Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 243
- 326
Baada ya uhuru tulianza na ujinga, maradhi na umasikini. Hadi sasa hakuna aliyepunguzwa walau makali...
Sasa hivi wanaendelea kuongezeka. Kuna ufisadi, rushwa, uchawa, watu wasiojulikana, ukanda na mitandao ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, huenda orodha inaendelea
Tatizo liko wapi watanzania wenzangu na nini tufanye katika hivi vita?
Sasa hivi wanaendelea kuongezeka. Kuna ufisadi, rushwa, uchawa, watu wasiojulikana, ukanda na mitandao ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, huenda orodha inaendelea
Tatizo liko wapi watanzania wenzangu na nini tufanye katika hivi vita?