Uchafu wa kiroho hunuka kuliko uvundo wa maliwato

Whatever man..It's just life and no body is perfect. Sio lazima ila kama huwez samehe na kuendelea na maisha bas chek ustaarab mwingine. The survival is always for the fittest only.
 
Mwili wangu ataona kama tutusa?
Aise naacha hii tabia tangu Sasa kwani kuonekana tutusa kunauma sana yaani tutusa ni afadhari hata ionekane wewe ni mwendawazimu.
 
Elimu gani hiyo mnayoipata? Elimu imewasaidia nini kama ndio hiyo unayosema mwanamke akinywa maziwa mgando inasaidia kutoa harufu ukeni? Una elimu ukiulizwa una scientific reasoning and proves huna unaleta blah blah ndio elimu hiyo? Hamna kitu kizazi chenye low IQ mjuacho ni kubet na kuvaa mlegezo. Kizazi cha kufeli kiroho na kimwili. Kizazi ambacho kimeathiriwa na chanjo na uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo sana. We ungekuwa mwanangu nisingekupeleka shule kama unasema tena kwa kujidai mbele za watu eti maziwa ya mgando yanapingana harufu kwa wanawake. Pumbavu wahead na kilaza mkubwa.
Af mimi ninesoma kuliko wewe 😂😂 bri kunywa mtindi kampeni tunaendelea nayo
 
c04123cb5b711bf52f77ee76ae1b99a7.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu aliyemtag faiza kwenye huu uzi,sijui anataka nini yani Kuna watu ni wagombanishi sana,
 
Back
Top Bottom