Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,555
- 52,293
Wakuu kwema!
Kuna jambo huwaga najiuliza kila siku kwenye hivi vita vinavyoendelea huko Mashariki ya kati baina ya Israel na Hamas.
Wakati wanawake na watoto wanapouliwa huko Gaza, Wanaume zao wanakuwa wapo wapi?
Je, wanakuwa wanapigana?
Je, wamekimbia na kuacha familia yao?
Je, wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ya mashambulizi?
Yaani vita imeanza, mnajua kabisa maeneo yatakayoshambuliwa ni yapi inakuwaje familia îachwe maeneo hayo?
Mbona viongozi wao wanawake na watoto wao hawauliwi? Nazungumzia watoto wadogo.
Je, Hamas inashindwa kuficha au kuhamisha na kupeleka wanawake na watoto wao sehemu salama kisha vita iendelee?
Bado hainiingii akilini. Yaani kweli wewe mwanaume unajua kabisa kesho au Wiki ijayo kutafanywa mashambulizi mji wenu alafu uache familia yako eneo hilo. Kweli.
Mbona watawala wao hawakubali familia zao ziwe sehemu isiyo salama? Kwa nini Watu maskini na wajinga ndio huwa wahanga wakwanza kwenye vita?
Karibuni kwa mjadala
Kuna jambo huwaga najiuliza kila siku kwenye hivi vita vinavyoendelea huko Mashariki ya kati baina ya Israel na Hamas.
Wakati wanawake na watoto wanapouliwa huko Gaza, Wanaume zao wanakuwa wapo wapi?
Je, wanakuwa wanapigana?
Je, wamekimbia na kuacha familia yao?
Je, wanawatumia wanawake na watoto kama kinga ya mashambulizi?
Yaani vita imeanza, mnajua kabisa maeneo yatakayoshambuliwa ni yapi inakuwaje familia îachwe maeneo hayo?
Mbona viongozi wao wanawake na watoto wao hawauliwi? Nazungumzia watoto wadogo.
Je, Hamas inashindwa kuficha au kuhamisha na kupeleka wanawake na watoto wao sehemu salama kisha vita iendelee?
Bado hainiingii akilini. Yaani kweli wewe mwanaume unajua kabisa kesho au Wiki ijayo kutafanywa mashambulizi mji wenu alafu uache familia yako eneo hilo. Kweli.
Mbona watawala wao hawakubali familia zao ziwe sehemu isiyo salama? Kwa nini Watu maskini na wajinga ndio huwa wahanga wakwanza kwenye vita?
Karibuni kwa mjadala