Uturuki japo imechelewa nayo imeanza kujiunga na Hamas dhidi ya Israel

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,471
11,454
Uturuki kwa muda mrefu tena muda uliokuwa mgumu zaidi kwa wapalestina ilitumia mdomo pekee kuilaani Israel bila kutoa msaada ambao ina uwezo nao.

Miezi sita kuelekea saba ndio sasa imeamua kuibana Israel kiuchumi kwa kuzuia bidhaa zake 54 zisisafirishwe kwenda nchini huko.Miongoni mwa bidhaa hizo ni mafuta ya ndege,Aluminium na saruji.

Kilichoikasirisha Uturuki kupelekea maamuzi hayo ni kuzuiwa na Israel fursa ya kuwadondoshea mahitaji wapalestina wa jimbo la Gaza kwa kutumia ndege zake za kijeshi.

Mkakati huo utaendelea mpaka hapo Israel itakapositisha vita vyake na Hamas na kuruhusu kuingia kwa bidhaa Gaza bila vikwazo.

Turkey restricts exports of 54 products to Israel until Gaza ceasefire

 
Nani alikwambia Jews wanatishika na vikwazo mfu kama hvyo !!!!

Wao wakianzisha jambo huwa hakuna mtu wa kuwaamulia mpk lengo litimie ...endelea kujifariji kuwa mtapata ahueni , mlilianzisha wenyewe Oct 7
Hawatishiki kwa lipi subir sasa kama baada ya miezi 3 ijao wataendelea kukaza shingo. Unchotakkwa kujua Israeli anapigana modern war ambayo inahitaji bajeti kubwa mno na kama export imepongua kww mataifa mengi usitegemee miujiza , mpaka sasa ameshaatumia zaidi ya 200 trillion
 
Kutokana na technology ya Israel kati ya Israel na Turkey nani anamuhitaji mwenzake? Israel wameshtuka kwanini wapeleke ndege za kijeshi kutoa misaada ? Ili wafanye uchunguzi wa jeshi la Israel halafu wawapeleke maadau?
 
Uturuki kwa muda mrefu tena muda uliokuwa mgumu zaidi kwa wapalestina ilitumia mdomo pekee kuilaani Israel bila kutoa msaada ambao ina uwezo nao.

Miezi sita kuelekea saba ndio sasa imeamua kuibana Israel kiuchumi kwa kuzuia bidhaa zake 54 zisisafirishwe kwenda nchini huko.Miongoni mwa bidhaa hizo ni mafuta ya ndege,Aluminium na saruji.

Kilichoikasirisha Uturuki kupelekea maamuzi hayo ni kuzuiwa na Israel fursa ya kuwadondoshea mahitaji wapalestina wa jimbo la Gaza kwa kutumia ndege zake za kijeshi.

Mkakati huo utaendelea mpaka hapo Israel itakapositisha vita vyake na Hamas na kuruhusu kuingia kwa bidhaa Gaza bila vikwazo.

Turkey restricts exports of 54 products to Israel until Gaza ceasefire

Kwani israel anaogopa vikwazo vya wafia dini uturuki alishatamka wazi anawaunga mkono hamas kwa hiyo hapo ni bure tu israel alshajipanga
 
Nani alikwambia Jews wanatishika na vikwazo mfu kama hvyo !!!!

Wao wakianzisha jambo huwa hakuna mtu wa kuwaamulia mpk lengo litimie ...endelea kujifariji kuwa mtapata ahueni , mlilianzisha wenyewe Oct 7
hao jews wako pengine sio hawa wanaokaa kwenye ardhi za Palestina.
Ona jinsi sera za vita zinavyobadilika kwa haraka baada ya Marekani kutishia kuipa misaada Israel.
Israel inaagiza bidhaa nyingi kutoka nje ikiwemp Uturuki.Kama watanyimwa bidhaa hizo basi wewe huwezi kuwaambia wazifuate wapi kwa bei nafuu.
 
Uturuki kwa muda mrefu tena muda uliokuwa mgumu zaidi kwa wapalestina ilitumia mdomo pekee kuilaani Israel bila kutoa msaada ambao ina uwezo nao.

Miezi sita kuelekea saba ndio sasa imeamua kuibana Israel kiuchumi kwa kuzuia bidhaa zake 54 zisisafirishwe kwenda nchini huko.Miongoni mwa bidhaa hizo ni mafuta ya ndege,Aluminium na saruji.

