Search results

  1. PakiJinja

    Anayependa kuona rais akitukanwa na kudharirishwa, alitoa kauli ya makusudi ya kumjaza mtukanaji amtukane rais zaidi na zaidi

    Machoni kama watu Mioyoni hawana utu, Mchana wacha Mungu usiku ni wanga sugu. Mistari hii inatosha sana kumuelezea jamaa mmoja ambaye yeye huwa ana tabia ya kila nafasi akipewa huji position kama ni kazi maalum kwa umaalumu alio nao. Huyu kiongozi huwa hana uwezo wa kuongeza na hatimaye kupaya...
  2. PakiJinja

    Nimemsikiliza Mayele kupitia Youtube Channel ya Azam TV, nadhani ana shida mahala

    Katika mahijiano ya Dakika 50 na sekunde 3 aliyofanyiwa na Azam TV ambayo yameonyeshwa kwenye youtube channel ya kituo hicho, Fiston Mayele ameongea mambo kadhaa, lakini mimi nimeamua kuongelea suala lake la mahusiano na timu aliyoichezea, yaani Yanga pamoja na anayoichezea hivi sasa, yaani...
  3. PakiJinja

    Ilianzia Ulaya na Marekani Makanisa kukosa waumini na kufungwa. Kati ya Misikiti 75,000 nchini Iran, Misikiti 50,000 imefungwa baada ya kukosa waumin

    Dunia inabadilika kwa kasi sana, dini (Ukristo , Uhindu na Uislam) zinajaribu kwenda kinyume na uelekeo wa mawimbi, dini zinapingana na upepo, dini zimezeeka, dini zinaizuia dunia isisonge mbele, dini zinajenga chuki, dini zinajaribu kumdhibiti Mwanadamu asitumie weledi wake wala akili zake...
  4. PakiJinja

    Yanga imejiandaa vyema na mchezo na ipo imara kwenda kutafuta matokeo

    Yanga imejiandaa na mchezo wa leo kwa hali na mali. Ipo tayari kwenda uwanjani kupambana ili kupata matokeo. Yanga haiendi uwanjani ikiwa na matokeo mfukoni, bali imejiandaa kupambana kkufa na kipona ikitambua matokeo yatapatioana uwanjani kupitia mpambano huo. Mpira ni mchezo wa kugombania...
  5. PakiJinja

    Kitabu Cha Mwanafunzi: Jifunze kusoma kwa hatua

    Tanzania Wafungaji - Tanzania South Afrika Wafungaji - South Africa Egypt Wafungaji - Egypt Champions League Wafungaji - Champions League
  6. PakiJinja

    Mlandege Vs Simba (wengi wasichokiona)

    Katika michuano ya kombe la mapinduzi msimu 2023/24, mechi pekee ambayo timu ya Mlandege ilishinda katika michuano hiyo ni mechi ya fainali na ikachukua kombe. Wakati upande mwingine, klabu ya Simba mechi pekee iliyofungwa ni ile ya fainali.
  7. PakiJinja

    Mnaotaka kujua ukweli kuhusu mzozo wa Israel na Palestina na yupi ni mkaidi piteni hapa

    Kuna wale waliodanganywa na wachonga hadithi kwamba Wayahudi hawakuwepo pale ila walikusanywa kutoka Ulaya na Mwaka 1947 wakapelekwa pale baada ya kukataa kupelekwa Uganda huu ndiyo wakati wa kuyaondoa matongotongo akilini. Nimewatufutieni clip hii kwa makusudi. Hii vielelezo vyake vyote vipo...
  8. PakiJinja

    Mzozo kati ya Canada na India una zidi kukua huku mahusiano kati yao yakizidi kuzorota huku kila upande ukifukuza Wanadiplomasia na kunyima Visa raia

    Kuna mzozo unaendelea kati ya Canada na India. Mzozo huu ulianza baada ya kiongozi wa Sikh, Hardeep Singh Nijjar, kuuawa mnamo Juni 2023 huko British Columbia. Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, alitangaza kuwa kuna ushahidi wa kuaminika kwamba mawakala wa serikali ya India walihusika na...
  9. PakiJinja

    Nawakumbusha Wacheza Kamari kwamba, Kamari ni haram ila USA Green Card Lottery Tayari imeshafunguliwa

    Najua kuna wacheza kamari tayari wameshacheza, wengine hawana taarifa na wengine wamesahau. Naomba nitumie uzi huu kuwakumbusha wale wote walio tayari kucheza USA Green Card Lottery, kwamba, dirisha limeshafunguliwa na wacheza kamari kutoka nchi mbalumbali wanacheza kwa bidii kujaribu bahati...
  10. PakiJinja

