Mambo Matatu yatakayokuacha kinywa wazi nchini Tanzania

Amini usiamini mambo haya yanatokea kwenye nchi yetu hivi hivi tukiwa tunaona!
Tuanze

1. Unaambiwa bodi ya Mishahara iliundwa mwaka 2017 na ikamaliza muda wake bila mishahara kubadilishwa! Na Sasa tunasikia itaundwa bodi nyingine maalumu kwa ajili ya kuangalia pensheni za Wastaafu!! Hapa source ni makamu wa raisi kwenye mei Mosi
🤣🤣🤣 Yaani ni sawa na kuunda kamati hewa ya harusi na kukaa vikao bila kuwa na bwana au Bibi harusi yeyote Halafu mwishowe mnavunja kamati!

2. Ndege inanunuliwa marekani huko kwa mtengenezaji Y. Ila imeharibika imepelekwa Malaysia. Sasa kufika huko Malaysia unaambiwa injini hakuna ni za kusubiria! (Foleni) 🤣🤣🤣

3. Tume ya uchaguzi imebadilishwa jina kuwa tume HURU, ila wajumbe wake ni wale wale, anayewachagua ni yule yule, wasimamizi ni wale wale!
Katiba ni Ile ile! Na bado tunaaminishwa eti hii ni tofauti 🤣🤣🤣🤣🤣

Hebu ongezea ya kwako
4.
5.
Hapo namba 3 kilichobadilika ni neno HURU tu.
 
Brother you are in Tanzania

Hii nchi bila kujizima data unaweza kufa kwa stress unless upigane kufa kupona bila kunyamazishwa na "mnofu".. Maana wengi wanapiga kelele ila wakipewa nyama wananyamaza
Na ndo kwa staili hii hatutoki, utashangaa hata unaemuona mzalendo kweli akishapewa mnofu utamsikia "tunashukuru Mama kwa hili"

Stupid Tanzania and it's people
 
Na ndo kwa staili hii hatutoki, utashangaa hata unaemuona mzalendo kweli akishapewa mnofu utamsikia "tunashukuru Mama kwa hili"

Stupid Tanzania and it's people
Wengine wanabweka ili wapate political space and attention.. Wakishaipata kuingia kwenye streams za pesa wananyamaza

Wengine wanabweka ili wastahili pesa za wahisani kwa kuonekana wanaharakati wa demokrasia.. Na inawalipa

Wengine ni fuata mkumbo tu. Hawajui wanachokifanya zaidi ya kujazwa taarifa na sumu ambazo zinawasaidia wenzao kupata pesa zao

Wengine ndio wazalendo kwa kuipenda nchi yao. Hawa ni wachache sanaaaa
 
Km haupo kwenye network na huli dhahabu ya tanganyika ww kaa kimya sisi tunakopa kupitia mgongo wa taifa then tunahamisha kupeleka kwenye matumizi ya wakuu badała ya maendeleo then tunapandisha bei ya bidhaa ilikodi iturejeshee tulikokopa ikishindikana kwenye kodi tunawapa ardhi mchimbe mafuta/gas.
Tafuta network acha kelele nchi tamu hii
 
Amini usiamini mambo haya yanatokea kwenye nchi yetu hivi hivi tukiwa tunaona!
Tuanze

1. Unaambiwa bodi ya Mishahara iliundwa mwaka 2017 na ikamaliza muda wake bila mishahara kubadilishwa! Na Sasa tunasikia itaundwa bodi nyingine maalumu kwa ajili ya kuangalia pensheni za Wastaafu!! Hapa source ni makamu wa raisi kwenye mei Mosi
🤣🤣🤣 Yaani ni sawa na kuunda kamati hewa ya harusi na kukaa vikao bila kuwa na bwana au Bibi harusi yeyote Halafu mwishowe mnavunja kamati!

2. Ndege inanunuliwa marekani huko kwa mtengenezaji Y. Ila imeharibika imepelekwa Malaysia. Sasa kufika huko Malaysia unaambiwa injini hakuna ni za kusubiria! (Foleni) 🤣🤣🤣

3. Tume ya uchaguzi imebadilishwa jina kuwa tume HURU, ila wajumbe wake ni wale wale, anayewachagua ni yule yule, wasimamizi ni wale wale!
Katiba ni Ile ile! Na bado tunaaminishwa eti hii ni tofauti 🤣🤣🤣🤣🤣

Hebu ongezea ya kwako
4.
5.
Gurudumu la kusagia ngano linazunguka kwa kuongeza kasi kubwa
 
Amini usiamini mambo haya yanatokea kwenye nchi yetu hivi hivi tukiwa tunaona!
Tuanze

1. Unaambiwa bodi ya Mishahara iliundwa mwaka 2017 na ikamaliza muda wake bila mishahara kubadilishwa! Na Sasa tunasikia itaundwa bodi nyingine maalumu kwa ajili ya kuangalia pensheni za Wastaafu!! Hapa source ni makamu wa raisi kwenye mei Mosi
🤣🤣🤣 Yaani ni sawa na kuunda kamati hewa ya harusi na kukaa vikao bila kuwa na bwana au Bibi harusi yeyote Halafu mwishowe mnavunja kamati!

