SIMULIZI: NAJISALIMISHA
MTUNZI:JUDITH KAUNDA
0682253906
STELLA
Kwenye hii Dunia kuna mambo ambayo kila mmoja wetu amelazimika kuwa nayo bila hiari yake, kama ambavyo maisha hayatupi nafasi...
Wana jamvi leo nawaletea stori ya maisha niliyopitia, harakati za maisha, mapenzi, uonevu fitina na uchawi vyote utavipata hapa, ni true stori, lakini majini ya vijiji na watu nitabadilsha kwa...
Kuna movie niliangalia miaka mingi kidogo kama 25 iliyopita kuna kijana alimchumbia mwanamke aliyekuwa na uhusiano na baba yake nafikiri yule mchumba wake alikuwa anafanya kazi ofisi ambayo baba...
Gere unanionea mie nakunifanya hasidi, kwakuwa unatambu kazi yangu jukwaani, hata hivyo nyuma, sitarejea, wajifanya wajua, jua linakuwakia.
Naomba mwenye link ya huu wimbo ama anae mfahamu msanii...
Ilikuwa nikizisikiliza zamani mwenye redio free Afrika (RFA)
Au redio Tanzania daresalaam (RTD)
Ni nyimbo flani hivi msanii anaimba ila ni kama anaongea story flani hivi za masikitiko.
Mara...
1. BABY'S DAY OUT
Mabwana watatu wanaojifanya wapiga picha wanamteka mtoto mdogo wa miezi tisa toka familia ya kitajiri kwa lengo la kutengeneza pesa ya maana kutoka kwa wazazi wake.
Bahati...
Filamu zote ni maigizo na sio uhalisia halisi wa maisha. Lakini katika ulimwengu wa filamu, mara nyingi tunakutana na uongo ambao hauna maana.
Mimi nilikua nafuatilia sana movie za kihindi ila...
Watanzania ni watu wazarendo sana kwa vitu vilivyo vya kwao! Lakini inafikia mahali wawasilishaji wanaviwasiliaha kimakosa!
Uwanja pekee ambao kwa sasa umefifia na uko karibu kufa ni katika...
Wadau mimi ni mpenzi wa mziki na kabla mambo yangu ya kiuchumi hayajayumba nilikuwa namiliki HK ONYX STUDIO 7 bahati mbaya ilikuja kuungua. Sasa kutokana na uchumi wangu kuwa bahati nasibu...
Amrish Puri, Mwamba Alisumbua Sana Kwenye Filamu Za Kihindi Na Sidhani Kama Kuna Muigizaji Atakuja Kuigiza Vizuri Nafasi Ya Adui Kama Huyu Mzee.
Filamu Gani Unaikubali Ambayo Aliigiza Amrish Puri?
[Verse 1 – Professor Jay]
Naahidi kuwa makini mpaka siku nafukiwa chini
Na Mungu aliye hai bado yu pamoja na mimi
Emcee shika vizuri karibu tawi linakatika
Na kwa wote mliopo juu na chini sauti...
Tottenham Hotspur Football Club [ The Lilywhites ] , commonly referred to as Tottenham (/ˈtɒtənəm/) or Spurs, is a professional football club based in Tottenham, London, England. It competes in...
Usije sema hukuambiwa. Kama kawaida huku ni nyama nyingi, ugali kidogo.
1. SECRETARY
Baada ya kutoka hospitali ya magonjwa ya akili kwasababu ya tabia ya kujidhuru mwenyewe, sasa bibie Lee...
Mzuka wanajamvi
Nipo hapa naandaa script ya movie bonge la movie ambayo itateka gumzo la kila mtu nchini. Jina la movie Muuza madafu encounter freedom.
Ni hivi. Inaanza magaidi kutoka msumbiji...
Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.
Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake...
Ilikuwa mwaka 2011 kipindi nafanya kazi hoteli Moja pale Zanzibar Mimi na rafiki yangu aliye itwa rajabu pale hotelini mademu wa kizungu kutoka ulaya ni wengi sana sasa ndugu yangu rajabu si...
Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Umri…………………..18+
Sehemu ya 1
Ngurumo na radi vilitawala,huku wingu zito likitanda,ilikuwa ni dalili kuwa muda wowote mvua itanyesha,tena siyo ya rasharasha...
Napenda sana kusoma vitabu, hali hii imenifanya nipende kuandika visa kadhaa ambavyo huwa ni vya kweli, Sina visa vya kutunga.simulizi zote zina ukweli kwa asilimia nyingi.lakini pia...
Kwa Maoni yangu GENTAMYCINE ( Rais wa Wapenzi wote wa Bendi ya Wenge Musica BCBG JamiiForums nzima ) japo niliumia sana kwa Bendi hii Kuvunjika na kila Mtu Kuunda Wenge Musica yake yaani JB Mpiana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.