Asante ,Kwa kuchangia mada,🙏Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Jehanamu haipo wala mbingu (pepo) haipo.
Uwepo wa jehanamu ni hadithi za kutungwa, kusadikika na kufikirika tu, Sawa na uwepo wa Dragons🐉 watemao moto midomoni mwao.
Jehanamu haijawahi kuwepo, haipo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Inaonekana hili Dubwana JEHANAM SIO ZA LEVEL ZAKO,Umeuliza as if Kuna marehemu ambao walishakufa halafu wakaenda huko mbinguni wakayakuta ya kuyakuta then wakarudi duniani 🤒😎
Inaonekana uko interested sana na story za uongo na kweli...!!!!? 🤒 😎Inaonekana hili Dubwana JEHANAM SIO ZA LEVEL ZAKO,
MAANA ,CODE ZAKE ZINAFUNGULIWA KIIMANI,
ILO DUBWANA LINATAKA MAELEZO YA KIIMANI ZAIDI, NA WALIO NA IMANI WATALIPOKEA,
MAANA HATA CODE ZAKE ZIMEKAA KIIMANI NA ZIKIFUNGULIWA CODE HUMU, WATAO ELEWA NA KIPOKEA NI UZAO WA IMANI,
EBWANA HILO DUBWANA ZIWA LA MOTO LIPO ,
NACHO TAKA KUJUA ZAIDI ,NI JE LA MILELE AU SIO LA MILELE
Ni ya milele na milele. Mtu akishindwa kumwamini na kumkiri Yesu Kristo akiwa hai, maana yake hajaamini kuwa Yesu alishuka kumwokoa kwa kufa na kufufuka. Hajaamini wala kuthamini jambo hili muhimu kwa hiyo hawezi kwenda mbinguni. Kinyume ni jehanam ya milele na mileleWana theolojia, na wengine wote, karibuni kwenye MADA,
Naombeni mnisaidie hili swali,
Ni kama jepesi,Ila ni gumu,ni kutokana na mvutano uliopo,
Kuna wanaosema JEHANAM ya muda sio ya milele na wengine husema ya Milele,
Lipi jibu sahihi,
Je,jehanam ZIWA LA MOTO NA ADHABU ZAKE ni za Milele au za Muda tu sio za Milele,
Naomba Uzi huu ,utumike kumaliza utata huo,
Kwa Kila mtu humu kuchangia na haswa wanatheolojia ,
Naomba muwa-tag watu wote ambao unaona michango yao itakuwa inamanufaa humu,
Nawasilisha,
Karibuni,
MAUTI YA KWANZA.Man Jau ,
DR Mambo Jambo
Rabbon
NAOMBA muje ,na mnisaidie kuwa tag watu wote ,wa mada za mambo ya kiroho ,
Wake kutowa mchango wao,
Naitaji huu uzi ,umalize ule utata ,tutoke na nibu Moja,
Je,Ziwa la moto ni la Milele au sio la Milele?
NaAdhabu zake humor ni za Milele au si za Milele?
Katika Uyahudi na Dini ya Kiyahudi Ambayo inatunza Agano la kale Hakuna Jehanamu yoyote..Man Jau ,
DR Mambo Jambo
Rabbon
NAOMBA muje ,na mnisaidie kuwa tag watu wote ,wa mada za mambo ya kiroho ,
Wake kutowa mchango wao,
Naitaji huu uzi ,umalize ule utata ,tutoke na nibu Moja,
Je,Ziwa la moto ni la Milele au sio la Milele?
NaAdhabu zake humor ni za Milele au si za Milele?
Kwamba unajiandaa ukakae kwenye ziwa la Moto Kwa Muda machache halafu uende ukale Raha Peponi?Wana theolojia, na wengine wote, karibuni kwenye MADA,
Naombeni mnisaidie hili swali,
Ni kama jepesi,Ila ni gumu,ni kutokana na mvutano uliopo,
Kuna wanaosema JEHANAM ya muda sio ya milele na wengine husema ya Milele,
Lipi jibu sahihi,
Je,jehanam ZIWA LA MOTO NA ADHABU ZAKE ni za Milele au za Muda tu sio za Milele,
Naomba Uzi huu ,utumike kumaliza utata huo,
Kwa Kila mtu humu kuchangia na haswa wanatheolojia ,
Naomba muwa-tag watu wote ambao unaona michango yao itakuwa inamanufaa humu,
Nawasilisha,
Karibuni,
Lusungo 🤣🤣 nilihisi ni wewe ndio umeandika hii thread
Tayari ushachachukaKula maisha achana na mambo ya Kuzimu!!
Achana na maswala ya uchachukaji nakueleza tena kula kitimoto haswaa,,ukipata nafasi ya kula vinono kula mnoo hapa kwa Ulimwengu,,Shauri yako poteza mda kuchunguza ambayo hayachunguziki,,kuchachuka na ambayo Hayachachuliki ##Ufe##.Tayari ushachachuka
heaven & hell are just states of mindWana theolojia, na wengine wote, karibuni kwenye MADA,
Naombeni mnisaidie hili swali,
Ni kama jepesi,Ila ni gumu,ni kutokana na mvutano uliopo,
Kuna wanaosema JEHANAM ya muda sio ya milele na wengine husema ya Milele,
Lipi jibu sahihi,
Je,jehanam ZIWA LA MOTO NA ADHABU ZAKE ni za Milele au za Muda tu sio za Milele,
Naomba Uzi huu ,utumike kumaliza utata huo,
Kwa Kila mtu humu kuchangia na haswa wanatheolojia ,
Naomba muwa-tag watu wote ambao unaona michango yao itakuwa inamanufaa humu,
Nawasilisha,
Karibuni,