    Republical wafikiria kumuomba Trump agombee nafasi ya Spika wa Bunge la Marekani

    Baada ya aliyekua Spika wa bunge (House) la Marekani kuondolewa, Wabunge wa Bunge la Marekani, ambalo wabunge (Representatives) wake wengi ni kutoka Chama cha Republican, wamependekeza waongee na Donald Trump aweze kuwa Spika wa bunge hilio. Wabunge hao waliweza kufikisha ombi hilo kwa Trump...
  11. PakiJinja

    Tupia kifungua kinywa chako

    Mimi kwa kawaida siku huwa huwa inaanza hivi
  12. PakiJinja

    Katiba itoe nguvu kwa Rais, Bunge na Mahakama kufukuza Watanzania nchini

    Watawala wanazunguka sana, wanahangaika sana. Kwa muda mrefu Katiba yetu imekua ikitoa kinga kwa rais aliyemaliza muda wake kuja kushitakiwa kwa makosa aliyoyafanya alipokua madarakani. Kinga imekua ikipigiwa keleke sana, ilifikia mahala tukaona kabisa walebwaliojiita Wazalendo na wenye uchungu...
  13. PakiJinja

    Wale ambao mnatumia neno 'papatu papatu', lakini hamjui asili yake, piteni hapa

    Siku hizi kuna msemo maarufu sana wa 'pira papatu papatu', wengi hawaelewi asili ya msemo huu. Msema huu asili yake mchanganyiko wa struggles za na sauti zitokanazo na samaki anapokua akirukaruka kwenye maji au matope, yaani kupaparika. Nadhani tumeelewana. Pateni video MAana nyingine ya...
  14. PakiJinja

    Ni Mkakati wa kuwaondoa 'Shikamoo', ili kuikabidhi nchi kwa vijana

    Mabadiliko ya mawaziri ambayo yamekuwa yakifanywa tangu rais Samia aingie madarakani, yamelenga kupunguza wale wenye umri mkubwa (Senior Citizens) katika nafasi hizo ili kuwapisha au kuwaingiza under 50. Hili litaenda hadi ndani ya majeshi yetu na taaisi nyingine za usalama. Mkakati uliopo hivi...
  15. PakiJinja

    Mechi ya pili tangu kuanza kwa ligi, lakini Mashabiki wa Yanga wanadhani zimebaki mechi mbili kumaliza

    Kwa kiwango na mfumo wanaoenda nao Yanga tangu mechi za Majaribio msimu huu, hadi mechi za ushindani, ni ukweli ulio dhahiri kwamba Yanga ipo kwenye form nzuri sana. Hali ikiendelea hivi kwa mechi tatu zijazo, basi walio chini itabidi wakaze buti tu na wamfuate hukohuko juu, kumsubiri chini...
  16. PakiJinja

    Kama hutaki unaacha

    Tafsiri unavyoweza, kama hutaki unaacha: NB: Yoon Suk Yeol ni rais wa 13 wa South Korea.
  17. PakiJinja

    UAE visa-free travel: Over 80 nationalities can enter with a visa on arrival

    Hawa UAE ni ndugu zetu wa damu kabisa, tumeoleana pia ni wajomba zetu hawa. UAE wametoa orodha ya nchi ambazo raia wake wanaweza kuingia nchini mwao bila ya visa. Nchi walizoziruhusu zote ni hizo hapo. These are countries/states whose citizens can enter the UAE visa-free, as per the latest MOFA...
  18. PakiJinja

    Rubani wa Kijeshi wa Urusi atorosha helicopter ya Mi-8 na kuikabidhi kwa kikosi cha Ujasusi cha Ukraine

    Ghafla bin Vuuu... watu wanashuhudia Helikopter ya Jeshi la Urusi aina ya Mi-8 inaingia kwenye kituo cha anga cha Poltava nchini Ukraine. Hilo halikua shambulizi bali ni tukio la Mwanajeshi huyo kutorokea Ukraine Rubani huyo aliwasili na helikopta ya Urusi aina ya Mi-8 AMTSh kwenye kituo hicho...
  19. PakiJinja

    MSIMAMO WA KKKT: Hiki ndicho kilichopelekea, wasilaumiwe

    Watunwameshangazwa sana na namna KKKT ilivyojibu kuhusiana na swala la Bandari. Wanajiuliza ni kipi kimewatokea KKKT hata waonekane kurudi nyuma katika kutoa hili na hatimaye kuonekana ni 'watoto wapendwa' wa Watawala. Ieleweke kwamba, KKKT wao pia wamekuwa na kawaida ya kutoa Waraka wa...
Back
Top Bottom