Kumekuwa na wizi unaendelea majumbani mwa watu nyakati za usiku wa manane hapa Arusha , wanaiba haswa side mirrows za Land Cruisers, Exels za Land Cruisers na vifaa vingine vya magari ya Watalii!
Vifaa hivyo huuzwa kwa Wadau ambao huviuza tena kwa wahanga!! Vilio ni vingi mno!
Sakina, Kwa Iddi, Ngaramtoni, Unga Ltd, kwa ujumla ni mitaa yote wanapita usiku kama ma inspectors wa magari wengine wakiwa wamelala!
Mkuu wa mkoa sema neno juu ya hili vijana wako hapo Arusha wanalia mnno!
Vifaa hivyo huuzwa kwa Wadau ambao huviuza tena kwa wahanga!! Vilio ni vingi mno!
Sakina, Kwa Iddi, Ngaramtoni, Unga Ltd, kwa ujumla ni mitaa yote wanapita usiku kama ma inspectors wa magari wengine wakiwa wamelala!
Mkuu wa mkoa sema neno juu ya hili vijana wako hapo Arusha wanalia mnno!