THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,790
- 3,397
Habara mwanajukwaa la michezo.
Kiukweli nianze kwa kusema maneno mafupi tu Azam haistahili kucheza Champions League msimu ujao..Mi shabiki wa mpira naufahamu mpira vizur.
Jana baada ya ile Half time nilienda kwa mshikaji wangu wa M-Pesa nikata kuweka 50k ila akasema kwa sababu ya protocal zake ule mda asingewez niwekea kias hicho..nikaumia sana.
Ujue why?? mi niliona kabisa Azam anamdaharau Simba nikaishia kumwambia yule jamaa wa M-pesa,kua Bro mfate Simba na Chuma 2+
Nimeangalia games mbili za Ligi Msimu huu Azam Vs Simba, Azam kacheza kwa kumdharau sana Simba na badala yake kampa point 4 mshindan mwenzake wa nafasi ya Pili.
Azam anaenda na kelele za mitandaon na kwa media mbalimbali kua Simba Mbovu na anaidharau.
Azam wanafikiri na wao ni Yanga ukimfunga Yanga sio umemfunga na Simba.
Nahisi saiv ndio mtaelewa why Viongozi wa Yanga kwenye Match ya Mzinguko wa pili walikazia kusema Simba ni Team tishio hawakutaka kuwafanya wachezaji wabweteke.
Jana unaangalia mpira unaona Azam No spirit at all Team inacheza as If wao ndio wanaongoza kwa tofaut ya points 10!!
Kuna ki Idd Nado vinavuta Jezi tu ya mikono mirefu kama kinavyofanyaga kifala kimoja pale Man United ki Rashford.
Yani ile Azam isiende popote..Wachezaji wanacheza wakiguswa kidogo wanaanguka wanamwangalia Refa daah...Hata ile game ya Mwanza walistahili kuondoka na points 3 ila walianza dharau hadi nusura wakose hata hio point 1 dadeek zao.
Kama naongea uongo aje mtu aseme hapa kama Azam michezo yote miwili kazidiwa mbinu na simba?
Answer NO Bali ni walidharau games zote.
Simba malizen nafasi ya 2 twende kimataifa wote hii Nchi kumbe bado ni ya Simba na Yanga tu.
Kiukweli nianze kwa kusema maneno mafupi tu Azam haistahili kucheza Champions League msimu ujao..Mi shabiki wa mpira naufahamu mpira vizur.
Jana baada ya ile Half time nilienda kwa mshikaji wangu wa M-Pesa nikata kuweka 50k ila akasema kwa sababu ya protocal zake ule mda asingewez niwekea kias hicho..nikaumia sana.
Ujue why?? mi niliona kabisa Azam anamdaharau Simba nikaishia kumwambia yule jamaa wa M-pesa,kua Bro mfate Simba na Chuma 2+
Nimeangalia games mbili za Ligi Msimu huu Azam Vs Simba, Azam kacheza kwa kumdharau sana Simba na badala yake kampa point 4 mshindan mwenzake wa nafasi ya Pili.
Azam anaenda na kelele za mitandaon na kwa media mbalimbali kua Simba Mbovu na anaidharau.
Azam wanafikiri na wao ni Yanga ukimfunga Yanga sio umemfunga na Simba.
Nahisi saiv ndio mtaelewa why Viongozi wa Yanga kwenye Match ya Mzinguko wa pili walikazia kusema Simba ni Team tishio hawakutaka kuwafanya wachezaji wabweteke.
Jana unaangalia mpira unaona Azam No spirit at all Team inacheza as If wao ndio wanaongoza kwa tofaut ya points 10!!
Kuna ki Idd Nado vinavuta Jezi tu ya mikono mirefu kama kinavyofanyaga kifala kimoja pale Man United ki Rashford.
Yani ile Azam isiende popote..Wachezaji wanacheza wakiguswa kidogo wanaanguka wanamwangalia Refa daah...Hata ile game ya Mwanza walistahili kuondoka na points 3 ila walianza dharau hadi nusura wakose hata hio point 1 dadeek zao.
Kama naongea uongo aje mtu aseme hapa kama Azam michezo yote miwili kazidiwa mbinu na simba?
Answer NO Bali ni walidharau games zote.
Simba malizen nafasi ya 2 twende kimataifa wote hii Nchi kumbe bado ni ya Simba na Yanga tu.