Sawa tuu hata wakina Nuhu walipitia mabadiliko na mabadiliko yakwepeki,,,Mabadiliko ndio muenendo wa Ulimwengu na Walimwengu,,,Mabadiliko ni Maisha kiujumla na vyote vinavyotuzunguka###TupoTayariKwaMabadiliko###
Achana na maswala ya uchachukaji nakueleza tena kula kitimoto haswaa,,ukipata nafasi ya kula vinono kula mnoo hapa kwa Ulimwengu,,Shauri yako poteza mda kuchunguza ambayo hayachunguziki,,kuchachuka na ambayo Hayachachuliki ##Ufe##.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.