Search results

  1. USSR

    Serikali haioni mateso ya watoto wadogo kupindi hiki cha mvua kubwa na ikasimamisha kwa muda

    Baada ya maji kuwasomba watoto na kuwauwa kule Arusha nilijua serikali ingeona nini kitatokea, na sasa wanasema itachukua wiki mbili kunyesha kwa kiwango kikubwa namna hii na watoto wa kitanzania wanasota huku wale wa nchi za jirani wamesitisha ukatili huu kwa muda Ukiwa njiani unawaona watoto...
  2. USSR

    Nini kifanyike kuokoa ndoa kwa sababu ya wanawake kukosa nguvu za kike?

    Kumekuwa na kasi kubwa ya wanawake wengi hasa mijini kukosa nguvu za kike, nao moja tu uaanza kulalamika eti amechoka na visingizio kibao mara amechoka,mara anamaumivu mara anamawazo na n.k Nini kifanyike hawa viumbe wawe kama zamani unalala unaikoboa na bado asubuhi wanadai . Kazi ya kucheka...
  3. USSR

    Kugongana kwa mabasi Sauli na New Force lilikuwa jambo la Muda tu

    Mabasi haya yamegongana usiku wa kuamkia leo na kusababisha yote kuungua moto pia foleni kubwa kwa barabara ya Dar - Chalinze na majeruhi kadhaa Hili nilikuwa jambo la kusubiria maana ligi zao njiani zilipita uhalisia wa safari za kuwahi kufika ===== Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Bw.Abubakar...
  4. USSR

    Uliwahi kukuta eneo linanuka sana na wakazi wa hapo wapo busy na mishe zao bila shida

    Kuna maeneo hapa Dar yananuka sana kama ndio siku yako ya kwanza kufika unaweza ukatatizika ila unakuta wana wapo busy na ishu zao. Wanakula, wanakunywa, story Sana na utani mwingi ila harufu ya hapo ni hatari, eneo kama soko la feri, Tandika sokoni na nk ni mifano USSR
  5. USSR

    Onyo la CDF: Ilikuwaje CCM ikampitisha Ssebuyoya (mrundi)anayejaza warundi nchini kuwa mwakilishi wa vijana

    Família yake ilihamia ngara miaka ya 1970 ikitokea Burundi na kuishi nchini kama wakimbizi bila kupewa uraia yeye na kaka yake wakasomea Ngara na kujichanganya na watanzania na kuingia kwenye Siasa . Japo wanangara walimkataa akiwa CHADEMA kwa sababu ya uraia wake akiwa Dk Mkuu wa hospital...
  6. USSR

    Vodacom wana tatizo gani? Tangu jana hakuna huduma upande wa M-Pesa

    Tangu jana hakuna huduma, huwezi kujua nini hasa maana hawasemi wala hawakutoa tahadhari. Vipi usalama wa pesa zetu? USSR
  7. USSR

    Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

    Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano , Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha Mama anaupiga mwingi
  8. USSR

    Rais Samia aombwa kusaidia mwili wa mtanzania uliotekelekezwa nchini India ukidaiwa 100M.

    Familia ya Angelo Ngiyiye inamuomba Rais Samia Suluhu Hasani kusaidia kurejeshwa nchini kwa mwili mtanzania Angelo Nzigiye uliotelekezwa nchini India ukidaiwa 100M ili uanchiwe ili uletwe nchini na kuzikwa wilayani biharamulo mkoani Kagera na ndugu na wapendwa wake ? Mzee Nzigiye alikuwa...
  9. USSR

    Picha: Uchawi upo aisee

    Kama unabisha waulize wakandarasi hapa bongo USSR Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
  10. USSR

    Amuua mkewe mjamzito wa mapacha kisha ampasua tumbo na kutoa pacha mmoja na kumla

    Jeshi la polisi mkoani tabora katika wilaya ya uyui linamshikiria mwanaume mmoja kwa kisa la mauaji ya mkewe ambapo baada ya kumuuwa alipasua tumbo la marehemu na kutoa kitoto kimoja na kisha kukipika na kula Inadaiwa ni imani za kishirikana . USSR === Jeshi la Polisi mkoani Tabora...
  11. USSR

    January anawaaga, ulikuwa mwezi mgumu sana

    Jamaa anaitwa January mwezi mgumu Sana kimaisha sio bongo tu hadi huko duniani na huyu kipara ndio jina lake sijui kama atatoboa USSR Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
  12. USSR

    Matokeo ya Kizimkazi secondary division 3 zipo 5 four 26, ni nyumbani kwa Rais Samia na alisoma hapo

    Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke . Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia...
  13. USSR

    Meja Jenerali Gaguti amechangia hotuba ya CDF Mkunda kuhusu wakimbizi kuteuliwa Serikalini?

