Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania

Nchi ni siku ya tatu leo watu wapo na mkwamo wa internet waziri yupo tu karelax

Anafanya nini ofisini?Kwani asijiuzulu haraka huyu mtu?

Nape anafaa kuwajibishwa!! Kwanza yeye kwa maksudi ndo aliwapiga vita StarLink kwasababu tu na yeye ni mnufaika wa makampuni ya simu

Huyu jamaa amekua anapokea mishahara mitano hadi sasa

Mshahara wa kwanza ni kutokana na cheo chake serikali

Pia amekua akilipwa na Tigo kila mwezi

Analipwa na Vodacom kila mwezi

Analipwa na Halotel kila mwezi

Analipwa na Airtel kila mwezi

Analipwa ma Tigo kila mwezi

Kwa maksudi na turufu yake aliondoa watu watatu pale tcra kwa kukataa kufata matakwa yake na kuhakikisha wanaingia watu wa team yake ili ulaji wake uendelee kuwepo

Huyu waziri hatufai!! Nape ajiuzulu
 
Hebu nambieni, kwa speed hii (angalieni hyo picha nilotupia) ndugu zangu utafanyia nini?

Huu ni uzembe wa hali ya juu kabisa halafu waziri bado yupo ofisini tu, Taifa limepata hasara, vijana wengi wamepata loss hasa wanaofanya biashara online biashara zinazotegemea intanet na malipo yote yamedorora

Nchi ni siku ya tatu leo watu wapo na mkwamo wa internet waziri yupo tu karelax

Anafanya nini ofisini?Kwani asijiuzulu haraka huyu mtu?

Nape anafaa kuwajibishwa!! Kwanza yeye kwa maksudi ndo aliwapiga vita StarLink kwasababu tu na yeye inadaiwa ni mnufaika wa makampuni ya simu

Huyu jamaa inadaiwa amekua anapokea mishahara mitano hadi sasa....Taarifa za uhakika nilizopewa inadaiwa mambo yapo hivi

Mshahara wa kwanza ni kutokana na cheo chake serikali

Pia inadaiwa amekua akilipwa na Tigo kila mwezi

Inadaiwa Analipwa na Vodacom kila mwezi

Inadaiwa Analipwa na Halotel kila mwezi

Inadaiwa Analipwa na Airtel kila mwezi

Inadaiwa Analipwa ma Tigo kila mwezi
Nchi ni siku ya tatu leo watu wapo na mkwamo wa internet waziri yupo tu karelax

Anafanya nini ofisini?Kwani asijiuzulu haraka huyu mtu?

Nape anafaa kuwajibishwa!! Kwanza yeye kwa maksudi ndo aliwapiga vita StarLink kwasababu tu na yeye ni mnufaika wa makampuni ya simu

Huyu jamaa amekua anapokea mishahara mitano hadi sasa

Mshahara wa kwanza ni kutokana na cheo chake serikali

Pia amekua akilipwa na Tigo kila mwezi

Analipwa na Vodacom kila mwezi

Analipwa na Halotel kila mwezi

Analipwa na Airtel kila mwezi

Analipwa ma Tigo kila mwezi

Kwa maksudi na turufu yake aliondoa watu watatu pale tcra kwa kukataa kufata matakwa yake na kuhakikisha wanaingia watu wa team yake ili ulaji wake uendelee kuwepo

Huyu waziri hatufai!! Nape ajiuzulu
 

Attachments

  • Screenshot_20240514-001933_1.jpg
    Screenshot_20240514-001933_1.jpg
    22.6 KB · Views: 1
Nchi ni siku ya tatu leo watu wapo na mkwamo wa internet waziri yupo tu karelax

Anafanya nini ofisini?Kwani asijiuzulu haraka huyu mtu?

Nape anafaa kuwajibishwa!! Kwanza yeye kwa maksudi ndo aliwapiga vita StarLink kwasababu tu na yeye ni mnufaika wa makampuni ya simu

Huyu jamaa amekua anapokea mishahara mitano hadi sasa

Mshahara wa kwanza ni kutokana na cheo chake serikali

Pia amekua akilipwa na Tigo kila mwezi

Analipwa na Vodacom kila mwezi

Analipwa na Halotel kila mwezi

Analipwa na Airtel kila mwezi

Analipwa ma Tigo kila mwezi

Kwa maksudi na turufu yake aliondoa watu watatu pale tcra kwa kukataa kufata matakwa yake na kuhakikisha wanaingia watu wa team yake ili ulaji wake uendelee kuwepo

Huyu waziri hatufai!! Nape ajiuzulu
Kwenye kuiba kura wako faster sana!
 
Back
Top Bottom