Mambo 5 ya kujua kuhusu nimonia
Pneumonia ni maambukizi kwenye mapafu. Mara nyingi husababishwa na bakteria au virusi. Ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kupumua.
Watoto lakini pia watu wazima wanaweza kuugua ugonjwa huu. Kwa mujibu wa shirika la afya duniani, Watoto 740,000 walio na umri wa chini...
Kando na pipi za pamba, unajua ni bidhaa gani nyingine zinazoweza kusababisha saratani?
Maelezo ya picha,
Uuzaji wa pipi za pamba umepigwa marufuku katika jimbo moja huko India
Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Idara ya Usalama wa Chakula katika jimbo la Tamil Nadu nchini India, umebaini...
Kwa nini onyo la Putin linachukuliwa kuwa hatari baada ya kauli ya Macron?
Maelezo ya picha, Vradimir Putin
Mvutano kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na NATO unaonekana kuongezeka kwa mara nyingine tena huku Putin akiwa tayari amesema iwapo NATO itatuma wanajeshi kuisaidia Ukraine, hatari...
FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST )
Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama ovarian cyst...
FIBROIDS:UVIMBE KATIKA KIZAZI UNAOWATESA WANAWAKE
Katika siku za hivi karibuni,wanawake nchini wamekuwa wakilalamika kuwa kila wanapokwenda kujifungua basi hukutwa na uvimbe katika nyumba ya uzazi.
Uvimbe huo,ambao si saratani, umekuwa ni tishio kwa maelfu ya wanawake nchini jambo...
Je Sheria ya nchi inasemaje ? soma hapo chini 👇
ASalam Alaykum,
Hongera nyingi sana kwa ndugu yetu wa imani ya kiislamu kwa jihad kubwa aliejitolea wa ujasiri mkubwa kuongea hayo bila oga na hatimaye natija yake ameamsha usingizi hisiya ya siyo ya viongozi na Mashekh wetu tuu bali hata...
STDs: Aina za magonjwa ya zinaa, dalili zake na ni hatari kiasi gani?
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu milioni moja duniani kote wanaambukizwa magonjwa ya zinaa kila siku.
Magonjwa kutosikia matibabu ni tatizo kubwa la magonjwa ya zinaa (STDs) au (maambukizi ya zinaa)...
Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
Chui huja kila usiku kukutana na ng'ombe na ng'ombe huramba kichwa chake.
Mwanaume huyo alizungumza na mmiliki wa awali wa ng’ombe huyo na kugundua kuwa mama chui alifariki akiwa na umri wa siku ishirini tu na tangu wakati huo ng’ombe alimlisha chui huyo kwa maziwa yake. Kwa hivyo, chui...
Kuna mlima ambao huwa unateremsha maji huko China, lakini unakua mkavu daima hautoi maji.
Ila ukisomewa Aya za Qurani ndipo maji yanaanza kutoka, wanayatumia watu halafu unarudi kuwa kama Mwanzo.
Subhana Allah wa Bihamdih
Subhana Allah Aladheem
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.