Rostam Aziz ni nani hasa? Nyendo zake zinatia shaka

Mimi binafsi na mfahamu Rostam Azizi kama mwananchi wa kawaida sana. Mfanyabiashara ya media wakati alipoanzisha biashara ya magazeti akimiliki gazeti la mwananchi.

Rostam anasifika kwa Ushawishi wa kifedha hasa alivyotumia pesa kuiweka serikalini ya Awamu ya nne madarakani nakutunukiwa Jina la King Maker.

Rostam Azizi kama mhasibu wa chama cha CCM pia

Rostam Azizi ni mmiliki wa magazeti ya New Habari house.

Rostam Azizi ni mmiliki wa kampuni za mafuta na gas pia nimwagizaji wa mafuta yote Tanzania.

Rostam Azizi ni mmiliki wa kampuni kilimo na usafirishaji hapa Tanzania.

Rostam Azizi ni shemeji wa January Makamba

Rostam Azizi ni shemeji wa Hussein Bashe

Rostam ni mmiliki wa Vodacom, Tigo, na makampuni mengine ya Sim.

Rostam Azizi ni mlikuwa wa mwanzo wa IPTL na makampuni mengine huko Cyprus.

Rostam Azizi ni mwanahisa wa DP world.

Ni mmiliki wa kampuni mbalibali Marekani, Cyprus, Dubai na Uswiss.

Karibu
Kwahio na kina harbinder Seth ni chama Moja
 
Kwa wale wenye ufahamu mkubwa na masuala ya intelligency watakubaliana nami kuwa CIA ni shirika la kijasusi lenye mtandao mpana ajabu duniani, shirika hili hununua raia wa nchi husika na kuwafanya kuwa wakala wake, huwageuza hata marais wa nchi kuwa vibaraka wake bila ya wao kujua, mfano mobutu, Noriega na wengineo wengi walitumika kama vibaraka wa CIA at the end wakageukwa..

Rostam inasemekana kuwa naye amekuwa akitumiwa sana na shirika hili ktk mambo yake,nilisikia tetesi hizi miaka mingi sana, na mwaka 2012 kuna mwana JF mwenzetu akaweka post nzito humu kuhusiana na Rostam, kama ilivyo kawaida ya JF, wengi walimponda sana mtoa mada, nadhani ndo maana aka suspend kumalizia parts zilizokuwa zimebaki.

Binafsi nilipata kumuona Rostam nikiwa na miaka 14, miaka mingi imepita, alikuwa akija nyumbani kwa waziri mmoja (jina kapuni) ambaye ni marehemu sasa, ni Rostam ndo alimuwezesha waziri huyo kuwa mbunge akisemekana alikuwa na ndoto za kugombea urais baadae kabla mauti haijamkuta,ni Rostam ametumia pesa nyingi kwa Odinga.
.
 
Ni Iran,Siyo Pakistan wala Afghanstan
Sahihi kabisa!

Asili ya Al-baloch au (Waburushi) kama ilivyozoeleka kutamkwa na kuandikwa kibongo... ni nchini IRAN.

Na IRAN ni moja ya au miongoni mwa nchi hatari zaidi ulimwenguni kwenye maswala ya ujasusi. Ni wengi kama kunguni au utitiri.
 
CIA wanalinda maslahi ya USA kwa gharama yoyote ile,ikiwemo na umwagaji wa damu,kupindua serikali mbalimbali duniani,kwahiyo hiyo bahati ukiwa nayo inafaida gani kwa taifa lako?
Faida yake ni kubwa zaidi ya unavyodhani...ila ni faida binafsi na kwa familia yako.

Wale wana uraia wa nchi karibia zote duniani, pia wakiutaka ni dakika "0" tu, wana ma-passport tele kwenye nyara zao. Wana ubavu wa ku-control systems nyeti za serikali ya nchi yoyote hasa hizi za kiafrika na kujua kila kinachoendelea, mapato na matumizi... Ila tu mostly wana nidhamu na ni watu wenye akili nyingi na kubwa. Leo hii wewe ukiwa na uwezo wa kuona TIGOPESA inavyofanya kazi, ile miamala ya kuingia na kutoka naona ungekuwa umeshakwiba mpaka umechoka mwenyewe, ila wale uwezo huo wanao ila target yao ni tofauti na ndomana wanatanguliza nidhamu ya kutosha na uaminifu. Kuwa mule umeshafanyiwa vetting ya kutosha na wanajua kila kitu kukuhusu.

Ukiwa mule umeula ingawa chochote kinaweza kutokea maishani mwako ila ulinzi wa familia ni uhakika. Kikinuka huku unahamishiwa familia haraka sana! Kwenda sehemu salama zaidi.
 
Hilo neno la "mwananchi wa kawaida" futa!
Mimi binafsi na mfahamu Rostam Azizi kama mwananchi wa kawaida sana. Mfanyabiashara ya media wakati alipoanzisha biashara ya magazeti akimiliki gazeti la mwananchi.

Rostam anasifika kwa Ushawishi wa kifedha hasa alivyotumia pesa kuiweka serikalini ya Awamu ya nne madarakani nakutunukiwa Jina la King Maker.

Rostam Azizi kama mhasibu wa chama cha CCM pia

Rostam Azizi ni mmiliki wa magazeti ya New Habari house.

Rostam Azizi ni mmiliki wa kampuni za mafuta na gas pia nimwagizaji wa mafuta yote Tanzania.

Rostam Azizi ni mmiliki wa kampuni kilimo na usafirishaji hapa Tanzania.

Rostam Azizi ni shemeji wa January Makamba

Rostam Azizi ni shemeji wa Hussein Bashe

Rostam ni mmiliki wa Vodacom, Tigo, na makampuni mengine ya Sim.

Rostam Azizi ni mlikuwa wa mwanzo wa IPTL na makampuni mengine huko Cyprus.

Rostam Azizi ni mwanahisa wa DP world.

Ni mmiliki wa kampuni mbalibali Marekani, Cyprus, Dubai na Uswiss.

Karibu
 
Back
Top Bottom