official scandal
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 386
- 798
Wembamba wa barabara?!
Hiyo barabara imekuwa nyembamba wakati wa ajali?
Haya mabasi tuna madereva wa hovyo sana. Hapo mtu ame-overtake bila kuwa na uhakika wa kufika upande wa pili.
Ajali nyingi za Tanzania ni za kujitakia haswa kwa madereva wanaotaka kuwahi bila kuzingatia usalama.
Hiyo barabara imekuwa nyembamba wakati wa ajali?
Haya mabasi tuna madereva wa hovyo sana. Hapo mtu ame-overtake bila kuwa na uhakika wa kufika upande wa pili.
Ajali nyingi za Tanzania ni za kujitakia haswa kwa madereva wanaotaka kuwahi bila kuzingatia usalama.