Je, Mwenyezi Mungu anaweza kutenda hivi?

Feb 13, 2024
13
41
Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.

Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?

Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.

Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.

Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
 
Ni kweli kuna vitu ukivifikiria unaweza pata uwendawazimu, yani uumbe kitu mwenyewe, na ujinasibu kujua mwanzo na mwisho wake na bado hapo hapo ukiletee challenge ya makusudi (shetani) alafu bado utegemee kiumbe hiko hiko ulichokiita "dhaifu" kikutii na kikuabudu regardless, inaingia akilini kweli?? mbona ni kama what so called "God" anajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Ni kweli kuna vitu ukivifikiria unaweza pata uwendawazimu, yani uumbe kitu mwenyewe, na ujinasibu kujua mwanzo na mwisho wake na bado hapo hapo ukiletee challenge ya makusudi (shetani) alafu bado utegemee kiumbe hiko hiko ulichokiita "dhaifu" kikutii na kikuabudu regardless, inaingia akilini kweli?? mbona ni kama what so called "God" anajitekenya na kucheka mwenyewe.
Hizo pumzi ndio zinawatia viburi haya endeleeni kumdhihaki mungu
Ila mkipata mitihani kidogo tu ndio mnajifanya mnasali hadi mnalia, kumbuka ipo siku isiyokuwa na jina malaika wa mauti atakutokea na hapo muda wako wa kutubu utakuwa umeisha
 
Hizo ni stori za kusadikika zilizohusisha dude la kusadikika liitwalo mungu.

Kiufupi ngano za biblia, kurani na nyingine za aina hiyo ni za kutungwa tu. Ni kama watu walikuwa 'fascinated' na idea ya possibility ya uwepo wa Mungu so wakaanza kuandika mastori mengi kumuhusu.. Kisha wengine wakakusanya baadhi ya hizo stories na kuanza kuzitumia kwa manufaa yao ya binafsi.
 
Hizo pumzi ndio zinawatia viburi haya endeleeni kumdhihaki mungu
Ila mkipata mitihani kidogo tu ndio mnajifanya mnasali hadi mnalia, kumbuka ipo siku isiyokuwa na jina malaika wa mauti atakutokea na hapo muda wako wa kutubu utakuwa umeisha
Hivyo/zo viburi/dhihaka umeziona wapi?

Ebu subiri kwanza, We ushamuona au kukutana nae huyo malaika wa mauti kwani? Tuanzie hapo
 
Hizo pumzi ndio zinawatia viburi haya endeleeni kumdhihaki mungu
Ila mkipata mitihani kidogo tu ndio mnajifanya mnasali hadi mnalia, kumbuka ipo siku isiyokuwa na jina malaika wa mauti atakutokea na hapo muda wako wa kutubu utakuwa umeisha
Ukoloni na hadithi za kale zimewaharibu vichwa, hamuwezi tena kufikiria, kwanini unaamini mungu wa wazungu na waarabu wakati wa Babu yako alipigwa marufuku na mzungu akaitwa mchawi, za kupewa changanya na zako
 
Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.

Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?

Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.

Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.

Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
Tumia akili ....vita siyo kama unavyo dhani wewe ...ungeijua injili ya kweli ...usinge uliza hayo maswali yako tatizo injili unayo ijua wewe ni injili feki za madhehebu ya dini ...ningekuwa na muda ningekuambia weka hapa hivyo vifungu vinavyo sema kuhusu vita vya mungu na shetani nikujulishe maana yake sahihi isiyo na mjadala wala ubishi ...ACHANA NA MAFUNDICHO POTOVU YA MADHEHEBU YA DINI YANAYO SEMA MUNGU ANA NAFSI 3 NA YESU ALISULIBIWA KWA SABABU YA DHAMBI YA ASILI ...HIZO NI POROJO YA INJILI FEKI
 
Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.

Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?

Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.

Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.

Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
Mungu hajapigana na shetani wala shetani hajawi pigana na Mungu, Shetani Ugomvi wake ni Binadamu that's it.

Size difference baina ya Shetani ama Binadamu na Malaika ambao wapo kwenye Himaya ya Mwenyezi Mungu ni kama kitone cha maji kwenye Bahari, dunia ni kama kivumbi tu compare to what's out there.
 
