Nionyeshe tajiri ambae njia zake hazijaunga kwa shetani, Nikupe hii..... bure. Aliniambia huku kanikazia macho.
Muonekano wake haukuakisi uwezo wake hata kidogo. Shuka nayo...
Karibuni kwenye uzi maalumu kwa wale wapenzi wa Comics (Super heros) hasa kwa mashabiki wa DCEU movies na MCU movies.
Mimi ni mshabiki wa Marvels hasa Doctor Strange upande wa DC nampenda Joker...
HII NI SIMLIZI YA KISAYANSI NA KITEKNOLOJIA. MTUNZI NI YULEYULE TARIQ HAJJ.
HAYA NI MAONO YA MAISHA YAJAYO.
RIWAYA NYINGINE ZILIZO TANGULIZIA NI
1. CODE X
2.CODE. X 2 MCHEZO WA KIFO.
3.COD X 3...
Black Star 01
Mtunzi: Tariq H Haji
Mawasiliano: 0624065911
Watu waliendelea kushangilia kwa nguvu baada vishindo kadhaa kusikika. "Mshkaji hajui kupiga kidogo, anabutuwa kisawasawa" alisikika mtu...
Ep 01
Naitwa Sabrina ni mzaliwa wa bukoba kabila langu n mchanganyiko wa kihaya na kirwanda yn baba yngu akiwa mhaya na mama yngu mrwanda kabisa, nilisoma elimu ya primary na kufaulu kuingia...
Weekend hii iliyopita ilienda vizuri sana sikutegemea mana sikua na mtoko wowote ule, basi nikasema hii weekend ni ya kuchill home nakaona haitakua vyema bila ya kusindikiza na movies, aisee...
Ndugu zangu naomba tuchangamshe genge kidogo Kati ya waigizaji hawa wawili Nani unamkubari zaidi
1. Cillian Murphy a.k.a jina maarufu wengi wanamjua kama TOMY SHELBY kwenye peak blinders ...
Katika maeneo yote duniani, kuna watu ambao wanafanya kazi kubwa nyuma ya wahusika wakuu wa tasnia fulani na kuwa nguo kubwa ya mafanikio. Hawa kwa lugha ya Kiingereza wanaitwa 'masterminders'. Ni...
1. NEW VIDEO | Nay Wa Mitego - Wapo | DOWNLOAD Mp4 Song
2. NEW AUDIO | Mesen Selekta - Chata | DOWNLOAD Mp3 Song
3. NEW VIDEO | Mesen Selekta - Chata | DOWNLOAD Mp4 Song
4.AUDIO | Stamina Ft...
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo...
Nakumbuka siku nilifungua ofisi moja ya kurusha miziki ,nilienda kwa mama mmoja anitayalishie dawa ya kuleta wateja wengi waje niwachomee miziki na movie.
Alinipa dawa nne mfano wa irizi ya kwanza...
BONG FLAVA YA KUIMBA TOFAUTI NA RAP
20: Ali Kiba - Mwana
19: Diamond - Mbagala
18: Dully Sykes - Dhahabu
17: JI - Kidato Kimoja
16: 2 Berries - Na Wewe Tu
15: Dully Sykes - Dhahabu
14: Z...
20: Chid Benz - Bongo Dar es Saalam
19: FA - Bado Nipo Nipo
18: Fid Q - Propaganda
17: AY and FA - Habari Ndiyo Hio
16: Piggy Black - Nini Mnataka Mazee
15: AY - Raha Tu
14: Professor J -...
Mtunzi: Febiani Babuya
Mwandishi: Bux the story teller
Umri :Miaka 18+
Uurasa wa tatu
Sehemu iliyopita tulipoishia...
Aliamka asubuhi na mapema sana akarudi kwanza kwao, alitaka kuhakiki kama je...
Hadithi: I Want to Die Judge (Nataka Kufa Hakimu)
Mtunzi: Febiani Babuya
Maimuliaji: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
SEHEMU YA KWANZA.
Saa mbili za usiku ndani ya jiji la...
NOTE
HADITHI ZANGU ZOTE NI ZA KUBUNI TU HAZIHUSIANI NA MTU YEYOTE, TAASISI YOYOTE WALA MAMLAKA YOYOTE ILE WALA HAZILENGI KUMCHAFUA MTU, TAASISI AU MAMLAKA YOYOTE.
HADITHI: GEREZA LA HAZWA...
Stori: Innocent Killer (The Revenge)
Msimuliaji: Bux the story teller
Umri: 18+
Sehemu ya Kwanza:
NB: Hadithi hii ni ya kubuni na kufikirika haihusiani na maisha ya mtu yeyote, wala taasisi...
Simulizi hii inahusu utafutwaji wa NYARAKA namba 72 waweza kuiita DOCUMENT namba 72 ambayo ina siri nzito sana ndani yake.
DOCUMENT hiyo inadaiwa kuwa na majina ya watu ambao wanatakiwa...
Kama wewe ni mpenzi wa simulizi kali sana za kijasusi na kipelelezi, kama unapenda simulizi zinazohusu michezo ya siasa na namna watu wanavyo iishi siasa kikatili.
Kama wewe ni mpenzi wa simulizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.