Kilichoikasirisha Uturuki kupelekea maamuzi hayo ni kuzuiwa na Israel fursa ya kuwadondoshea mahitaji wapalestina wa jimbo la Gaza kwa kutumia ndege zake za kijeshi.

Mkakati huo utaendelea mpaka hapo Israel itakapositisha vita vyake na Hamas na kuruhusu kuingia kwa bidhaa Gaza bila vikwazo.

Turkey restricts exports of 54 products to Israel until Gaza ceasefire

Jirani ushaswali 🤣🤣🤣
 
Acheni kumkosea heshima Yesu,mtume wetu miongoni mwa mitume mitukufu.
Kwa mujibu wa Qurr'an Hakufikwa na janga hilo la aibu.Mola wake aliwahi kumuokoa kabla washenzi wa kiyahudi hawajamdhuru.
YESU WA KWENYE QUR'AN SIO YESU WA WAKRISTO.
TATIZO WAISLAMU MNADHANI MUNGU YESU MTOTO WA MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA........NDIO MUNGU WENU WA KIARABU ALLAH.
LABDA KAMA UNAMSEMEA YULE ISSA MWARABU ALIYEPANDIKIZWA KWENYE VITABU VYENU.
 
Kutokana na technology ya Israel kati ya Israel na Turkey nani anamuhitaji mwenzake? Israel wameshtuka kwanini wapeleke ndege za kijeshi kutoa misaada ? Ili wafanye uchunguzi wa jeshi la Israel halafu wawapeleke maadau?
Uturuki nayo iko mbali sana kiteknolojia za kivita.
 
Acheni kumkosea heshima Yesu,mtume wetu miongoni mwa mitume mitukufu.
Kwa mujibu wa Qurr'an Hakufikwa na janga hilo la aibu.Mola wake aliwahi kumuokoa kabla washenzi wa kiyahudi hawajamdhuru.
UNAWAFUNDISHA WAGALATIA CHA KUAMINI.....KUTOKANA NA ADITHI ZA WAARABU WALIZOKOPI WAYAHUDI MIAKA 700 BAADA YA KIFO CHA YESU?????
UNAPOTEZA MDA JIRANI
 
YESU WA KWENYE QUR'AN SIO YESU WA WAKRISTO.
TATIZO WAISLAMU MNADHANI MUNGU YESU MTOTO WA MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA........NDIO MUNGU WENU WA KIARABU ALLAH.
LABDA KAMA UNAMSEMEA YULE ISSA MWARABU ALIYEPANDIKIZWA KWENYE VITABU VYENU.
Ni huyo huyo mmoja tu ambaye hana upungufu kama mnavyodhania nyinyi.
Yaani Yesu(Issa bin Maryam) apewe adhabu kama hizo na mayahudi halfu Allah amuwache mpaka mwisho.Alimpaisha mbinguni na mayahudi wakaachiwa kinyago wateseke nacho.
 
Kilichoikasirisha Uturuki kupelekea maamuzi hayo ni kuzuiwa na Israel fursa ya kuwadondoshea mahitaji wapalestina wa jimbo la Gaza kwa kutumia ndege zake za kijeshi.
Hii pekee inatosha kukuonyesha nani mbabe.
Kwa nini Turkey hajatumia nguvu?
 
Ni huyo huyo mmoja tu ambaye hana upungufu kama mnavyodhania nyinyi.
Yaani Yesu(Issa bin Maryam) apewe adhabu kama hizo na mayahudi halfu Allah amuwache mpaka mwisho.Alimpaisha mbinguni na mayahudi wakaachiwa kinyago wateseke nacho.
TATIZO JIRANI......HIZO ADITHI ZA WAARABU NI ZA UONGO.
KILA KITU WAMEWAKOPI WAYAHUDI.....MPAKA AIBU MKUU.
 
Kama za Israel ndio silaha bora mbona zimeshindwa kuwapiga Hamas wamebaki kuuwa watu bure.Wagonjwa,wanawake na watoto.
Mkuu kawaulize hamas.....kwanini hawatoi idadi ya askari wao waliokufa????
Na kwanini wanavua nguo za kijeshi na kujificha nyuma ya wanawake na watoto????
 
Back
Top Bottom