    Ukiachana na TISS au CID ambao ni polis bado kitengo cha usalama jeshini (MI) wanaweza kupenyeza nani akafanye kazi za kiraia hasa zile za ushauri wa mgambo kwenye halmshauri zote hapa nchini ni hivyo kukusanya data na nani ni nani kwa mini na wapi na kuzichakata kisha kuzitumia kama report ya...
  14. USSR

    Ninachukizwa na jinsi CCM inavyoendeshwa na CHADEMA bila kujijua na kuifanya iwe juu

    Ukiacha na huu upuuzi wa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam wa kuwataka wanajeshi wafanye usafi mitaani ili kukabiliana na maandamano ya CHADEMA jambo litakalo wapa credit CHADEMA nje na ndani ya nchi kwamba inawezekanaje jeshi lipambane na waandamanaji na si polisi upuuzi kama huu haujaanza leo kwa...
  15. USSR

    Ndoa ya serikali ya Samia, CHADEMA na wanaharakati dhidi ya Magufuli sasa imevunjika rasmi

    Ilikuwa jambo la muda tu kugeukana maana wanafiki siku zote muda huwaumbua , Walijikusanya wakapanga wakatekeleza kisha wakatoka huko walipo wakatangaza kifo cha jpm na kuamua kufunika yote mazuri aliyoyafanya. Eti waliungana kulinda demokrasia ya nchi, uhuru, utawala bora, utawala wa sheria...
  16. USSR

    Yanayojiri katika Sherehe za Mapinduzi Zanzibar leo tarehe 12/01 /2024

    UTV, ZBC 1, TBC, channel ten na etc. Wageni waalikwa ni marais mbalimbali wa kikanda na wawakilishi Poul Kagema wa Rwanda Yeweri mseven wa Uganda Gachagua VP wa kenya na wengine wengi. Mgeni rasmi ni rais Samia suluhu Hasani. Kwa sasa raisi wa Zanzibar Hussen Mwinyi amemaliza kukagua gwaride...
  17. USSR

    Sherehe za miaka 60 ya mapinduzi Zanzibar,kwa nn rais Mwinyi ana ulinzi kuliko rais Samia

    Ndio anaingia uwanjani huku ukisubiriwa na rais Samia huku huku ulinzi wake ukiwa.kubwa sana . Nini kiko nyuma ya Zanzibar inyokimbia ki-status ya kufika kuliko tanganyika USSR Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
  18. USSR

    Angela wa kondegang ndani ya buza Kwa lulenge Kwa nabii kiboko ya wachawi Dominic

    Anaumwa mguu amekuwa mlemavu na Sasa anatembea Kwa uhuru baada ya maombi . Angela yuko poa na soonest ataibuka na songi mpya USSR Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
  19. USSR

    Kuna haja Kanisa la RC Tanzania kupitia TEC lijiondoe kwenye ushirika na mfumo wa RC duniani

    Kwani wakijitoa wakasema kuwa hawamtambuia Papa na Baraza lake, wakakusanya sadaka na fedha na kutumia hapahapa bongo kama walivyofanya wengine kuna ubaya gani? Kukusanya sadaka za Watanzania na kuzituma Vatican na kurejeshewa kiduchu huo ni ukoloni mamboleo. Kwa hili la ushoga liwe ufuguo wa...
  20. USSR

    Upotoshaji wa BBC world news kuwa unguja ipo Kenya niwamaksudi

    . Katika list ya picha Bora ya Christmas Leo kutoka duniani zalizowekwa kwenye mtandao mkubwa wa BBC world news ni hii walioitaja kuwa picha hiyo ilipigwa unguja Kenya , Sidhani kama mpigaji anaweza kufanya kosa hilo au mhariri kwamba hawajui unguja ipo Tanzania hasa Zanzibar kama sehemu ya...
Back
Top Bottom