Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,381
- 33,230
Balaa la kishua
Kuna siku nilipata kusikiliza mganga mmoja anasema kuua mtu sio jambo jepesi kama wengi wanavofikiria. Akasema hivi mtu anavokuja na ombi la kwamba nataka fulani afe, huwa jamaa wanaingia kwenye vipimo vya kumchunguza huyo mtu vipimo kama, 1. Ulinzi wa Kiroho alio nao huyo mtu,kama una ulinzi hafifu unakumbwa na dhorubaKikubwa zaidi Mchawi hana kibali cha kutoa uhai wa Mtu bila ya idhini ya Mungu pekee, eg; Mungu kumpatia kibali Shetani kumjaribu Ayubu isipokuwa asiguse roho yake.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app