Wana familia wa JF,
Humu ndani naamini wapo Watanzania ambao wanaishi Marekani kwa nguvu ya GREEN CARD.
Kwa faida ya wengi, naomba yeyote anayejua au amefanikiwa kuwa na Green Card ya Marekani ni kwa namna gani imemsaidia kuishi huko USA na kwa namna gani imemsaidia kupata kazi nzuri na kuweza ku-make enough cash na kutimiza ndoto zake.
Pia naomba kufahamu changamoto ambayo mtu aliyeshinda Green Card anaweza kukutana nayo mara tu anaingia Marekani for the first time au nini afanye ili mambo yaende sawa.
Mwisho naomba kujua kama mtu akiacha mshahahara wa 3M Bongo akienda Marekani anaweza ku-make fedha ndefu zaidi na hasa akiwa na hayo makaratasi kwa maana ya Green Card au ndio inaweza kuwa anapotea kimaisha?
Natanguliza shukrani kwa wajuzi wa haya mambo na naamini mchango wenu utasaidia Watanzania wengi kufahamu kuhusu faida za kuwa na Green Card ya Marekani.
ASANTENI SANA 🙏🙏
Humu ndani naamini wapo Watanzania ambao wanaishi Marekani kwa nguvu ya GREEN CARD.
Kwa faida ya wengi, naomba yeyote anayejua au amefanikiwa kuwa na Green Card ya Marekani ni kwa namna gani imemsaidia kuishi huko USA na kwa namna gani imemsaidia kupata kazi nzuri na kuweza ku-make enough cash na kutimiza ndoto zake.
Pia naomba kufahamu changamoto ambayo mtu aliyeshinda Green Card anaweza kukutana nayo mara tu anaingia Marekani for the first time au nini afanye ili mambo yaende sawa.
Mwisho naomba kujua kama mtu akiacha mshahahara wa 3M Bongo akienda Marekani anaweza ku-make fedha ndefu zaidi na hasa akiwa na hayo makaratasi kwa maana ya Green Card au ndio inaweza kuwa anapotea kimaisha?
Natanguliza shukrani kwa wajuzi wa haya mambo na naamini mchango wenu utasaidia Watanzania wengi kufahamu kuhusu faida za kuwa na Green Card ya Marekani.
ASANTENI SANA 🙏🙏