Swahili_Patriot
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 271
- 535
Ni takriban wiki 2 sasa tangu nilipoiona habari ya mafuriko ya Rufiji dam. Habari ilieleza kuwa sio chini ya kaya 1000 zimeathiriwa na maji ya mafuriko yaliyotokana na maji kujaa kwenye dam kutokana na mvua nyingi.
Frankly nilitamani kujua mengi zaidi kwenye hili. Kwa waliopo karibu na eneo la tukio ninaomba mtupe full info juu ya hili. Nashangaa kwanini hii habari imefumbiwa macho. Wanaficha nini hadi kuizika habari nzito kama hii.
Frankly nilitamani kujua mengi zaidi kwenye hili. Kwa waliopo karibu na eneo la tukio ninaomba mtupe full info juu ya hili. Nashangaa kwanini hii habari imefumbiwa macho. Wanaficha nini hadi kuizika habari nzito kama hii.