Stories of Change 2023

Awamu ya Tatu. Maudhui yanayolenga kuchochea mabadiliko chanya na kupelekea kuwepo kwa Uwajibikaji au Utawala Bora

JF Prefixes:

UTANGUZILI. Tanzania tumekuwa na mabadiliko mengi sana katika mfumo wetu wa elimu rasmi toka tumepata uhuru mpaka sasa. Tumekuwa katika kipindi ambacho vyuo vya ufundi vilipewa kipaumbele na...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 4
Tanzania nchi yangu nakupenda japo unanipa maumivu kila kukicha. Umejaliwa kila kitu cha kunifanya nitabasamu lakini tabasamu sipati. Nimekukosea nini? Niambie basi nielewe, kama ni samahani...
3 Reactions
3 Replies
315 Views
Upvote 6
HOMA CHINI YA 18 NA JUU YAKE : KLINIKI ENDELEVU Kwa mujibu wa Tamko la Umoja wa Mataifa (1989) na kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977), Mtoto ni mtu yeyote mwenye umri...
0 Reactions
1 Replies
299 Views
Upvote 2
Utangulizi: Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekabiliana na changamoto nyingi zinazohusu uwajibikaji na utawala bora katika sekta mbalimbali. Kukosekana kwa uwazi, taasisi dhaifu, na...
1 Reactions
0 Replies
355 Views
Upvote 2
KWANI SH. NGAPI? Lakini ni dhahiri kwamba tumefanya makosa katika kuchagua silaha; kwani silaha tuliyochagua ni hela. Tunataka kuondoa unyonge wetu kwa kutumia silaha ya wenye nguvu, silaha ambayo...
0 Reactions
0 Replies
211 Views
Upvote 1
Uwajibikaji ni dhana inayochukuliwa kwa pande mbili katika viongozi mbalimbali wa umma na wale wa siyo wa umma kutokana na mazingira yanayoweza kusababisha viongozi kuingia kwenye hofu ya...
0 Reactions
0 Replies
314 Views
Upvote 1
Cheo cha Katibu Tarafa kifutwe Kama tunavyofahamu kwa mujibu wa Mwongozo wa Uwajibikaji wa Maafisa Tarafa katika Wilaya na Halmashauri za Serikali za Mitaa wa tarehe 18 Desemba, 2003 pamoja...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Upvote 5
KIZUNGUMKUTI SEKTA YA MICHEZO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA BAJETI YA WIZARA YA MICHEZO, SANAA NA UTAMADUNI Kwa miaka kadhaa sekta ya michezo imekuwa ikizidi kukua siku hadi siku na kujiongezea...
0 Reactions
2 Replies
312 Views
Upvote 2
UWAJIBISHWAJI WA SHIRIKA LA UMEME TANZANIA - TANESCO Bila shaka tunatambua na kuona jinsi shirika letu la Umeme Tanzania ambavyo limekuwa likiendelea kutanua wigo wake wa kutoa huduma na kuja na...
1 Reactions
4 Replies
840 Views
Upvote 2
UBOVU WA MAWASILIANO KATIKA TAASISI ZETU ZA UMMA Katika karne hii ya sayansi na teknolojia inasikitisha sana kuona taasisi zetu zikiwa hazifanyi sana vizuri katika utoaji huduma kwa...
2 Reactions
1 Replies
350 Views
Upvote 2
Hii ni kauli ambayo imekuwa ikitrend sana tokea mwaka jana Hadi Leo huku ikifanya wengine wajikwamue na wengine bado wasipate njia za kutoka. Binafsi nimegawanya katika njia mbili, 1: WATU WENYE...
4 Reactions
2 Replies
656 Views
Upvote 7
Ni dhahili hali sasa inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyoenda. Mwanadamu amekua akifurahia na kuvumbua dhana mbalimbali za kumsaidia kazi! Maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia yamepamba moto...
1 Reactions
5 Replies
716 Views
Upvote 3
Mtazamo wa mwananchi. Kama raia atakaye nchi yake iwe yenye maendeleo na ustawi kwa jamii, ni lazima kila idara iwe na uwajibikaji wa hali ya juu, uwajibikaji huo uwe na nidhamu ya nchi husika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Upvote 2
MGONGANO WA KIMASLAHI, SINTOFAHAMU KWA WATOA HUDUMA TANZANIA Mgongano wa maslahi ni dhana pana na haina tafsiri moja. Kwa maana rahisi ni: Hali ya kukinzana kati ya maslahi binafsi ya kiongozi au...
0 Reactions
1 Replies
555 Views
Upvote 2
Hakuna kitu kikubwa kwenye hii dunia kama maendeleo kwenye jamii, hakuna furaha inayopatikana kwenye jamii kama ya uhakika wa kesho, hakuna furaha zaidi inayopatkana kwenye jamii kama ile ya...
3 Reactions
2 Replies
657 Views
Upvote 4
Tanzania, taifa mahiri la Afrika Mashariki linalojulikana kwa utamaduni wake tajiri na urembo wa asili, liko katika hatua muhimu katika safari yake ya kufikia maendeleo endelevu. Ingawa maendeleo...
1 Reactions
1 Replies
592 Views
Upvote 4
UWAJIBIKAJI ni moja kati ya misingi ya Utawala Bora ambapo kutekelezwa kwa msingi huu kwa ukamilifu ni kutekelezeka kwa misingi mengine ya Utawala Bora kama vile ufanisi na tija, kuzingatia...
0 Reactions
1 Replies
442 Views
Upvote 2
Mama Shujaa alikuwa mama wa watoto watatu, aliyekuwa akisimamia biashara ndogo ya kuuza mboga mboga katika soko la mji wa Kibaigwa. Lakini alikuwa na shida nyingi sana katika biashara yake...
1 Reactions
1 Replies
547 Views
Upvote 4
Katika kijiji kidogo nchini Tanzania, kijana mwanamke aliyeitwa Amina alikuwa amechoshwa na ukosefu wa uwajibikaji na uwazi katika mfumo wa afya. Aliweza kushuhudia kwa macho yake mwenyewe ugumu...
2 Reactions
1 Replies
566 Views
Upvote 4
Habar wapendwaa, leo nataka nishare na nyie changamoto iliyopo kwa sasa ukitaka kupata leseni ya udereva hasa kwa class C na E, nipasua kichwaaaa. Mimi ni dereva, leseni yangu iliisha muda...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Upvote 5
Back
Top Bottom