Yericko Nyerere aonyesha uzalendo kwa kupongeza mambo makubwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya 6

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,291
22,834
Kina Erythrocyte na Mdude wana jambo la kujifunza.
Yericko kaandika hivi huko Facebook;

Kuna juhudi flani za kiuchumi katika ukanda zinazofanywa na Tanzania zinanifanya nipongeze mfumo kwa kiasi chake, katika hili nasema hongera sana Tanzania!

Sasa tupambane miundombinu kama SGR ifike Kongo na ruti za ndege @airtanzania_atcl ziimarishwe ipasavyo, DRC ni injini ya Uchumi wa Tanzania tuilinde kwa nguvu zetu zote!

FB_IMG_1714386697866.jpg
 
Kina Erythrocyte na Mdude wana jambo la kujifunza.
Yericko kaandika hivi huko Facebook;

Kuna juhudi flani za kiuchumi katika ukanda zinazofanywa na Tanzania zinanifanya nipongeze mfumo kwa kiasi chake, katika hili nasema hongera sana Tanzania!

Sasa tupambane miundombinu kama SGR ifike Kongo na ruti za ndege @airtanzania_atcl ziimarishwe ipasavyo, DRC ni injini ya Uchumi wa Tanzania tuilinde kwa nguvu zetu zote!

View attachment 2976640
Mdude na Lema ni manyumbu waliopitiliza kuna ambae cha kushangaza ni msomi ila anaelekea huku kwa akina lema anitwa Malisa
 
Mdude na Lema ni manyumbu waliopitiliza kuna ambae cha kushangaza ni msomi ila anaelekea huku kwa akina lema anitwa Malisa
Wasomi bongo? Nimecheka vibaya, kama maprofessor wanasema wametoka jalalani, unapata wapi nguvu ya kusema wasomi?
 
Back
Top Bottom