MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,291
- 22,834
Kina Erythrocyte na Mdude wana jambo la kujifunza.
Yericko kaandika hivi huko Facebook;
Kuna juhudi flani za kiuchumi katika ukanda zinazofanywa na Tanzania zinanifanya nipongeze mfumo kwa kiasi chake, katika hili nasema hongera sana Tanzania!
Sasa tupambane miundombinu kama SGR ifike Kongo na ruti za ndege @airtanzania_atcl ziimarishwe ipasavyo, DRC ni injini ya Uchumi wa Tanzania tuilinde kwa nguvu zetu zote!
Yericko kaandika hivi huko Facebook;
Kuna juhudi flani za kiuchumi katika ukanda zinazofanywa na Tanzania zinanifanya nipongeze mfumo kwa kiasi chake, katika hili nasema hongera sana Tanzania!
Sasa tupambane miundombinu kama SGR ifike Kongo na ruti za ndege @airtanzania_atcl ziimarishwe ipasavyo, DRC ni injini ya Uchumi wa Tanzania tuilinde kwa nguvu zetu zote!