Habari wanajamii.
Leo hii bungeni Waziri wa Mambo ya Ndani amesema zoezi la kujiandikisha NIDA ni endelevu na mpaka sasa, tayari wameshasajili watu milioni 21+ na lengo lilikuwa milioni 24+ na wenye vitambulisho tayari ni milion16+ na huku wengine wakibaki kuwa na namba tu.
Amesema Rais...
Habari wanajamii.
Nimekuja na swali hili baada ya kumsikiliza Ali Kiba alipotutangazia anakuja na kitu babukubwa tukamsubiri kwa hamu lakini alipoanza tu ile intro ni kama mtu anaeongea na masela tu kitaa hajui kama anaongea na East Africa nzima.
Hata Diamond huwa ana huo ugonjwa, yaani...
Habari zenu humu ndani. Kimya kingi kina mshindo mkuu. Ila nyie TEMESA mmetesa sana mioyo ya watu. Jamani kuna anaejua maendeleo yoyote ya CV zetu kule TEMESA.
Asante.
Habari za jioni wanajf....bodi ya mikopo ya elimu ya juu leo hii imetangaza majina ya wanufaika wa awamu ya kwanza ( 1 batch ) ...wa mikopo hiyo...taarifa hiyo imetolewa na kurugenzi ya bodi hiyo.
====
Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (Heslb) imetangaza orodha ya kwanza ya majina...
Habari zenu wanaJF,
Naomba kujua kwa yeyote anayejua gharama za kuchukua fomu za kugombea uenyekiti Serikali za mitaa kupitia chama cha mapinduzi ni kiasi gani.
Nawasilisha.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu nahitaji laptop nzuri yenye kufanya kazi vizuri....
tuma details zako..
Nina 200K...nyongeza tunaweza ongea.
Tabia ya viongozi kuchomeana mbele ya mkuu, leo limemtokea puani mbunge wa Ileje, Janeth Mbene pale alipopewa nafasi ya kuzungumzia masuala ya jimbo lake na yeye kuchomekea kwamba mkurungezi hafanyi kazi vizuri na aondolewe...
Lakini majibu ya Mh. Rais yalikuwa kinyume na matarajio ya mbunge...
Nimeona habari hii kuwa leo hii serikali yetu imepokea mkopo wa trilion 1...na zinaenda kutumika kwa ajili ya kaya masikini (Tasaf) . Mimi binafsi hii tasaf huwa nahisi ni upigaji huwa inajifanyia kazi zake bila monitering yoyote...1Tril ni pesa nyingi sana deni la nchi linazidi kuwa kubwa sana.
Kuna nafasi moja ya kazi maeneo ya kawe...anahitajika mlinzi umri miaka 25 na kuendelea,,, awe na uzoefu walau miaka miwili kwenye ulinzi na asiwe anatumia kilevi chochote. Nyumba yenyewe ina geti na nyumba tatu ndani...mlinzi ana chumba chake ,choo na bafu maji yapo. Atakaye kaa hapo hapo...
msaada wadau mwenye kujua kuhusu hiyo kozi ya PPM ,, kama inaweza kumsaidia mtu ajira ama kujiajiri na msaada huku ukiringanisha na urban planing and environmental management.
Wadau habari zenu..... ni kuhusu kozi ya B. in urban development and Environment management je nini future yake na ajira je zinapatikana... Pia ukilinganisha na Project planning management ipi inafaa zaidi.
Habari zenu wanagenzi wa JF.. nina ndugu yangu yuko huko DSM..anatafuta kazi yoyote hasa viwandani.. ana miaka 35 elimu hadi kidato cha sita, ana basic computer knowledge(certificate), lugha anajua nne maana amewahi kuishi ughaibuni, amewahi kufanya kazi ya marketing kwenye kampuni moja ya...
Habari zenu wana jamvi!!!! hivi kulingana na utaratibu na sheria pia, ni vizuri kwa kiongozi wa juu kujihusisha na kutangaza biashara fulani. Kama mmewahi kusikia tangazo la vodacom la mpesa ambalo kamanda wa jeshi la polisi dar es salaam kova, anatoa maelezo kwamba watu watumie mpesa hivi ni...
Tanzania Revenue Authority imejaa ukiritimba sana, kupata TIN tu ambayo ni kitu cha bure mpaka, unazungushwa sana mwishowe unaambiwa tuongee kidogo ndipo upate. Ofisi zao unapoingia tu unakutana na vishoka bila woga kabisa wamejaa milangoni hadi maofisini hili kila mdau wa tra analijua. uwanja...
Habari zenu!!! hawa voda baada ya kuweka cheka ya 1000 yaana *147*1000` wakaniletea sms kwamba nimepewa kifurushi cha internet bila kikomo masaa 24. nami bila hiana nikaanza kukikamua. Kumbe lilikuwa ni boya basi pesa yote kwenye simu imekwisha na kilichobaki ni sms 1000000 yaani 1mil, na kupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.