johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,732
- 145,615
- Thread starter
- #101
Huko Duniani Uzanzibar ni deal kuliko utanzaniaKumbe Zanzibar si nchi tu ila ni Taifa pia, kumbe Tanzania ni umoja wa mataifa
Huko Duniani Uzanzibar ni deal kuliko utanzaniaKumbe Zanzibar si nchi tu ila ni Taifa pia, kumbe Tanzania ni umoja wa mataifa
Maandishi yako ni ushahidi wa chuki tena za kukaririshwa na baadhi ya watu wenye nia za urais.Unajua maana ya chuki? Hivi unaona watu wanavyoporwa ardhi zao na kupewa waarabu? Magufuli alipora ardhi na kuwapa waarabu? Kwa nini Samia hakugawa bandari ya Zanzibar lakini akagawa wa Tanganyika? Kwa nini kila rais akitoka Zanzibar anaona waarabu kama ndiyo Mungu wao? Tumechoka kutawaliwa na wapiga mnada wa Tanganyika. Mfumo wa muungano ubadilike kila mtu awe na sauti na mali yake.
Mawazo ya kitoto sana haya, George Washington alishakufa miaka zaidi ya mia mbili iliyopita, ina maana na USA na yenyewe ife kwa sababu muasisi alishakufa?.Huu Muungano wa Karume na Nyerere uvunjwe tu hauna mpango wowote kwanza wenyewe wameshakufa hivyo na muungano wao ufe tu.
Yupo sahihi !Mjukuu wa baba wa Taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema Bunge la Dodoma lina Wabunge 50 wa Zanzibar ( Minority) na Wabunge 250 wa Tanganyika ( Majority) hivyo wakati mwingine hufanya Maamuzi yanayoiathiri Zanzibar kutokana na Wingi wao bungeni
Karume alikuwa akijibu baadhi ya Hoja alizotoa Jaji Warioba Kwenye Kipindi cha Dakika 45 Runingani ITV
Fatma amejibu Ukurasani X
Wanasheria Nguli Hawa 😂😂
Logic ni moja tu na iko waziIkiwa kama na taaluma yake ya sheria ameshindwa kutaja namna walivyoathiriwa atakuwa mropokaji kama waropokaji wengine
Suala linaloongelewa sio kuuvunja Muungano bali ni muundo wa muungano ndio unaojadiliwa. !Muungano ni urithi wa kudumu, tuudumishe.
Sasa mkuu watanganyika kwa kuwa tupo wengi si ndo rahisi kumuondoa CCM.Hadi lini tutaendelea kuwaambia huu Muungano wenye maslahi nayo ni CCM? Waondoeni CCM muone huu Muungano kama utamaliza mwaka.
Muungano ufe tu ili tujipange HoyaMjukuu wa baba wa Taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema Bunge la Dodoma lina Wabunge 50 wa Zanzibar ( Minority) na Wabunge 250 wa Tanganyika ( Majority) hivyo wakati mwingine hufanya Maamuzi yanayoiathiri Zanzibar kutokana na Wingi wao bungeni
Karume alikuwa akijibu baadhi ya Hoja alizotoa Jaji Warioba Kwenye Kipindi cha Dakika 45 Runingani ITV
Fatma amejibu Ukurasani X
Wanasheria Nguli Hawa 😂😂
Mkuu ulivyoa andika hivi ni kwamba hujui au unapinga tu kwasababu zako?Fatma anakosea, kwa sababu amejikita kwenye uwiano wa namba, na kusahau kwamba ni mara chache sana Bunge litaamua mambo ambayo yanaathiri Zanzibar moja kwa moja, japo linasemekana kuwa ni Bunge la muungano.
Kwa mfano, mara ngapi Bunge limefanya maamuzi makubwa katika sekta ambazo hazina usimamizi wowote kule Zanzibar, kama vile JWTZ, Polisi nk? Siku hizi kimsingi ni kwamba Bunge la Muungano limekuwa kwa ajili ya maamuzi ya mambo yanayoihusu bara. Mfano upo karibu, Bunge la Muungano lilipitisha azimio juu ya Mkataba wa Bandari, ambao japo hauihusu Zanzibar lakini wabunge wa Zanzibar walikuwa sehemu ya uamuzi huo.
Labda Fatma aanze kwa kutuambia ni maamuzi gani ya Bunge la muungano yamefanywa katika miaka mitatu iliyopita, ambayo yalikuwa na athari upande wa Zanzibar. Kubadili jina la Tume ya Uchaguzi kuwa Tume Huru ya Uchaguzi, Zanzibar imeathiriika na huo uamuzi?
Safari hii wazanzibar mkishindwa kuwavua watanganyika koti la muungano mnalodai wamejivika tutajua kuwa kumbe ninyi mko kwenye muungano kimaslahi na ndio wanyoji wa Tanganyika.Tatizo ni Tanganyika kujivisha koti la muungano,cc wazanzibari muda mrefu muungano huu hatuutaki lakini nyinyi wabara mliushikilia kwa sababu ya wingi wenu mpaka mkamtoa roho karume na mkamfukuza kazi rais halali aliyechaguliwa na wazanzibari yaani mzee aboud jumbe lakini sasa mnapiga kelele kwa sababu rais kutoka Zanzibar.