johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,071
- 143,882
Mjukuu wa baba wa Taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema Bunge la Dodoma lina Wabunge 50 wa Zanzibar ( Minority) na Wabunge 250 wa Tanganyika ( Majority) hivyo wakati mwingine hufanya Maamuzi yanayoiathiri Zanzibar kutokana na Wingi wao bungeni
Karume alikuwa akijibu baadhi ya Hoja alizotoa Jaji Warioba Kwenye Kipindi cha Dakika 45 Runingani ITV
Fatma amejibu Ukurasani X
Wanasheria Nguli Hawa 😂😂
Karume alikuwa akijibu baadhi ya Hoja alizotoa Jaji Warioba Kwenye Kipindi cha Dakika 45 Runingani ITV
Fatma amejibu Ukurasani X
Wanasheria Nguli Hawa 😂😂