Habari,
Kama bado sio Mwanachama wa Jamiiforums unaweza kujisajili kwa kufuata hatua hizi chache na rahisi zifuatazo:
1. Pakua App ya Jamiiforums kwenye kifaa chako (Simu au Kompyuta)
Katika...
Jinsi ya kushiriki Shindano la STORIES OF CHANGE
Kama tayari una Akaunti ndani ya JamiiForums.com, fungua Kivinjari chako (Browser) kisha ingia jukwaa la Stories of Change 2023
Bonyeza 'Start...
Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register
Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’.
Mshiriki atatakiwa kutaja jina halisi...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UZINDUZI WA AWAMU YA 3 YA SHINDANO LA “STORIES OF CHANGE”
Ndugu Wanahabari,
JamiiForums (JF) ni asasi ya Kiraia iliyosajiliwa kufanya uchechemuzi wa Haki za...
Kikawaida elimu yetu iko katika mtazamo ambao unawanufaisha wachache, mtazamo wangu unagusia maeneo manne (4) ambayo yakiangaliwa na kuboreshwa basi manufaa makubwa yatakua matokeo yake. kama...
UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA.
Wazia nchi ambayo uwazi na uwajibikaji huunda msingi wa utawala wake. Wananchi wana ufikiaji kamili wa taarifa kuhusu jinsi fedha zao za kodi zinavyotumiwa, na ufisadi...
Afya ya msingi(PHC)
Upatikanaji wa huduma ya afya na mipango ya afya ya msingi katika ngazi ya jamii, Zahanati,na vituo vya afya ni changamoto ngumu sana katika nchi zinazoendelea. Utawala Bora...
Utawala bora ni mchakato wa kupima jinsi taasisi za umma zinavyoendesha shughuli zake, kusimamia rasilimali za umma na kuhakikisha utekelezwaji wa haki za binadamu kwa njia ambayo kimsingi haina...
Katika nchi ya Tanzania, uwajibikaji na utawala bora ni mada muhimu katika maendeleo ya nchi na ustawi wa wananchi. Uwajibikaji unahusisha uwezo wa viongozi na taasisi za umma kutekeleza majukumu...
Tanzania ni moja ya nchi duniani inayotumia mfumo wa uongozi wa demokrasia. Na mfumo huu ulianza haswa kuvuma miaka ya 1990 baada ya kurudishwa mfumo wa vyama baada ya miaka thelathini katika...
Ufuatiliaji wa kijamii njia kwa wagonjwa na jamii nzima kuangalia kama programu za afya na huduma za afya zinafaa/zinafikiwa na kila mtu, ni za ubora mzuri na zina matokeo yanayotarajiwa.
Kanuni...
Sekta ya madini ya Tanzania ni mchangiaji muhimu katika uchumi wa nchi, hasa kutokana na juhudi za wachimbaji wadogo wanaofanya kazi kwa uhuru. Katika uchambuzi huu wa kina, tunaangazia masuala...
Mwandishi MZT company limited, kazi za jamii.
Yanachochea mabadiliko katika utawala bora.
UZAZI WA MPANGO NI NINI?
Uzazi wa mpango ni uamuzi wa hiari unaofanywa na mtu binafsi, mwenzi au wote...
Mtandao umekuwa sehemu muhimu ya Maisha yetu ya kisasa, ukiathiri kila kona ua jamii, elimu, na biashara. Kupitia mtandao , watu wanaweza kuwasiliana, kujifunza, na kufanya kazi kwa njia isiyo ya...
Zaidi ya Miongo mitano imepita baada ya mataifa mengi ya Kiafrika kupata uhuru wao kutoka Kwa wakoloni . Lakini Bado hali ya maendeleo katika sekta mbali mbali kama vile elimu, afya, miundombinu...
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza...
Picha: Gazeti la Mtanzania
UTANGULIZI.
Katika jamii, familia ni msingi thabiti wa ujenzi wa maadili na tabia za kijamii na kizazi kijacho. Kama vile jiko linavyokuwa kitovu cha mapishi, familia...
Uwepo wa vyoo bora ni muhimu sana katika shule ili kuhakikisha mazingira salama na afya kwa Wanafunzi ili kuwezesha suala la ufundishaji na ujifunzaji. Hata hivyo katika shule jumuishi changamoto...
Teknolojia za kidijitali ni sehemu ya Maisha yetu, na zina uwezo mkubwa sana wa kuboresha afya-za-watu iwapo zitatumika katika sekta-ya-afya.
Mkakati-wa-kimataifa kuhusu Afya ya Kidijitali...
Ni saa tatu za asubuhi, nikiwa nafua nguo nje ya nyumba yangu. Nashitushwa na ujio wa ghafla wa askari mgambo wanne wenye nyuso za shari shari wakiwa wameambatana na mwenyekiti wa mtaa. Japokuwa...
Wahenga wanasema utamu wa ngoma uingie ucheze, ukweli wa jambo kama halijakukuta wewe wakati mwingine ni ngumu kumuelewa Yule anaelipitia, katika maisha yangu sikuwahi kuwaza kama kuna siku uzazi...
Msingi wa mafanikio na maendeleo ya mtu mmoja mmoja mpaka taifa zima ni afya bora, hakuna shughuli yoyote ambayo binadamu anaweza kuifanya pasipo kuwa na mtaji namba moja ambao ni afya.
Katika...
Utangulizi:
Tanzania ni nchi iliyopo Afrika Mashariki. Nchi hii imejikita katika kukuza maendeleo na ustawi wa wananchi wake.
Mojawapo ya nguzo muhimu katika kufanikisha lengo hili ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.