2. Ndege inanunuliwa marekani huko kwa mtengenezaji Y. Ila imeharibika imepelekwa Malaysia. Sasa kufika huko Malaysia unaambiwa injini hakuna ni za kusubiria! (Foleni) 🤣🤣🤣

3. Tume ya uchaguzi imebadilishwa jina kuwa tume HURU, ila wajumbe wake ni wale wale, anayewachagua ni yule yule, wasimamizi ni wale wale!
Katiba ni Ile ile! Na bado tunaaminishwa eti hii ni tofauti 🤣🤣🤣🤣🤣

Hebu ongezea ya kwako
4.
5.
Wanao ahirisha kufikiri ni walewale, (unyumbu)
 
1) "Unaambiwa" na nani?

2) Ya kuambiwa changanya na yako.

3) Huelewi kuwa adui wa Tanzania ni ujinga?
Faiza unaweza kutuambia huu ujinga wa Watanzania ni wa aina gani?

1. Je ni wa asili kwa maana ni wa kurithishana?
2. Je ni wa kuambukizwa?
3. Je ni wa kutengenezewa (induced)?
 
Faiza unaweza kutuambia huu ujinga wa Watanzania ni wa aina gani?

1. Je ni wa asili kwa maana ni wa kurithishana?
2. Je ni wa kuambukizwa?
3. Je ni wa kutengenezewa (induced)?
Niliwahi kuandika uzi zamani kuhusu hilo, jisomee:

 
Amini usiamini mambo haya yanatokea kwenye nchi yetu hivi hivi tukiwa tunaona!
Tuanze

1. Unaambiwa bodi ya Mishahara iliundwa mwaka 2017 na ikamaliza muda wake bila mishahara kubadilishwa! Na Sasa tunasikia itaundwa bodi nyingine maalumu kwa ajili ya kuangalia pensheni za Wastaafu!! Hapa source ni makamu wa raisi kwenye mei Mosi
🤣🤣🤣 Yaani ni sawa na kuunda kamati hewa ya harusi na kukaa vikao bila kuwa na bwana au Bibi harusi yeyote Halafu mwishowe mnavunja kamati!

2. Ndege inanunuliwa marekani huko kwa mtengenezaji Y. Ila imeharibika imepelekwa Malaysia. Sasa kufika huko Malaysia unaambiwa injini hakuna ni za kusubiria! (Foleni) 🤣🤣🤣

3. Tume ya uchaguzi imebadilishwa jina kuwa tume HURU, ila wajumbe wake ni wale wale, anayewachagua ni yule yule, wasimamizi ni wale wale!
Katiba ni Ile ile! Na bado tunaaminishwa eti hii ni tofauti 🤣🤣🤣🤣🤣

Hebu ongezea ya kwako
4.
5.
Eti mupandishwe mishahara, nyooooo, unataka mushahara mukubwa gombea urais na wewe upate mushahara mukubwa, nyooooooo.
 
Chama kinachotajwa kama mbadala wa chama tawala nacho kinatafuna rushwa kama kimechanganyikiwa. Wakiulizwa wanajibu mwenye kosa ni mama Abdul kwa kuwapa wao... wao HUWA HAWAKATAI RUSHWA.
 
Nuta
Amini usiamini mambo haya yanatokea kwenye nchi yetu hivi hivi tukiwa tunaona!
Tuanze

1. Unaambiwa bodi ya Mishahara iliundwa mwaka 2017 na ikamaliza muda wake bila mishahara kubadilishwa! Na Sasa tunasikia itaundwa bodi nyingine maalumu kwa ajili ya kuangalia pensheni za Wastaafu!! Hapa source ni makamu wa raisi kwenye mei Mosi
🤣🤣🤣 Yaani ni sawa na kuunda kamati hewa ya harusi na kukaa vikao bila kuwa na bwana au Bibi harusi yeyote Halafu mwishowe mnavunja kamati!

2. Ndege inanunuliwa marekani huko kwa mtengenezaji Y. Ila imeharibika imepelekwa Malaysia. Sasa kufika huko Malaysia unaambiwa injini hakuna ni za kusubiria! (Foleni) 🤣🤣🤣

3. Tume ya uchaguzi imebadilishwa jina kuwa tume HURU, ila wajumbe wake ni wale wale, anayewachagua ni yule yule, wasimamizi ni wale wale!
Katiba ni Ile ile! Na bado tunaaminishwa eti hii ni tofauti 🤣🤣🤣🤣🤣

Hebu ongezea ya kwako
4.
5.
Hapa kwenye bodi na tume hapaa!
 
Back
Top Bottom