Hajto JF-Expert Member Sep 30, 2013 5,616 5,533 Jun 3, 2022 #1 Habari zenu mabibi na mabwana,naomba kuuliza jamani eti ni shirika gani ama idara ya serikali gani inaajiri wenyewe bila ya kupitia utumishi
Habari zenu mabibi na mabwana,naomba kuuliza jamani eti ni shirika gani ama idara ya serikali gani inaajiri wenyewe bila ya kupitia utumishi
Clark boots JF-Expert Member Jun 5, 2017 6,472 5,680 Jun 3, 2022 #2 Kama una shida ya kazi na huko utumishi zinatangazwa kazi si uomba kama wanavyofanya wenzio.. Au unataka shortcut mkuu? Basi tafuta connection Ila ukweli Ajira nyingi Sasa zinapitia huko. Labda ujaribu huko Halmashauri, utendaji wa mtaa.
Kama una shida ya kazi na huko utumishi zinatangazwa kazi si uomba kama wanavyofanya wenzio.. Au unataka shortcut mkuu? Basi tafuta connection Ila ukweli Ajira nyingi Sasa zinapitia huko. Labda ujaribu huko Halmashauri, utendaji wa mtaa.