Nimewaza kwa upande wa pili kwamba ikitokea Mossad (Israel) au taifa lolote la kigeni lilihusika kwa ajali iliyotokea nchini Iran....Majibu ya Iran sasa (hiiiiii.... in mwendazake voice) yatakua mazito sana.
Ila haya mambo yanafikirisha sana, tokea October 7 mambo yamekua magumu sana, Iran na...
“Nape, unawaogopa StarLink. Kwanini?”
February 2023, Michael Coudrey (30), Mwenyekiti na CEO Pharos Investment Group kutoka USA alimtaka C.E.O wa StarLink, Elon Musk kuhakikisha Starlink inapatika Afrika Mashariki hususani Tanzania ili watu wapate huduma ya intaneti yenye kasi zaidi ili kupata...
Hebu nambieni, kwa speed hii[emoji1313] (angalieni hyo picha nilotupia) ndugu zangu utafanyia nini?
Huu ni uzembe wa hali ya juu kabisa halafu waziri bado yupo ofisini tu, Taifa limepata hasara, vijana wengi wamepata loss hasa wanaofanya biashara online biashara zinazotegemea intanet na malipo...
Nchi ni siku ya tatu leo watu wapo na mkwamo wa internet waziri yupo tu karelax
Anafanya nini ofisini?Kwani asijiuzulu haraka huyu mtu?
Nape anafaa kuwajibishwa!! Kwanza yeye kwa maksudi ndo aliwapiga vita StarLink kwasababu tu na yeye ni mnufaika wa makampuni ya simu
Huyu jamaa amekua...
India imevunja rekodi ya kujenga barabara ya njia 10 kilometers 100 kwa masaa 100 pekee
Sisi tunavunja rekodi ya viongozi kuzurura duniani tu bila tija yoyote ile
=====
India has achieved another milestone in the road infrastructure sector by laying bituminous concrete over a distance of 100...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.