Ni kweli kuna vitu ukivifikiria unaweza pata uwendawazimu, yani uumbe kitu mwenyewe, na ujinasibu kujua mwanzo na mwisho wake na bado hapo hapo ukiletee challenge ya makusudi (shetani) alafu bado utegemee kiumbe hiko hiko ulichokiita "dhaifu" kikutii na kikuabudu regardless, inaingia akilini kweli?? mbona ni kama what so called "God" anajitekenya na kucheka mwenyewe.
Mungu hana shida na Ibada yako, wewe ndio una shida na kumuabudu yeye, signs are there to see, ukiamua kuziona haya, ukiamua kufumba macho sawa.
 
Hizo ni stori za kusadikika zilizohusisha dude la kusadikika liitwalo mungu.

Kiufupi ngano za biblia, kurani na nyingine za aina hiyo ni za kutungwa tu. Ni kama watu walikuwa 'fascinated' na idea ya possibility ya uwepo wa Mungu so wakaanza kuandika mastori mengi kumuhusu.. Kisha wengine wakakusanya baadhi ya hizo stories na kuanza kuzitumia kwa manufaa yao ya binafsi.
Fact, hizi ni ngano (vigano, hurafa) hazina tofauti na zile za Alfu lela U lela, na hekaya za abunuwasi.


Mungu hana shida na Ibada yako, wewe ndio una shida na kumuabudu yeye, signs are there to see, ukiamua kuziona haya, ukiamua kufumba macho sawa.
Sasa aniumbe yeye alafu mimi ndio niwe na shida ya kumuabudu? Huoni yeye ndio mwenye shida na ndio maana akaniumba, mimi shida naitolea wapi hapo? Yeye aliyetuumba na sisi tulioumbwa nani mwenye shida na mwenzie? what if asingetuumba na angeendelea na harakati zake za kila siku kwani angepungukiwa kitu? Au baba mwajuma unahisi kuna kiumbe kiliomba kuumbwa?? Imagine hakuna mtu au kiumbe kilichokuwa kinaexist ila yeye akaja na idea ya kuumba, huoni kuwa yeye so called Mungu ndio chanzo cha matatizo yote?

Weka hisia pembeni unaponijibu.
 
Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.

Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?

Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.

Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.

Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.
Huu mjadala mbona kama tuliumaliza?
 
Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata.

Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje kumpa adhabu ya kumchoma moto?

Je, ni kweli mungu alipigana vita na shetani? Kama mwenyezi mungu na ukubwa wote alionao utukufu na Enzi lakini bado kikatokea kiumbe kumchallenge in short shetani alitaka kumpindua MUNGU hili yeye ashike ile nafasi, na hapa unapata picha ni jinsi gani shetani alivyo na power.

Mwenyezi mungu anamshinda shetani, then anampa adhabu ya kumtupa chini, just imagine power aliyonayo shetani then analetwa kwetu viumbe dhaifu ndio tushindane naye, kwanini mwenyezi mungu asnigemua kabisa shetani au angemtupa katika sayari nyingine kabisa na kunyima access na huu ulimwengu wetu.

Mimi binafsi sidhani kama kuna MUNGU aliyemuumba bnadamu then ampe adhabu ya kumchoma moto, Mungu ni matokeo ya mawazo ya watu wachache na kuwalazimisha watu wengine kuamini hivyo.


Usamehewe tu maana uelewa wako ni mdogo sana
 
Fact, hizi ni ngano (vigano, hurafa) hazina tofauti na zile za Alfu lela U lela, na hekaya za abunuwasi.



Sasa aniumbe yeye alafu mimi ndio niwe na shida ya kumuabudu? Huoni yeye ndio mwenye shida na ndio maana akaniumba, mimi shida naitolea wapi hapo? Yeye aliyetuumba na sisi tulioumbwa nani mwenye shida na mwenzie? what if asingetuumba na angeendelea na harakati zake za kila siku kwani angepungukiwa kitu? Au baba mwajuma unahisi kuna kiumbe kiliomba kuumbwa?? Imagine hakuna mtu au kiumbe kilichokuwa kinaexist ila yeye akaja na idea ya kuumba, huoni kuwa yeye so called Mungu ndio chanzo cha matatizo yote?

Weka hisia pembeni unaponijibu.
watoto uliowazaa au mke uliyemuoa au mtu uliyemuajiri huhitaji akuheshimu?
 
Back
Top Bottom