Baada ya maji kuwasomba watoto na kuwauwa kule Arusha nilijua serikali ingeona nini kitatokea, na sasa wanasema itachukua wiki mbili kunyesha kwa kiwango kikubwa namna hii na watoto wa kitanzania wanasota huku wale wa nchi za jirani wamesitisha ukatili huu kwa muda
Ukiwa njiani unawaona watoto...
Kumekuwa na kasi kubwa ya wanawake wengi hasa mijini kukosa nguvu za kike, nao moja tu uaanza kulalamika eti amechoka na visingizio kibao mara amechoka,mara anamaumivu mara anamawazo na n.k
Nini kifanyike hawa viumbe wawe kama zamani unalala unaikoboa na bado asubuhi wanadai .
Kazi ya kucheka...
Mabasi haya yamegongana usiku wa kuamkia leo na kusababisha yote kuungua moto pia foleni kubwa kwa barabara ya Dar - Chalinze na majeruhi kadhaa
Hili nilikuwa jambo la kusubiria maana ligi zao njiani zilipita uhalisia wa safari za kuwahi kufika
=====
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Bw.Abubakar...
Kuna maeneo hapa Dar yananuka sana kama ndio siku yako ya kwanza kufika unaweza ukatatizika ila unakuta wana wapo busy na ishu zao.
Wanakula, wanakunywa, story Sana na utani mwingi ila harufu ya hapo ni hatari, eneo kama soko la feri, Tandika sokoni na nk ni mifano
USSR
Família yake ilihamia ngara miaka ya 1970 ikitokea Burundi na kuishi nchini kama wakimbizi bila kupewa uraia yeye na kaka yake wakasomea Ngara na kujichanganya na watanzania na kuingia kwenye Siasa .
Japo wanangara walimkataa akiwa CHADEMA kwa sababu ya uraia wake akiwa Dk Mkuu wa hospital...
Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano ,
Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha
Mama anaupiga mwingi
Familia ya Angelo Ngiyiye inamuomba Rais Samia Suluhu Hasani kusaidia kurejeshwa nchini kwa mwili mtanzania Angelo Nzigiye uliotelekezwa nchini India ukidaiwa 100M ili uanchiwe ili uletwe nchini na kuzikwa wilayani biharamulo mkoani Kagera na ndugu na wapendwa wake ?
Mzee Nzigiye alikuwa...
Jeshi la polisi mkoani tabora katika wilaya ya uyui linamshikiria mwanaume mmoja kwa kisa la mauaji ya mkewe ambapo baada ya kumuuwa alipasua tumbo la marehemu na kutoa kitoto kimoja na kisha kukipika na kula
Inadaiwa ni imani za kishirikana .
USSR
===
Jeshi la Polisi mkoani Tabora...
Jamaa anaitwa January mwezi mgumu Sana kimaisha sio bongo tu hadi huko duniani na huyu kipara ndio jina lake sijui kama atatoboa
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .
Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia...
Ukiachana na TISS au CID ambao ni polis bado kitengo cha usalama jeshini (MI) wanaweza kupenyeza nani akafanye kazi za kiraia hasa zile za ushauri wa mgambo kwenye halmshauri zote hapa nchini ni hivyo kukusanya data na nani ni nani kwa mini na wapi na kuzichakata kisha kuzitumia kama report ya...
Ukiacha na huu upuuzi wa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam wa kuwataka wanajeshi wafanye usafi mitaani ili kukabiliana na maandamano ya CHADEMA jambo litakalo wapa credit CHADEMA nje na ndani ya nchi kwamba inawezekanaje jeshi lipambane na waandamanaji na si polisi upuuzi kama huu haujaanza leo kwa...
Ilikuwa jambo la muda tu kugeukana maana wanafiki siku zote muda huwaumbua ,
Walijikusanya wakapanga wakatekeleza kisha wakatoka huko walipo wakatangaza kifo cha jpm na kuamua kufunika yote mazuri aliyoyafanya.
Eti waliungana kulinda demokrasia ya nchi, uhuru, utawala bora, utawala wa sheria...
UTV, ZBC 1, TBC, channel ten na etc.
Wageni waalikwa ni marais mbalimbali wa kikanda na wawakilishi
Poul Kagema wa Rwanda
Yeweri mseven wa Uganda
Gachagua VP wa kenya na wengine wengi.
Mgeni rasmi ni rais Samia suluhu Hasani.
Kwa sasa raisi wa Zanzibar Hussen Mwinyi amemaliza kukagua gwaride...
Ndio anaingia uwanjani huku ukisubiriwa na rais Samia huku huku ulinzi wake ukiwa.kubwa sana .
Nini kiko nyuma ya Zanzibar inyokimbia ki-status ya kufika kuliko tanganyika
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Anaumwa mguu amekuwa mlemavu na Sasa anatembea Kwa uhuru baada ya maombi .
Angela yuko poa na soonest ataibuka na songi mpya
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Kwani wakijitoa wakasema kuwa hawamtambuia Papa na Baraza lake, wakakusanya sadaka na fedha na kutumia hapahapa bongo kama walivyofanya wengine kuna ubaya gani?
Kukusanya sadaka za Watanzania na kuzituma Vatican na kurejeshewa kiduchu huo ni ukoloni mamboleo.
Kwa hili la ushoga liwe ufuguo wa...
.
Katika list ya picha Bora ya Christmas Leo kutoka duniani zalizowekwa kwenye mtandao mkubwa wa BBC world news ni hii walioitaja kuwa picha hiyo ilipigwa unguja Kenya ,
Sidhani kama mpigaji anaweza kufanya kosa hilo au mhariri kwamba hawajui unguja ipo Tanzania hasa Zanzibar kama sehemu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.