Hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original?

Imagine kwenye top ten yako sijui hata moja, yaani achilia mbali kutumia, hata jina sijui🤣🤣🤣
Mimi majina ya perfume huwa sihangaiki nayo. Maadamu nalijua duka la kununulia na kampuni yangu pendwa naingia kwenye duka langu pendwa.

Anayehangaika na majina ya perfume ni mwenzangu na wanawake hayo ni mambo yao.

Ananisubiria labda kipindi hiki natumia aina fulani ya perfume ikiwa inakaribia kuisha anaenda kunichukulia ya aina nyengine kwenye duka hilo hilo na kampuni hiyohiyo! Utasikia mara ya kwanza ulikuwa unatumia hii kwa sasa tumia hii!
 
Nenda kwenye duka la Albait Aldimashqi Perfume ni za kutoka UAE. GSM mall unazipata hizo mzee. Zinanukia vizuri. Ndizo perfume ninazotumia.

Bei zake ni kwa madaraja yote ya vipato. Kuanzia kipato cha chini, cha kati mpaka cha juu.

Kipato cha chini ni kuanzia 30k mpaka 40k mpaka 50k na 60k mpaka 70k zipo. Kuna kipindi nilipita kwa haraka haraka Mlimani City kama nililiona duka lake ila sina uhakika sana.

Wana perfumes za aina tofauti tofauti hivyo itabaki kuwa ni uchaguzi wako. Kama unajihisi unaweza ukatatazika na perfume ipi kwako itakuwa nzuri zaidi, nenda na mwanamke wako atakusaidia na hatokuangusha.
Wapo na Mlimani City pia...
Ajabu ile perfume yao iliyokuwa 35k sasa hivi ni 40k
 
Jamaa wanachezea hela kipumbavu
Hahahah!

Ndugu yangu, ukiwa na hela hata kwa mwezi ukiwa unapata millioni 7 au iwe hata ya mshahara kuna manunuzi ukiyafanya unaona ya kawaida sana.

Naweza kusema natoa 2.5 million kwenye mambo yangu mengineyo! Na 4.5 nabaki nayo!

Kwa siku ukiamua kufanya manunuzi ya million ni kitu cha kawaida.

Mimi na mke wangu tukienda kufanya manunuzi ya kununua vitu huwa tunaenda mpaka 1.9million.

Lakini hayo yanakuwa ni makorokoro. Mara nyingi huwa tunaenda mwezi 11 Mlimani City vitu huwa vimeshuka bei 😂😂😂😂.

Tutachukua mazulia ya kituruki ni mazuri. Yaani nikikaa yale najiona kama mimi Ottoman Bay. Kuna washing machine huwa zinashuka bei na za kisasa.

Kuna vitu vingi utavipata kwa wakti mmoja. Vitu bora kwa bei nafuu! Nimekupatia siri hiyo!
 
Hahahah!

Ndugu yangu, ukiwa na hela hata kwa mwezi ukiwa unapata millioni 7 au iwe hata ya mshahara kuna manunuzi ukiyafanya unaona ya kawaida sana.

Naweza kusema natoa 2.5 million kwenye mambo yangu mengineyo! Na 4.5 nabaki nayo!

Kwa siku ukiamua kufanya manunuzi ya million ni kitu cha kawaida.

Mimi na mke wangu tukienda kufanya manunuzi ya kununua vitu huwa tunaenda mpaka 1.9million.

Lakini hayo yanakuwa ni makorokoro. Mara nyingi huwa tunaenda mwezi 11 Mlimani City vitu huwa vimeshuka bei 😂😂😂😂.

Tutachukua mazulia ya kituruki ni mazuri. Yaani nikikaa yale najiona kama mimi Ottoman Bay. Kuna washing machine huwa zinashuka bei na za kisasa.

Kuna vitu vingi utavipata kwa wakti mmoja. Vitu bora kwa bei nafuu! Nimekupatia siri hiyo!
Duh kwahiyo unataka kuniambia nitafute helaa!
 
All in all.. perfume inategemea na ww mwili wako unatoa jasho la aina gani.. mie naweza kupulizia kitu ikanikataa ila mwingine ikaw imempenda ina match na aura yake..

Sasa kuna wimbi la KUFATA MKUMBO.. mtu akiskia Sauvage inanukia vzr bas kesho na yeye kanunua.. anakuja kunukia kama kenge aliyekaangwa.
Eti Kenge aliekaangw a waja mna maneno
 
Mwaka jana niliingia kwenye duka la S.H Amon lipo mlimani city eti najitutumua namimi kuulizia bei za perfume mfukoni sina hata mia, aliingia mzee mmoja na kibinti cha 2000 aisee alimnunulia perfume ya " Greed aventus" alilipa 1m cash kwa card wakasepa namimi nikatafuta mlango wa kutokea nikasepa. All in all umasikini ni m'baya sana.


Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ishi humu ankali
 

Attachments

  • IMG_6335.jpeg
    IMG_6335.jpeg
    2.5 MB · Views: 4
Yaani Mtu unatoa hadi 1.2 for perfume tu maaamaeee huko ni kukufuru? Japo naweza afford bora kukomaa tu na madeodorant for men Axe na Rexona 72 hours na elfu kumi tu.
Mimi natumia Nivea deodorant bei chee kabisa ila saivi mademu wanasema nanukia kinyama..sasa sijui hawa mademu ni wa kienyeji au vipi??

Nikihamia Dior Sauvage si ndo nitawauwa kabisa..
 
Mimi natumia Nivea deodorant bei chee kabisa ila saivi mademu wanasema nanukia kinyama..sasa sijui hawa mademu ni wa kienyeji au vipi??

Nikihamia Dior Sauvage si ndo nitawauwa kabisa..
Unatumia Nivea ipi?.
 
Back
Top Bottom