Vita ya nafasi ya pili imepamba moto haswa

Smt016

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
2,334
3,084
Mechi baina ya Simba dhidi ya Azam ndio itakayotoa mwanga ni timu ipi inaweza kucheza klabu bingwa msimu ujao.
Azam wakiwa wameshuka dimbani mara 25 wakijikusanyia alama 57 wanapigana vita dhidi ya Simba ambayo imecheza michezo 24 wakiwa na point 53.
Timu hizo zitakutana wenyewe kwa wenyewe tarehe 9 huku Simba wakihitaji zaidi ushindi ili kukaa nafasi ya pili mapema kabisa.

Hizi hapa ni mechi 4 za Azam baada ya kumalizana na Simba tarehe 9
1) vs KMC- Chamazi
2) vs JKT Tanzania- Isamuhyo
3) vs Kagera- Chamazi
4)vs Geita- Nyankumbu

Hizi ni mechi tano za Simba baada ya mechi dhidi ya Azam
1) Vs Kagera- Kaitaba
2) vs Dodoma- Jamuhuri
3) vs Geita- Chamazi
4) vs KMC- Chamazi
5) vs JKT Tanzania- Chamazi

Je kati ya Azam na Simba ni yupi mwenye ratiba ngumu hapo? Ni yupi ataweza kupambana kucheza champions league msimu ujao?
 
Mechi baina ya Simba dhidi ya Azam ndio itakayotoa mwanga ni timu ipi inaweza kucheza klabu bingwa msimu ujao.
Azam wakiwa wameshuka dimbani mara 25 wakijikusanyia alama 57 wanapigana vita dhidi ya Simba ambayo imecheza michezo 24 wakiwa na point 53.
Timu hizo zitakutana wenyewe kwa wenyewe tarehe 9 huku Simba wakihitaji zaidi ushindi ili kukaa nafasi ya pili mapema kabisa.

Hizi hapa ni mechi 4 za Azam baada ya kumalizana na Simba tarehe 9
1) vs KMC- Chamazi
2) vs JKT Tanzania- Isamuhyo
3) vs Kagera- Chamazi
4)vs Geita- Nyankumbu

Hizi ni mechi tano za Simba baada ya mechi dhidi ya Azam
1) Vs Kagera- Kaitaba
2) vs Dodoma- Jamuhuri
3) vs Geita- Chamazi
4) vs KMC- Chamazi
5) vs JKT Tanzania- Chamazi

Je kati ya Azam na Simba ni yupi mwenye ratiba ngumu hapo? Ni yupi ataweza kupambana kucheza champions league msimu ujao?
Wote wanakutana na timu wanazoweza kuzifunga..
Ila kwa ujinga uliotokea jana.. piga ua..mikia itakaa nafasi ya pili...
 
Mechi baina ya Simba dhidi ya Azam ndio itakayotoa mwanga ni timu ipi inaweza kucheza klabu bingwa msimu ujao.
Azam wakiwa wameshuka dimbani mara 25 wakijikusanyia alama 57 wanapigana vita dhidi ya Simba ambayo imecheza
njama lazima zitafanywa ili fei toto ashinde kiatu
 
Mechi baina ya Simba dhidi ya Azam ndio itakayotoa mwanga ni timu ipi inaweza kucheza klabu bingwa msimu ujao.
Azam wakiwa wameshuka dimbani mara 25 wakijikusanyia alama 57 wanapigana vita dhidi ya Simba ambayo imecheza michezo 24 wakiwa na point 53.
Timu hizo zitakutana wenyewe kwa wenyewe tarehe 9 huku Simba wakihitaji zaidi ushindi ili kukaa nafasi ya pili mapema kabisa.

Hizi hapa ni mechi 4 za Azam baada ya kumalizana na Simba tarehe 9
1) vs KMC- Chamazi
2) vs JKT Tanzania- Isamuhyo
3) vs Kagera- Chamazi
4)vs Geita- Nyankumbu

Hizi ni mechi tano za Simba baada ya mechi dhidi ya Azam
1) Vs Kagera- Kaitaba
2) vs Dodoma- Jamuhuri
3) vs Geita- Chamazi
4) vs KMC- Chamazi
5) vs JKT Tanzania- Chamazi

Je kati ya Azam na Simba ni yupi mwenye ratiba ngumu hapo? Ni yupi ataweza kupambana kucheza champions league msimu ujao?
Thiiimbaaaa hatoboi.
 
Mmiliki wa AZAM ni shabiki wa Simba over.

Siongezi wala kupunguza neno.
Yani uwekeze mabilioni halafu uendeshwe na ushabiki? Hizo akili za kimasikini. Watu wanaangalia mabilioni waliyo wekeza yataletaje faida wewe unawaza ushabiki?
 
Back
Top Bottom