Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo...
4 Reactions
73 Replies
20K Views
Jik Carotone cream Omo Carotone maji Sabuni ya magadi 7 Baking powder n.k
5 Reactions
177 Replies
73K Views
Kumbuka perfume nzuri ni ile inayomfanya mtumiaji kujisikia vizuri, kuongeza confidence na uchangamfu, na kusaidia kuexpress haiba na mood yake. Kwa hiyo natakiwa kuchagua the best and right one...
7 Reactions
624 Replies
234K Views
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia! Mimi natumia Knowledge Perfume, wewe je?
59 Reactions
3K Replies
579K Views
Mwenye kujua Kadeti Bora Zaidi ya Vicobss? Naomba anijuze, usinitajie kadeti zilizopo huko ulaya, najua kuna kali zaidi ya hizi, ila naangalia zile ambazo ni angalau kwa mazingira yetuu...
11 Reactions
85 Replies
4K Views
Mimi ni mtu ninayependa kuvaa vizuri na kula vizuri. Kumbukumbu zangu zinaonyesha mara ya mwisho kununua mtumba ni miaka mingi ishapita hata zaidi ya 10. Nilijiambia bora niwe na nguo chache ila...
3 Reactions
7 Replies
694 Views
Bila kupoteza muda, habarini wana JF. Siku za hivi karibuni niliamua kuanza kufuga nywele, sasa kila mtu ananiambia ukitaka nywele zikue naambiwa niache kuziosha kabisa kwa maji. Nimefatilia kwa...
1 Reactions
6 Replies
468 Views
Hii Dunia haiishi viroja. Huku Dada zetu, Wabantu kama mimi wakipishana kuingia Maduka ya Vipodozi hadi wengine kufikia hatua ya kujidhuru kutokana na kupaka mikorogo isiyo ya viwango maalum...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimekaa na dada mmoja mrembo safarini kwenye seat ya bus amejichubua, ila kama ilivyo ada vidole vya miguuni na mikononi bado vyeusi. Sasa shida huwa ni nini eneo hilo la ngozi kuendelea kuwa peusi?
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Naomba mrejesho kwa alotumia tretinoin na positive and negative effects zake
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nini madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu? 1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia 2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia...
4 Reactions
4K Replies
986K Views
Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha. Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi...
34 Reactions
315 Replies
7K Views
Huimbi kwaya, hujaoa ..., wala sio mlokole Unavaaje haya madubwasha?
12 Reactions
48 Replies
2K Views
Afrika ni Nchi tatu tu zilizo Pata mataji ya walimbwende duniani south Africa, Nigeria na Egypt. 👸🏻 Miss World titles: 🇮🇳 India: 6 🇻🇪 Venezuela: 6 🇯🇲 Jamaica: 4 🇬🇧 UK: 4 🇿🇦 South Africa: 3 🇺🇸...
2 Reactions
25 Replies
984 Views
Habari wakuu, nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. Ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable. Huwa nasikitika sana...
9 Reactions
148 Replies
13K Views
Hair dye reactions Many hair dyes contain ingredients that can irritate your skin or cause an allergic reaction. It's important to be aware of this risk, and know what to do. Reactions to hair...
1 Reactions
1 Replies
417 Views
Asilimia kubwa ya vitu vingi tunavyovitumia inasemekana vina madhara.Nasikia hadi soda eti zina madhara pengine kuliko hata baadhi ya pombe.Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari Ya Asubuhi JF njooni hapa mjue Mavazi Ya Mwanamke Mcha Mungu kama mada ilivyoelezwa MAVAZI YA MWANAMKE MCHA MUNGU [emoji810] [emoji810] [emoji810] [emoji810] [emoji810] [emoji810]...
0 Reactions
6 Replies
758 Views
Katika vitu ambavyo vinafanya uonekane smart ni kiatu ulichovaa, kama umevaa kiatu kibovu basi hata juu utupie vipi watu watakuona mchafu tu. Naombeni mnitajie raba au kiatu ambacho kinadumu na...
4 Reactions
68 Replies
4K Views
Leo nimegundua napenda sana mwanaume akivaa kanzu. Kanzu ina usexiness fulani hivi sijui kwa sababu asili yangu ni Pwani. Kanzu nyeupee halafu awe ananukiaaaaa...na makobazi fulani. Huwa...
12 Reactions
85 Replies
16K Views
Back
Top Bottom