Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 2,334
- 3,084
Mechi baina ya Simba dhidi ya Azam ndio itakayotoa mwanga ni timu ipi inaweza kucheza klabu bingwa msimu ujao.
Azam wakiwa wameshuka dimbani mara 25 wakijikusanyia alama 57 wanapigana vita dhidi ya Simba ambayo imecheza michezo 24 wakiwa na point 53.
Timu hizo zitakutana wenyewe kwa wenyewe tarehe 9 huku Simba wakihitaji zaidi ushindi ili kukaa nafasi ya pili mapema kabisa.
Hizi hapa ni mechi 4 za Azam baada ya kumalizana na Simba tarehe 9
1) vs KMC- Chamazi
2) vs JKT Tanzania- Isamuhyo
3) vs Kagera- Chamazi
4)vs Geita- Nyankumbu
Hizi ni mechi tano za Simba baada ya mechi dhidi ya Azam
1) Vs Kagera- Kaitaba
2) vs Dodoma- Jamuhuri
3) vs Geita- Chamazi
4) vs KMC- Chamazi
5) vs JKT Tanzania- Chamazi
Je kati ya Azam na Simba ni yupi mwenye ratiba ngumu hapo? Ni yupi ataweza kupambana kucheza champions league msimu ujao?
Azam wakiwa wameshuka dimbani mara 25 wakijikusanyia alama 57 wanapigana vita dhidi ya Simba ambayo imecheza michezo 24 wakiwa na point 53.
Timu hizo zitakutana wenyewe kwa wenyewe tarehe 9 huku Simba wakihitaji zaidi ushindi ili kukaa nafasi ya pili mapema kabisa.
Hizi hapa ni mechi 4 za Azam baada ya kumalizana na Simba tarehe 9
1) vs KMC- Chamazi
2) vs JKT Tanzania- Isamuhyo
3) vs Kagera- Chamazi
4)vs Geita- Nyankumbu
Hizi ni mechi tano za Simba baada ya mechi dhidi ya Azam
1) Vs Kagera- Kaitaba
2) vs Dodoma- Jamuhuri
3) vs Geita- Chamazi
4) vs KMC- Chamazi
5) vs JKT Tanzania- Chamazi
Je kati ya Azam na Simba ni yupi mwenye ratiba ngumu hapo? Ni yupi ataweza kupambana kucheza champions league msimu ujao?