Arsenal bigwa wa niniArsenal Bingwa!!
Sure, kuchukua kombe mbele ya Pep inabid uwe na misuli kweli KweliKwa ushindani anaozidi kuuonesha sina mashaka nae, kuweza kuturudisha UEFA CL ni wazi tuna usalama chini yake.
Huyu kipara wa man city ndio changamoto sana kwetu.
Ila wahispania wanajua sana kwenye ukocha.
Huyu ndio mlezi wa familia mkuuMadrid watahangaika na makocha wakikwama wanamrudisha anceloti
Sio poa huyu mwamba kila ligi atakayoenda kombe la ligi lazima abebe.Sure, kuchukua kombe mbele ya Pep inabid uwe na misuli kweli Kweli