Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
  • Sticky
Wapendwa, Nimeona nifungue uzi huu maalum kwa wadada wanaopenda mitindo ya nywele. Katika uzi huu nitakuwa nikiweka mitindo mbalimbali ya nywele kila nitakapopata nafasi, lakini pia kwa wale...
14 Reactions
373 Replies
222K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Nimeona na mimi nitoe darasa kidogo kuhusu mavazi sababu na mimi ni kipaumbele changu katika maisha. 1.Epuka kuvaa marangirangi Wakati unamatch mavazi jitahidi kupunguza idadi ya...
94 Reactions
480 Replies
195K Views
Wakuu. Kama wewe ni mrefu, juu ya mita 1.7 ebu jaribisha kuvaa viatu vyenye shingo ndefu kwenye mitoko yako ya sahivi. Kama ni mtu wa jeans na track jaribisha Jordan 1 [ata copy nzuri tu unapata...
15 Reactions
72 Replies
1K Views
Kichwa cha uzi kinajieleza. Huu mtindo wa wanawake hasa wanaoishi mjini wa kuvaa nguo/sketi fupi zinazoishia magotini au juu ya magoti halafu wakiwa wanatembea utawaona wanajishika shika hiyo...
21 Reactions
115 Replies
16K Views
Habari wadau, Leo nilienda na sendo huko katika kibarua changu sasa ghafla kujitazama nakuta kucha za vidole za miguu zimekuwa kubwa na chafu dah za MKONONai nazo ni kama zimefikia hatua ya...
3 Reactions
21 Replies
445 Views
Habari wakuu... Hivi hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original... Mfano kuna jamaa anauza creed aventus mils 100 kwa 55k... Kuna aliyewahi tumia? Ubora upoje?
3 Reactions
150 Replies
4K Views
Huyu binti alikua mzuri, akapotea kama miezi mitatu hivi akarudi na tako kubwa tu na lips pana. Mimi sikuwa na hiyana nikamuita nimchangie gharama alizotumia huko (malegend tutaelewa) Sasa...
11 Reactions
47 Replies
973 Views
Kuna mdada nyumba jirani huwa anafua nguo za ndani nyingi na kuzianika kujaza kamba ikiwa ni njiani tunapopita. Hii tabia sipendezwi nayo, inatutia tu akshi asubuhii. Kwani hizo chupi huwa...
8 Reactions
42 Replies
926 Views
Tupia MISHONO ya nguo hapa iwe ya wadada wamama watoto vijana n.k
10 Reactions
378 Replies
8K Views
Wakuu habari zenu, naulizia wapi nitapata kiatu hiki na bei mwenye kujua tafadhali duka na location. Nb.Nipo Dar Es Salaam.
2 Reactions
26 Replies
1K Views
/* insert salam here */ Wengi tumewahi kuishi au tunaishi kwenye single room. Leo tupeane tips z kufanya ghetto lako liwe safi na la kuvutia kwako na kwa wageni. [Tips zitatofautiana kutokana na...
9 Reactions
31 Replies
654 Views
Hivi kumbe hii michirizi ya sehemu za makwapani, tumboni, mapajani, nyuma ya magoti n.k huwapata hata wanaume pia? nilidhani ni kwa wanawake tu. Ni vizuri kushirikishana namna ya kuzizuia...
3 Reactions
44 Replies
629 Views
Habarini wana JF, Nini kifanyike ili kuongeza mwili (unene) ili niwe na muonekano mzuri wa kiafya unaovutia? Nahitaji kunenepa.
11 Reactions
121 Replies
9K Views
Hello, wapenzi wangu kama mnavyojua nyuso zetu zinakumbana na changamoto nyingi,kma chunusi, makovu, weusi kwenye macho na mambo mengi kutokana na sababu mbalimbali kama hormones, jua, vyakula n.k...
9 Reactions
111 Replies
3K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala.. Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani...
26 Reactions
633 Replies
127K Views
Mimi ni mwanaume nina allergy na vitu vyenye harufu kali, mimoshi ya sigara na vumbi napenda sana kujipulizia perfume lakini zinanishinda naishia kupata mafua makali Je, perfume ipi ambayo imepoa...
5 Reactions
119 Replies
6K Views
Wadau Habari zenu, Naomba kufahamu zaidi kuhusu haya manukato (mafuta) yanayoitwa Bint Sudan ambayo watu tofauti huyatumia kama manukato tu ya kawaida na wengine tiba ya mambo tofauti kama kunuka...
0 Reactions
6 Replies
227 Views
Kujisitiri vema ni jambo la muhimu sana kwa wanaume, lakini pia zaidi sana kwa wanawake, ikiwa ni kwenye mihangaiko au safarini. Kujiandaa na dharura walau na kanga kwenye mkoba ni jambo la maana...
11 Reactions
23 Replies
1K Views
Guys I hope you good, let's skip formalities and jump right into the topic. Ninaomba msaada kwa anayefahamu dawa nzuri (ninapo sema dawa nzuri namaanisha dawa yenye matokeo hasi kidogo sana...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Na hasa nguo za ndani mfano chupi, bra, boxer, vests. Wanao kuwa jirani nawe wanapata tabu sana kwa uzito wa fukuto la hewa nzito ya kiutu uzima, isiyostahimilika kutoka maeneo mbalimbali ya mwili...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Orodha imepangwa kuanzia wa kwanza Hadi wa 15. --- Africa's Most Beautiful Women 1. Ethiopia 2. Nigeria 3. Tanzania 4. Kenya 5. South Africa 6. Ghana 7. Zimbabwe 8. Egypt 9. Congo 10...
4 Reactions
26 Replies
626 Views
Wadau habari za Jioni. Nisiwe na maelezo mengi sana Ningelipenda kufahamu ni Lotion gani nzuri kwa mwanaume ambayo itasaidia afya ya ngozi kuwa imara na kupunguza mabaka vipele na madoa madoa...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Back
Top Bottom