawatoa wapi?? Unajua gharama ya kumtengeneza daktari mmoja???wawakopeshe wanafunzi pesa wakati hata dawa hospitalini hakuna, vifaa tiba hakuna, barabara mbovu
Sasa hao Madaktarii utawatoa wapi?? Unajua gharama ya kumtengeneza daktari mmoja???wawakopeshe wanafunzi pesa wakati hata dawa hospitalini hakuna, vifaa tiba hakuna, barabara mbovu
Ungekuwa unajua gharama za masomo ya juu ungeshauri serikali iongeze mikopo.Nashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe,mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote?
Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi?
Nimeona serikali inataka kuwapa mikopo na hawa diploma,, hili nalo litakuwa kosa kubwa sana, yani kujibebesha mzigo juu ya mzigo ,,, cha muhimu hapo serikali wapige kimya tu na huko kwa ngazi ya degree wawafutie kabisa kama ikibidi labda wawape ada tu ,pesa ya kula wajitegemee.
Acha roho ya kwanini kwakuwa wewe umekosa basi tukose wote?Mimi nimesoma diploma nikamalizia na degree, naunga mkono hoja.
Ushajiuliza hizo degree zina msaada Gani Kwani Kwa taifa kama sio wewe ndio mpumbavuMoja kati ya hoja za kishenzi na kipuuzi ya mwaka 2024 hapa jf ni hii unafaa kupuuzwa tu, inaoenakana wew umeishia form 4(div0) so roho inakuuma kweli shenz typ
Mwenye akili timamu hawezi toa hoja ka kurupuka hivyo mkuu kunywa chai then soma tena uzi wako utagundua umeongea hakuna.Nashauri hii mikopo ya elimu ya juu ifutwe,mbona wanachuo wenzao wa diploma wanasoma bila mkopo na hatusikii kelele zozote?
Tofauti yao na wenzao wa diploma ipo wapi?
Nimeona serikali inataka kuwapa mikopo na hawa diploma,, hili nalo litakuwa kosa kubwa sana, yani kujibebesha mzigo juu ya mzigo ,,, cha muhimu hapo serikali wapige kimya tu na huko kwa ngazi ya degree wawafutie kabisa kama ikibidi labda wawape ada tu ,pesa ya kula wajitegemee.
Sina hakika kama VETA wanatoa manesi, madaktar,wafamasia na professionals wengine wengi kwa ajili ya maendeleo ya Taifa,, labda unifumbue kwa hilo mkuu.Ushajiuliza hizo degree zina msaada Gani Kwani Kwa taifa kama sio wewe ndio mpumbavu
kuna faida gani kuwa na madaktari wengi na kazi hakuna ?Sasa hao Madaktarii utawatoa wapi?? Unajua gharama ya kumtengeneza daktari mmoja???